Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,050
- 54,366
Jitahidi uwe unaandika maneno machache. Utaeleweka tu. Nimekupangia.Msiseme mmeibiwa Kura tuu....maana the main issue mnayoiongeleaga kila siku,kila uchaguzi hamjawahi kufikiria kuisolve wala kuitafutia utatuzi lakini mnaishia kujifariji kwa vitu vidogo sana ambavyo toka enzi ya Mrema vilikuwepo,akaja Lipumba vikatokea na hata Lowassa 2015 ilitokea na tukaona matokeo yake.
mpaka sasa hamtaki kusolve the main issue mnajifariji kwa vitu vya ajabu ajabu sana na vidogo kwa macho.