Tafiti finyu hizo, wanaotaka Tanganyika waulize sababu ya msingi hawana. Nn wanakosa Tanzania mpaka wadai Tanganyika? Na Tanganyika ni serikali iliyooachwa na mkoloni je wanataka mkoloni? ,
Wewe Mjinga wa karne tambua Kuwa Ukoloni ni Unyonyaji Yaani Wachache kuwanyonya wengi . Mfano ni huu hapa Tanganyika sasa ni koloni la Zanzibar Maana wanainyonya Tanganyika ambayo haijapata uhuru wake lakini inatumia pesa zake kuwalea Zanzibar wasio na shukran Maana wanakula wakishiba wanaanza Ulalamishi ili kuwapumbaza watanganyika wasijue Kuwa Zanzibar ni Mkoloni mambo Leo .