Palestine thanks Tanzania for support at UN

Palestine thanks Tanzania for support at UN

Hivi waliwahi kutuomba radhi kwa kumsaidia Idd Amin atupige vita ya Kagera?
BADO HAWATUOMBA MSAMAHA NA MEMBE NDIYO KWANZA ANJIPENDEKEZA KWA WAARABU. Sijui taifa letu linatafuta nini kwa mataifa ya kiarabu mpaka kuja leo kumsaidia mpalestina kiasi hicho.

Kumbuka mwaka 1976 Tanzania ililaani sana kitendo cha Israeli kuokoa mateka wake pale Entebe. Tena matusi yaliyoyotolewa na balozi wetu hapo UN, yalikuwa yanatisha sana. Yaani kwa upande mwinginewe, Tanznaia ilitaka wale mateka wa kiisraeli wauwawe pale entebe. HIi yote ni kujikomba kwa mataifa ya kiarabu.

Halafu kama hiyo haitoshi, tanzania ikaweka palestinian Day. Sherehe hii ilikuwa inazunguka mikoani kila mwaka na mikoa yenye wakristo wengi tuu ili wakiuke ukweli wa biblia unavyotaka kuhusu haki ya Israeli. Hii yote ilikuwa kujikomba na kujionesha katika vikao vya NOn alignment movement(ambako yamejaa mataifa mengi ya kiarabu)kuwa sisi ni the best anti wentern na antisemitism wakutupwa.

Sasa hivi unemployment katika west benk palestina ni 5% Gaza ni 35%. Kwa maana hiyo wapelestina wapo vizuri kimaisha kulkiko wakzi wa mtwara, Lindi, Ruvumana katavi. Ila Tanzania unemployment ni 65% yaani tupo mahala pabaya sana kimaisha na mikoa mingi haina hata day worker. Sasa badala ya kuweka urafiki na Israel ili watu shushie viwanda na kufanya investment za nguvu kama walivyofanya Kenya, sisi hatutaki na kila kukicha ni kuwatukana wa Israel kwa niaba ya waarabu.

Hii kama siyo laaana ni kitu gani? Yaani kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya raia zake, ila kila kukicha kudai maslahi ya wapalestina! sasa angalia msimamo wa Tanzania kuwasupport wapalestina huko UN wiki iliyopita, kuna mslahi gani ki uchumi? mimi sioni lolote lile mbali ya kuonekama komba komba-boys!
 
Ni kwa sababu taifa la Tanzania limegeuka kuwa la kinafiki kuliko kawaida. Wakati waarabu wanauana wenyewe kwa wenyewe huko Yemen, sirya, iraq, afghanistan nk, hutasikia bongo inasema chochote. Nchi imegeuka kuwa ya ki-freemason, asilimia kubwa ya wabongo ni washirikina, wachawi na wezi lkn haohao wana uwezo wa kuvaa unafiki na kupigania dini zao kwa nguvu zote!! Mtazamo wa watanzania juu ya mgogoro wa mashariki ya kati umegawanyika sana, huo msimamo wa serikali hauwakilishi watanzania wote.

.
Uko sawa mkuu. Haya ni maamuzi ya Membe na inafaa huo uamuzi uitwe kura ya Membe na sii kura ya Tanzania.
.
 
I am not among them who support Palestines. Please take note on that. My stand till death is support towards holy land Israel, and Jerusalem holy city. Let the history record my stand.

Israel ni living clock yetu waamini kwamba muda wetu wa kukaa hapa unakaribia kufikia mwisho and soon we will be caught to meet our King in the outer space..Wenye dhambi kazaneni kutenda dhambi na wenye kujitakasa jitakaseni sana....Maana Israel maanandiko yanasema itapingwa na dunia nzima lakini yenyewe itakataa ku-bow...Ikifikia hapo mataifa yataamua kuipiga Israel kivita nayo itatekwa mpaka robo tatu yake ndipo wana wa Israel watamkumbuka Mungu wao watamrudia kwakulia na kuomboleza naye Mungu wao atashuka kuja kupigana vita ndipo mifereji ya damu itatoka kutoka Israel na wengi wa walioivamia Israel wataiona hasira ya Mungu.
 
BADO HAWATUOMBA MSAMAHA NA MEMBE NDIYO KWANZA ANJIPENDEKEZA KWA WAARABU. Sijui taifa letu linatafuta nini kwa mataifa ya kiarabu mpaka kuja leo kumsaidia mpalestina kiasi hicho.

Kumbuka mwaka 1976 Tanzania ililaani sana kitendo cha Israeli kuokoa mateka wake pale Entebe. Tena matusi yaliyoyotolewa na balozi wetu hapo UN, yalikuwa yanatisha sana. Yaani kwa upande mwinginewe, Tanznaia ilitaka wale mateka wa kiisraeli wauwawe pale entebe. HIi yote ni kujikomba kwa mataifa ya kiarabu.

Halafu kama hiyo haitoshi, tanzania ikaweka palestinian Day. Sherehe hii ilikuwa inazunguka mikoani kila mwaka na mikoa yenye wakristo wengi tuu ili wakiuke ukweli wa biblia unavyotaka kuhusu haki ya Israeli. Hii yote ilikuwa kujikomba na kujionesha katika vikao vya NOn alignment movement(ambako yamejaa mataifa mengi ya kiarabu)kuwa sisi ni the best anti wentern na antisemitism wakutupwa.

Sasa hivi unemployment katika west benk palestina ni 5% Gaza ni 35%. Kwa maana hiyo wapelestina wapo vizuri kimaisha kulkiko wakzi wa mtwara, Lindi, Ruvumana katavi. Ila Tanzania unemployment ni 65% yaani tupo mahala pabaya sana kimaisha na mikoa mingi haina hata day worker. Sasa badala ya kuweka urafiki na Israel ili watu shushie viwanda na kufanya investment za nguvu kama walivyofanya Kenya, sisi hatutaki na kila kukicha ni kuwatukana wa Israel kwa niaba ya waarabu.

Hii kama siyo laaana ni kitu gani? Yaani kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya raia zake, ila kila kukicha kudai maslahi ya wapalestina! sasa angalia msimamo wa Tanzania kuwasupport wapalestina huko UN wiki iliyopita, kuna mslahi gani ki uchumi? mimi sioni lolote lile mbali ya kuonekama komba komba-boys!

Vipi wa-Israel walisha omba msamaha kwa matusi ya juzi juzi?
 
Israel ni living clock yetu waamini kwamba muda wetu wa kukaa hapa unakaribia kufikia mwisho and soon we will be caught to meet our King in the outer space..Wenye dhambi kazaneni kutenda dhambi na wenye kujitakasa jitakaseni sana....Maana Israel maanandiko yanasema itapingwa na dunia nzima lakini yenyewe itakataa ku-bow...Ikifikia hapo mataifa yataamua kuipiga Israel kivita nayo itatekwa mpaka robo tatu yake ndipo wana wa Israel watamkumbuka Mungu wao watamrudia kwakulia na kuomboleza naye Mungu wao atashuka kuja kupigana vita ndipo mifereji ya damu itatoka kutoka Israel na wengi wa walioivamia Israel wataiona hasira ya Mungu.

Uongoi njoo utamu koleaa!
 
BADO HAWATUOMBA MSAMAHA NA MEMBE NDIYO KWANZA ANJIPENDEKEZA KWA WAARABU. Sijui taifa letu linatafuta nini kwa mataifa ya kiarabu mpaka kuja leo kumsaidia mpalestina kiasi hicho.

Kumbuka mwaka 1976 Tanzania ililaani sana kitendo cha Israeli kuokoa mateka wake pale Entebe. Tena matusi yaliyoyotolewa na balozi wetu hapo UN, yalikuwa yanatisha sana. Yaani kwa upande mwinginewe, Tanznaia ilitaka wale mateka wa kiisraeli wauwawe pale entebe. HIi yote ni kujikomba kwa mataifa ya kiarabu.

Halafu kama hiyo haitoshi, tanzania ikaweka palestinian Day. Sherehe hii ilikuwa inazunguka mikoani kila mwaka na mikoa yenye wakristo wengi tuu ili wakiuke ukweli wa biblia unavyotaka kuhusu haki ya Israeli. Hii yote ilikuwa kujikomba na kujionesha katika vikao vya NOn alignment movement(ambako yamejaa mataifa mengi ya kiarabu)kuwa sisi ni the best anti wentern na antisemitism wakutupwa.

Sasa hivi unemployment katika west benk palestina ni 5% Gaza ni 35%. Kwa maana hiyo wapelestina wapo vizuri kimaisha kulkiko wakzi wa mtwara, Lindi, Ruvumana katavi. Ila Tanzania unemployment ni 65% yaani tupo mahala pabaya sana kimaisha na mikoa mingi haina hata day worker. Sasa badala ya kuweka urafiki na Israel ili watu shushie viwanda na kufanya investment za nguvu kama walivyofanya Kenya, sisi hatutaki na kila kukicha ni kuwatukana wa Israel kwa niaba ya waarabu.

Hii kama siyo laaana ni kitu gani? Yaani kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya raia zake, ila kila kukicha kudai maslahi ya wapalestina! sasa angalia msimamo wa Tanzania kuwasupport wapalestina huko UN wiki iliyopita, kuna mslahi gani ki uchumi? mimi sioni lolote lile mbali ya kuonekama komba komba-boys!

No wonder hatuendelei maana tumelaaniwa na Mungu mwenyewe kwa unafiki wetu....Hao waarabu wenyewe hata hatuwapendi kihivyo so is like we always go to the wrong side kwakutojitambua what exactly we want! Mimi akili ya watanzania ina nishangaza jamani inafanya so effective and efficiently kwenye uovu tu lakini ukija kwenye vitu vya maendeleo na ubinadamu sisi tuko kinyume; Je hii siyo roho ya uasi? Who is behind this spirit? We are sold out to the devil himself na matendo yetu ni ushahidi uliowazi...

Lakini ni vizuri aliye behind this amejidhihirisha mwenyewe na kwa laana aliyojiwekea katika hili asahau kuwa Rais wa Tanzania!
 
.
Uko sawa mkuu. Haya ni maamuzi ya Membe na inafaa huo uamuzi uitwe kura ya Membe na sii kura ya Tanzania.
.

Unajua watu wa ajabu sana, waliounga mkono hizi kura ni 190+ , waliosema Hapana wapo 9 na katika hao tisa kuna nchi zina watu hata 10,000 hawafiki. 50 walikimbia kupiga kura nyingi za ulaya lakini baada ya kura sasa hivii wanatuma salaam kuipongeza Palestine. Je mlitaka tugeuke JIWE?
 
Zanzibar imewashinda sasa mnasapoti Wapalestina ambao hata kwenye Koran Tukufu hawakutajwa, Makubwa haya.

israelites were expelled from israel by romans after suffering war defeats from romans and assyrians.later,arab settlers came and took advantage of turkish raid in the middle east to occupy the land.now the jews want all their land back and people call them invaders?CRAZY WORLD!
 
I nw see the role of religion,ts to soften our hearts,why cnt we judge the truth?n let us be free,unyama wote unaofanywa na waisrael lakn stil bcz of religions we argue in their favour why?ths is al bcz of religion,i once asked my self y shud i belive in religions,they correct alot of money bt stil they dnt pay tax,ifound wher the truth lies n iknw em set free,
 
Kwa kuwa sisi mara zote tunapinga unyanyasaji , tuko upande wa mnyonge, tuko pamoja na anayeonewa....kumbuka historia yetu kama taifa tangu kabla ya uhuru na baada ya uhuru hutauliza hilo swali tena kama wewe ni mtz.

.
Kama ni suala la unyanyasaji nionyesheni taifa chini ya mbingu lililonyanyasika kama Israel. Watu walionyanganywa utaifa wao na ardhi yao kwa karibu miaka 2000. Kila nchi waliokimbilia wakionekana kama viumbe wasiostahili kuishi. Watu kama Eichman, Hitler, Stalin, Musolin wakiwaua kwa mamilion kama viumbe wasio na damu. Israel inapofika kipindi cha kukombolewa kwao hakuna nguvu chini ya mbingu inayoweza kuzuia ukombozi wao. Wakatika wa ahadi ya ukombozi Mungu aliyompa Abraham ilipotimia sii Farao wala jeshi, sii mfalme wa Yeriko wala wafalme wengine wa pembezoni mwa nchi yao ya ahadi aliyeweza kuwazuia wasiingie. Na kwa sasa hakuna mamlaka chini ya mbingu yenye uwezo wa kuugawanya mji wa Yerusalem. Zingatia hilo moyoni mwako halafu tusubirie.
.
 
I totally agree occupation is wrong. I do believe age doesn’t count whether those commented are on their 30’s or 20’s or 80’s what matters here is history of this so called occupied land which has been there hundreds of years.
Others says holy books such as Koran didn’t mentioned about Palestine but I tell you, this land has history of Islam, Judaism, Christians, Hebrews… they all deserve rights to practice their spiritually beliefs and access to holy sites. If I remember well, the agreement of 1948 and 1967; British assisted on end of the war that Jordan, Syria and other Arabs nations when they were destroying Jerusalem and many Jews died in 1948; the agreement ended in dividing Jerusalem; Israel to occupy Western Jerusalem and Palestine Eastern Jerusalem and freedom of practicing their religions regardless of locations but Jordan’s broke the agreement and destroy some of Jews holy places including burial grounds for Jews.
The vote by UN in recognition of Palestine triggered Israel’s to start planning for building settlements on so called occupied territory. They are very RIGHT, 1[SUP]st[/SUP] the agreement of 1948 and 1967 is the basis for peace between these two, 2[SUP]nd[/SUP] Palestine ideas of making Jerusalem as their capital while the area is still in conflict.
If you look at Islam history there is no such bond between Islam’s and Jerusalem, we know of Mecca as holy land and only Prophet SAW went in Jerusalem in a way that can be explained better by others here. Again if you look on continents history; Americas, Africa, Asia etc; where are Arabs? In Israel there are also Arabs! In Jordan, Syria, Lebanon there are also Christians! There is only one man created by Almighty God only that we differ in colour, the fore fathers Abraham have many generations but history tells there is no such state as PALESTINE…NEVER EXISTED. Probably reading the history of Pharaos and Jews in Egypt could tell us more; and holy books keeps this history of Israel’s going to Egypt and on their return to their promised land JERUSALEM found so called PALESTINE; Israel’s will die for anything to be on their promised land and it is even bad they accepted the promised land to be divided..JERUSALEM should be one for ISRAELs.
Bless those who bless Israel and curse those who curse Israel; those who went against it include America they know what happened to their President residence back in US when he was in Spain on trying to solve Israel/Palestine conflict in favor of Palestine and many other events/conspiracies going on…the turn will be into MEMBE/Tanzania and other nations who curse Israel.
 
I am not among them who support Palestines. Please take note on that. My stand till death is support towards holy land Israel, and Jerusalem holy city. Let the history record my stand.

you might be among those 9. but if you realy have love and wish peace to your fellow beings without any bias, i hope you would have been supported palestinian
 
.
Uko sawa mkuu. Haya ni maamuzi ya Membe na inafaa huo uamuzi uitwe kura ya Membe na sii kura ya Tanzania.
.

Membe ni kichwa kwa sababu hasemi kitu ili kuwafurahisha mabwana zako western. amekuwa mstari wambele kupinga uonevu kule libya, palestina na hata kuhusu mpaka na malawi. i admire him and wish he is right next co
 
History shows that they existed no state refered as Palestina.
kweli kuongea au kuandika kiingereza sio kuwa na elimu
hivi kati ya palestina na israeli ni taifa gani ambalo halikuwahi kutokea ktk historia ya dunia?

kwa kila mtu alie soma japo degree moja atakubaliana na mm hata wayahudi wenyewe kuwa hawakuwa na eneo la kuishi (ardhi) ndio maana wayahudi wana msemo unaosema people of no land ( jewish) to the land of no people (palestina).

ni hivi karibuni tu baada ya mkataba wa bulfor ndio israeli iliundwa. nyuma ya hapo wayahudi walikuwa wametapakaa kote duniani ndio maana mpaka leo bado wana hama watokapo kuelekea israeli.

taifa la israeli linazungumziwa kwenye bibilia lakini haikuwahi kutokea utawala wa kizeyuni ulio na serikali moja na lugha moja hapa duniani. wayahudi wliunganishwa na imani yao ya dini tu. taifa hilo la israeli lilianza kuongelewa ktk karne ya 18 na baadhi ya wana falsafa kama vile Mordecai Menahem *Kaplan (1881–1983). ktk kile kilicho fahamika kama RECONSTRUCTIONISM.

ili nisikumalizie uhondo jaribu kusoma historia ya palestina na israeli na usome pia hiyo reconstructionism utaelewa vizuri. kama hujui pakupata notice tembelea google andika historia ya palestina na israeli
 
Did you also support the Boers during apartheid? This kind of positon is why I tell people "mungu ni kikwazo".

I must assume that you are young in your 30s, having born after most liberation struggles were won.
Your love for god, and Christianity in particular, has blinded you from seeing the Zionist oppression of the Palestinians.
For you, putting a wall around a group of people and make them living in prison is OK as long as your god said Jerusalem is for one group of people only.

In fact, you also demonstrate a lack of understanding in the relation between Jews and Christians. You are caught up in the romantic story of the bible that god favours a group of people and place them in Israel. What is it for you in Africa then??

Occupation is wrong. Whether it is done by man or in the name of a "god". It is just wrong!

You sound rationally! Would it be fair for Iran and its allies to perish Israelis? According to you , what would be the best approach in solving the conflict of Palestine and Israel? The fact that you are using small letter to 'god', you are not then referring to God I believe.
 
History shows that they existed no state refered as Palestina.
kweli kuongea au kuandika kiingereza sio kuwa na elimu
hivi kati ya palestina na israeli ni taifa gani ambalo halikuwahi kutokea ktk historia ya dunia?

kwa kila mtu alie soma japo degree moja atakubaliana na mm hata wayahudi wenyewe kuwa hawakuwa na eneo la kuishi (ardhi) ndio maana wayahudi wana msemo unaosema people of no land ( jewish) to the land of no people (palestina).

ni hivi karibuni tu baada ya mkataba wa bulfor ndio israeli iliundwa. nyuma ya hapo wayahudi walikuwa wametapakaa kote duniani ndio maana mpaka leo bado wana hama watokapo kuelekea israeli.

taifa la israeli linazungumziwa kwenye bibilia lakini haikuwahi kutokea utawala wa kizeyuni ulio na serikali moja na lugha moja hapa duniani. wayahudi wliunganishwa na imani yao ya dini tu. taifa hilo la israeli lilianza kuongelewa ktk karne ya 18 na baadhi ya wana falsafa kama vile Mordecai Menahem *Kaplan (1881–1983). ktk kile kilicho fahamika kama RECONSTRUCTIONISM.

ili nisikumalizie uhondo jaribu kusoma historia ya palestina na israeli na usome pia hiyo reconstructionism utaelewa vizuri. kama hujui pakupata notice tembelea google andika historia ya palestina na israeli

ndio maana mataifa tisa tu duniani walikuwa upande wa israeli na marekani lakini mataifa zaidi ya 100 yalikuwa upande wa palestina hata bibilia inaitambua palestina na miji yake kama vile Gaza ambayo sasa hivi inakubwa na mapigano (kujua zaidi soma kumbukumbu la torati)
 
Membe ni kichwa kwa sababu hasemi kitu ili kuwafurahisha mabwana zako western. amekuwa mstari wambele kupinga uonevu kule libya, palestina na hata kuhusu mpaka na malawi. i admire him and wish he is right next co
Mbona husemi Waarabu ambao wali support kuondelewa kwa Gadafi! hakika kila kitu utasema Western; kulikuwa kuna umuhimu wa Western, Arabs nations kuingilia baada ya kuona Libya inaelekea kubaya, same na Syria hali ni tete bila haya mataifa makubwa kuweka mkono watauana kama kuku wao kwa wao na chemical weapons nk. Membe na TZ ni unafiki mtupu, huku wanasema hatu support opposition by NTC baadaye tuna support...mara as long African Union...nyoosha mambo; kesho mtanyimwa hela za msaada kwa kukataa ushoga! then baadaye mtakubali kunusuru taifa la misaada. Unaposimamia ukweli uwe na vigezo, siyo kupiga kura bora hata kususia kama UK kuliko kuwa ndiyo ..kesho hapana
 
imewauma sana tanzania kuwa upande wa palestina kaeni mkijia ni uamuzi wa mataifa zaidi ya 100
sasa hushangai mataifa tisa na mataifa 100 tena yote ni yale yanayo endekeza ushoga na u freemanson pamoja na kuonea mataifa mengine

basi kam imewauma sana kura yenu ya tanzania tuweke upande wa israeli iwe kura kumi kwa kura miamoja na ishirini na tatu huoni kuwa hata kuchakachua haiwezekani bado tokeo still itakuwa vile vile
 
kweli kuongea au kuandika kiingereza sio kuwa na elimu
hivi kati ya palestina na israeli ni taifa gani ambalo halikuwahi kutokea ktk historia ya dunia?

kwa kila mtu alie soma japo degree moja atakubaliana na mm hata wayahudi wenyewe kuwa hawakuwa na eneo la kuishi (ardhi) ndio maana wayahudi wana msemo unaosema people of no land ( jewish) to the land of no people (palestina).

ni hivi karibuni tu baada ya mkataba wa bulfor ndio israeli iliundwa. nyuma ya hapo wayahudi walikuwa wametapakaa kote duniani ndio maana mpaka leo bado wana hama watokapo kuelekea israeli.

taifa la israeli linazungumziwa kwenye bibilia lakini haikuwahi kutokea utawala wa kizeyuni ulio na serikali moja na lugha moja hapa duniani. wayahudi wliunganishwa na imani yao ya dini tu. taifa hilo la israeli lilianza kuongelewa ktk karne ya 18 na baadhi ya wana falsafa kama vile Mordecai Menahem *Kaplan (1881–1983). ktk kile kilicho fahamika kama RECONSTRUCTIONISM.

ili nisikumalizie uhondo jaribu kusoma historia ya palestina na israeli na usome pia hiyo reconstructionism utaelewa vizuri. kama hujui pakupata notice tembelea google andika historia ya palestina na israeli

ndio maana mataifa tisa tu duniani walikuwa upande wa israeli na marekani lakini mataifa zaidi ya 100 yalikuwa upande wa palestina hata bibilia inaitambua palestina na miji yake kama vile Gaza ambayo sasa hivi inakubwa na mapigano (kujua zaidi soma kumbukumbu la torati)

[video=youtube_share;r3G6QD3OBxI]http://youtu.be/r3G6QD3OBxI[/video]
 
Back
Top Bottom