Pamoja na mambo makubwa yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya 5, hii ndio CHADEMA

Nyimbo hizo tangu enzi na enzi zipo tu,mwisho wa yote kwenye uchaguzi mnabaki kulialia oh tumeibiwa oh nini,tangu enzi za doct slaa nyomi hizo zipo tu hakuna hata cha ajabu hapo.mmesahau kipindi kile cha kikwete uchaguzi mdogo wa marudio kata 23 chadema wakatumia na mahelkopta juu lakini wakaishia kuambulia kata tatu,, kwa wageni tu ndio wataona ajabu lakini kwa wazoefu hayo washayazoea wala hawana hata shida nayo.
Siku ambayo itapatikana tume ambayo haiteuliwi na mwenyekiti wa CCM ndio mwisho wa Mugabe...sorry CCM.
 
Hakuna kiongozi wa upinzani aliyekuwa unakusanya nyomi kama mrema hivi vitu ni kawaida mwisho wa siku sanduku la kura huwa lina amua nani anafaa kuliongoza taifa hili pendwa la Tanzania
Acha kujifariji na uongo, Mrema hakuwahi kuwa na umati tuliouona 2015. Ni vile tu ilikuwa mara yetu ya kwanza kufanya political rallies.
 
kenya kuna katiba mpya pia nadhani umeona kilichotokea.......mnasimamia wapi??katiba mpya hamna na hakuna dalili,tume huru mnaishia kudai kwenye social media,mnategemea nini 2020??
Huwa yanaanza kwenye social media, usidharau hii conduit, its extremely poweful!
 
Kinachotawala kina ilani iliyonadi kuombea kura sidhani kama ilani hiyo ilikataza watu wengine wafanye hamasa katika shughuli za kujiletea maendeleo kwa kufanya katika utaratibu unaofaa.
Kama unapenda unaweza kujielimisha ili uelewe zaidi kazi za vyama vya upinzani. Tuko kwenye mfumo wa vyama vingi kwa zaidi ya miaka 20 sasa, hakuna sababu za msingi za kuendelea kuwa mjinga mjinga.
 
Msiseme mmeibiwa Kura tuu....maana the main issue mnayoiongeleaga kila siku,kila uchaguzi hamjawahi kufikiria kuisolve wala kuitafutia utatuzi lakini mnaishia kujifariji kwa vitu vidogo sana ambavyo toka enzi ya Mrema vilikuwepo,akaja Lipumba vikatokea na hata Lowassa 2015 ilitokea na tukaona matokeo yake.

mpaka sasa hamtaki kusolve the main issue mnajifariji kwa vitu vya ajabu ajabu sana na vidogo kwa macho.
Wewe hua unaamini kua CCM huwa ina shinda kihalali? pole sana,maana wanaoisaidiaga kushinda kwa wizi wa kura hua tunaishi nao mitaani,ni ndugu zetu,ni marafiki zetu na ni jamaa zetu huwa wanatuambia kila hila mnazofanyaga,nafsi huwa zinawasuta.Hata tunapoujua ukweli tuta shitaki kwa nani? Malori yenye kura za wizi yakipelekwa Polisi kesho huyakuti.Wakuu wa Polisi,mahakama,tume na msajili wa vyama wana mengi ya kujibu Ahera.Uthibitisho ni kwamba Wana CCM wenyewe kwa wenyewe kwenye chaguzi zao huwa wanaibiana,hutaki kuamini ni juu yako,lkn ushahidi upo,sasa leo CCM wasiibie wapinzani kwa upendo gani waliokua nao?
 
Kama unapenda unaweza kujielimisha ili uelewe zaidi kazi za vyama vya upinzani. Tuko kwenye mfumo wa vyama vingi kwa zaidi ya miaka 20 sasa, hakuna sababu za msingi za kuendelea kuwa mjinga mjinga.
kwa hiyo kuna sababu ya kuendelea kuwa mfuata mkumbo wa kutii maagizo ya viongozi wa juu hata kama hayana tija kwa taifa kisa upo upinzani!!1 asante sana kwa kuelewa vyama vya upinzani na kazi zake kwa kipindi cha miaka 20 sasa kama ulivyosema wakati ni miaka 25 sasa.
 
Kumbe serikali ya awamu ya tano hata wale wanaoibeza wanafanya hivyo hali wakijua inafanya mambo makubwa.
 
kwa hiyo kuna sababu ya kuendelea kuwa mfuata mkumbo wa kutii maagizo ya viongozi wa juu hata kama hayana tija kwa taifa kisa upo upinzani asante sana kwa kuelewa vya vyama vya upinzani na kazi zake kwa kipindi cha miaka 20 sasa kama ulivyosema wakati ni miaka 25 sasa.
Tatizo ni wewe na sarcastic thinking yako. Mtu anaweza kuamua kuwa mwanachama wa chama chochote, if you have an issue with that then you are so gullible. Viacheni vyama vya upinzani vifanye kazi zake. Havijawahi kuwa na kazi ya kukisaidia chama kingine kutawala, na wala sidhani kama chama kinachotawala kinahitaji kusaidiwa kutawala na vyama vya upinzani. You are supposed to be a little bit sensible.
 
Tatizo ni wewe na sarcastic thinking yako. Mtu anaweza kuamua kuwa mwanachama wa chama chochote, if you have an issue with that then you are so gullible. Viacheni vyama vya upinzani vifanye kazi zake. Havijawahi kuwa na kazi ya kukisaidia chama kingine kutawala, na wala sidhani kama chama kinachotawala kinahitaji kusaidiwa kutawala na vyama vya upinzani. You are supposed to be a little bit sensible.
Hapo ndipo wapinzani wa bongo wanapofeli kuhisi kazi yao ni kukosoa tu na si kusaidia serikali pale inapobidi ili kuleta tija kwa taifa na pia kuonekana mbadala wa serikali iliyopo wapinzani wanahisi watachukua dola kwa kuimba ngonjera za kumkosoa rais na kumpandikiza vitu vya ajabu kama ukabila na upendeleo kwa jamii yake ,kumuombea afeli katika harakati zake,kusingizia polisi wanaowaonea ndio watachukua dola! Ngoja nikupe uhalisia wa upinzani wa kweli Nimekaa dakar senegal 2010 mpk 2013 Macky sally (rais wa sasa) alifukuzwa chama tawala mwaka 2008 akaunda chama chake APR na kuweza kushinda urais 2012 toka kwa Kigogo Abdoulaye Wade katika nchi yenye asilimia 90 ya waislamu yeye akiwa mkiristo unajua ilikuwaje? Katika kipindi cha miaka minne nje ya chama tawala aliweza kumobilize vijana katika kazi za kijamii na kuwapa support kubwa katika harakati zao za kimaisha kama kufanya mazoezi katika beach za dakar za Virage Plage,Plage de Ngor and Ile de Ngor amabazo ziliambatana na kutoa elimu juu ya ukuzaji wa biashara zao za uvuvi,pia walio katika mikoa kama thies, koalack,tambacounda,mbake waliweza kutafutiwa fursa za masoko yao ya karanga katika mataifa mengine pamoja na kashfa alizopewa na serikali alisurvive na kuteka mioyo ya wasenegal na hata pale wade alipojaribu kutaka kupindua matokeo na kungangangania madaraka aliona moto toka kwa vijana walioanzisha hip hop movement ya kumtaka aachie madaraka kwa hiyari! sasa kama unataka kuelewa nini ninachowashauri hao wapinzani wa bongo sawa ila kama unataka kuleta ligi endelea na kuandika viingereza vyako kama wengine hatuvijui vile...J'espère que vous apprendrez quelque chose de ce post,Je vous remercie
 
Hapo ndipo wapinzani wa bongo wanapofeli kuhisi kazi yao ni kukosoa tu na si kusaidia serikali pale inapobidi ili kuleta tija kwa taifa na pia kuonekana mbadala wa serikali iliyopo wapinzani wanahisi watachukua dola kwa kuimba ngonjera za kumkosoa rais na kumpandikiza vitu vya ajabu kama ukabila na upendeleo kwa jamii yake ,kumuombea afeli katika harakati zake,kusingizia polisi wanaowaonea ndio watachukua dola! Ngoja nikupe uhalisia wa upinzani wa kweli Nimekaa dakar senegal 2010 mpk 2013 Macky sally (rais wa sasa) alifukuzwa chama tawala mwaka 2008 akaunda chama chake APR na kuweza kushinda urais 2012 toka kwa Kigogo Abdoulaye Wade katika nchi yenye asilimia 90 ya waislamu yeye akiwa mkiristo unajua ilikuwaje? Katika kipindi cha miaka minne nje ya chama tawala aliweza kumobilize vijana katika kazi za kijamii na kuwapa support kubwa katika harakati zao za kimaisha kama kufanya mazoezi katika beach za dakar za Virage Plage,Plage de Ngor and Ile de Ngor amabazo ziliambatana na kutoa elimu juu ya ukuzaji wa biashara zao za uvuvi,pia walio katika mikoa kama thies, koalack,tambacounda,mbake waliweza kutafutiwa fursa za masoko yao ya karanga katika mataifa mengine pamoja na kashfa alizopewa na serikali alisurvive na kuteka mioyo ya wasenegal na hata pale wade alipojaribu kutaka kupindua matokeo na kungangangania madaraka aliona moto toka kwa vijana walioanzisha hip hop movement ya kumtaka aachie madaraka kwa hiyari! sasa kama unataka kuelewa nini ninachowashauri hao wapinzani wa bongo sawa ila kama unataka kuleta ligi endelea na kuandika viingereza vyako kama wengine hatuvijui vile...J'espère que vous apprendrez quelque chose de ce post,Je vous remercie
Wanapokosoa wanasaidia serikali kuona makosa yake ili iweze kujisahihisha na kufanya vizuri zaidi. Una assumptions nyingi ambazo ni very wrong.
 
Wanapokosoa wanasaidia serikali kuona makosa yake ili iweze kujisahihisha na kufanya vizuri zaidi. Una assumptions nyingi ambazo ni very wrong.
so hawahitaji kushika dola si ndiyo? unajua maana ya neno assumptions wewe? halafu uanponichekesha zaidi huna cha kukoment juu ya hayo ya senegal we unaona wapinzani wa bongo hawana wala hawahitaji kujifunza chochote wabaki hivyo hivyo tu na kushangilia nyomi na siasa za mitandao
 
so hawahitaji kushika dola si ndiyo? unajua maana ya neno assumptions wewe? halafu uanponichekesha zaidi huna cha kukoment juu ya hayo ya senegal we unaona wapinzani wa bongo hawana wala hawahitaji kujifunza chochote wabaki hivyo hivyo tu na kushangilia nyomi na siasa za mitandao
Ya Senegal watakujibu wasenegal wenyewe. Mimi nitakujibu ya watanzania tu. Yaani kwa akili yako wewe, unafikiri wapinzani tu ndiyo wana wajibu wa kujifunza kutoka kwa watawala, na watawala hawapaswi kujifunza chochote kutoka kwa wapinzani? just trying to tweak your weak reasoning capacity...:)
 
Ya Senegal watakujibu wasenegal wenyewe. Mimi nitakujibu ya watanzania tu. Yaani kwa akili yako wewe, unafikiri wapinzani tu ndiyo wana wajibu wa kujifunza kutoka kwa watawala, na watawala hawapaswi kujifunza chochote kutoka kwa wapinzani? just trying to tweak your weak reasoning capacity...:)
Ebana ka vipi potezea hii mada maana naona naunguza calories zangu bure tu! have good day
 
Back
Top Bottom