Leo nimeamini si kila anayeingia jf ana akili timamu kwa mujibu wa majibu ya post hii.
pia nimeamini ccm na chadema wote hakuna mwenye nafuu
wakwanza wewe !!!! ulisha maliza matibabu?
Leo nimeamini si kila anayeingia jf ana akili timamu kwa mujibu wa majibu ya post hii.
pia nimeamini ccm na chadema wote hakuna mwenye nafuu
Wenje hafai na 2015 tunampiga chini......zamani alikuwa anavaa kikoti cha kimodo ila siku hizi anavaa jikoti kuubwa kitambi hihaaaa! Alafu mbaya zaidi kahamia Dar...na hiyo barabara ya Pamba Rd huwa wanaweka viraka tu baada ya mwaka mmoja inarejea vilevile!!!
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
mayor mabula anapiga pesa tu! hicho ndicho walichotaka ccm: WAWATOE CHADEMA KWENYE UONGOZI WA JIJI ILI WAWEZE KUPIGA PESA YA JIJI VIZURI!Naomba nikuulize Meya anatoka chama gani? je Idadi ya Madiwani ni chama kipi kina Madiwani wengi? Je Mhandisi wa Ujenzi pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri umeweza kuwauliza au kuwaambia juu ya Kadhia hiyo ya barabara?
Ninachokiona hapa wewe unatuletea maneno yako ya chuki juu ya Mbunge huku ukijua kabisa suala zima la kufanikisha kuondoa tatizo hilo lina mkusanyiko wa mlolongo wa viongozi wengi na isitoshe Serikali ndio yenye jukumu kubwa kutekeleza hilo unalolilia na sio Mbunge kama unavyojiaminisha.mayor
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
Mbona siku nyingi tu.Kumbe.wenje anaishi Dar
Mbona siku nyingi tu.
Wenje amechukua kodi yako??? waulize CCM sio wenje, wenje na wewe mko kundi moja mnalalamikia hali hiyo
Wenje ansshulikia phamacy dar kwa pesa za mchango mlio Chang's kwa ununuzi was madawati yenu mchango Julio fanyila sahara ana mpsngo was kuchangisha tena
Wewe wacha blah blah toka umekuwa na akili kuna bajeti mbunge anapewa ya ujenzi wa barabara hiyo kazi ya serekali yako.Ili ndio tatizo lakugomea mashine za TRA na kuikosesha mapato serekali na hiyo barabara sahau ni mwendo wa viraka tuu.wasalaam wakuu.
kama kuna mwana jf anaishi mwanza atakubaliana na mimi pamba road imekuwa na mahandaki.
Hii barabara mwaka jana tu ilizibwa viraka mara mbili kwa zege la kujengea nyumba na sasa mashimo yameongezeka mara dufu.
Nitoe wito kwa mbunge wa jimbo hili atueleze huu mradi anafaidi nani?
====================
kama mbunge hahusiki ni ni majukumu ya mbunge na kuna haja gani ya kuwa na mbunge
Naomba nikuulize Meya anatoka chama gani? je Idadi ya Madiwani ni chama kipi kina Madiwani wengi? Je Mhandisi wa Ujenzi pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri umeweza kuwauliza au kuwaambia juu ya Kadhia hiyo ya barabara?
Ninachokiona hapa wewe unatuletea maneno yako ya chuki juu ya Mbunge huku ukijua kabisa suala zima la kufanikisha kuondoa tatizo hilo lina mkusanyiko wa mlolongo wa viongozi wengi na isitoshe Serikali ndio yenye jukumu kubwa kutekeleza hilo unalolilia na sio Mbunge kama unavyojiaminisha.
kuna siku nilisikia hapa JF na mbeya wakimsifia SUGU kwamba kawaletea barabara...
wenje kama mbunge alitakiwa alifuatilie hili likishindikana aitishe mkutano wa wananchi na aseme MACCM yamegoma
kutoa hela,, wananchi watalijua hili nawatachukua hatua!!!!!
Wenje amechukua kodi yako??? waulize CCM sio wenje, wenje na wewe mko kundi moja mnalalamikia hali hiyo
Wenje ansshulikia phamacy dar kwa pesa za mchango mlio Chang's kwa ununuzi was madawati yenu mchango Julio fanyila sahara ana mpsngo was kuchangisha tena