Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
hahahaaaaa.we are talking about palestine if you want to preach about jesus go to any church.
You cant force as to be you audience.
The problem with you Biblethumper is that you think you can use any oppotunity to try and shove your beliave to people.
And if someone talkback agaisnt you ,you began overreacting.
Kwanza hii ni dalili ya mtu muoga. Hapa unaongea na mimi lakini unajiaddress kama US. Huwezi kusimamia hoja yako mpaka ufanye collective bargaining. Haya niambie unaposema us unamaanisha wewe na nani? Mapepo yako au huyo mke mwenzio?You can't force us to be your audience.
hahahaaaaa.we are talking about palestine if you want to preach about jesus go to any church.
You cant force as to be you audience.
The problem with you Biblethumper is that you think you can use any oppotunity to try and shove your beliave to people.
And if someone talkback agaisnt you ,you began overreacting.
Which kind of history, support with vivid explanation, mind you also know that countries change their names i.e. Iran was called Persia, Ethiopia was Kush, Iraq was Mesopotamia among others.History shows that they existed no state refered as Palestina.
Kaka usichukue vifungu nusu kuhalalisha maoni yako. Aya haisemi juu ya Wayahudi, Wapalestina wala Watanzania, inawalenga wale waliomwamini. Ndio maana nikaweka msisitizo kuwa NI KWA WALE WAMWAMINIYE na si vinginevyo.
Haijalishi wewe ni nani, ili mradi tu umemwamini Yesu na kumfuata. Sasa concept ya Wapalestina nao wamo au na Watanzania nao wamo au na Wayahudi nao wamo sio sahihi. Kila mtu anafanyika kuwa mwana kwa nafsi yake peke yake haihusishi nchi wala kabila lake. Kila mtu anakiri kama nafsi binafsi kwa hiyo taifa halikupeleki popote
julius nyerere hakutaka kuwa na uhusiano na israel ,YOU KNOW WHY?
Palestine go to hell... Kamwe siwezi kuwasupport wafilisti magovi yaliyotajwa kwenye bible.... na kwa ukweli ulipo sawa hawa jamaa wajiitao palestine si wa kweli hata wakati wa yesu hawakuwepo hayo maeneo ni pale waitaly walipoondoka baada ya kuusambalatisha mji wa jerusalem nchi ilikaa yenyewe yenyewe tu wakaja wahamiaji kutoka nchi jirani za waarabu then arafati akaja kuanzisha hii kitu iitwayo palestine ili waarabu wamsupport huyu mlowezi so jews ndio wenye nchi yao na hakuna hiki kitu kiitchwacho palestine before hiyo miaka ya 1947 kweusi... Membe na timu yao nzima ya ccm ndio walaaniwe kwa kuwasapoti wapuuzi arabs na sio sisi wananchi
Mimi sio niliyeweka mstari wa Biblia hapa, hiyo moja.
Mbili huna hakimiliki ya huu uzi. Kama uliona mimi nazungumzia Jesus basi wewe ungeendelea na Wapalestina kwani mimi sikukulazimisha.
Tatu, hayo mapepo yako ndio yanaogopa Jina la Yesu. Even if we are preaching everywhere, which is none of your business as far as you give no damn ****ing attention you inherited from your fateful mother while coocking, then why bother?!! Si ungeacha, au unaogopa wafuasi wako wataamua kuwa Wakristo?
Talk-back? Kweli wewe hamnazo. Mimi nilikuwa naongelea jambo lingine na wewe umekurupuka na lingine ndio unasema umenijibu? Unajibu hoja isiyokuwepo we mwehu nini?
Umekuja hapa na mapovu unalalamika kuwa nawaunga mkono Wayahudi, nimekuuliza kwa mstari upi au comment ipi umeanza kujing'atang'ata kama bwe'ge. Huna qualities za kushiriki mdahalo, mbulula wewe, nenda kabishane kwenye muhadhara
Kwanza hii ni dalili ya mtu muoga. Hapa unaongea na mimi lakini unajiaddress kama US. Huwezi kusimamia hoja yako mpaka ufanye collective bargaining. Haya niambie unaposema us unamaanisha wewe na nani? Mapepo yako au huyo mke mwenzio?
.
Alikuwa muumini wa papa urban wa pili. Kwamba Yerusalem inahatarisha uwepo wa Roma.
.
Mimi sijachukua kifungu kwenye aya kuhalalisha maoni yangu, ila nimechukua kifungu kwenye na kutoa tafakari yake, it doesnt mean nime ignore the whole verse au nimepitosha the whole verse. Nimejaribu kuonesha uzito wa maneno yote katika verse. Sikugusia mstari wa mwisho kwasababu wewe umeuelewa na huwa nahisi watu wengi only notice the last line without recognizing uzito wa maneno ya kwanza na jinsi yanavyoshabiana.
Ts true tukimwamini Yesu tutaokoka na kupata uzima wa milele(thats we christians believe) bt bila kutenda mema na kuishi injili (living the Gospel) haitotosha kukufikisha mbinguni.
Yesu alikuja kutukomboa kwenye dhambi zetu, ni sawa ukisema kwamba Yesu alikuja kwa ajili ya dhambi zetu but more because Mungu aliupenda ulimwengu na hakutaka kutuangamiza watoto wake nakuamua kutupa nafasi wote. Ukombozi kwa wote (hata sisi Gentiles).
Sikutaka kuingia kwenye udini sana huko bt i wanted to make a point kwa wale wanao tumia justification ya occupation kwa kutumia Kitabu cha Mungu
Note:
Ujumbe sio kwa waamini tu, bali kwa watu wote.
Kama nyinyi mlio thousands of miles away from Israel/Palestine hamuwezi kupatana/kukubaliana. Sasa ninaelewa kwanini Israel and Palestine will never Live side by side in peace.
huh..hebu weka pembeni pressure utakufa bure.pili hata utoe matusi vipi haitakusaidia.halafu mambo ya kumind typo na mispelling hayatokusaidia hapa.
Nachotaka kukwambia kuwa hapa sio kanisani bana if you want to preach anyone there is many churches arround.
Lakini kama unataka debate here am.coming from lunchbreak am now free ,24 hours labda wachukue umeme.
BRING IT ON.
First thing first what were you flapping with your mouth while i wasnt here.
Mr biblethumpers.?
Nawasoma kwa miwani ya 3D.
kama hata waisrael wenyewe baadhi wanaona injustice inayofanywa na serikari yao.sisi hapa tunapeana vifungu vya kidini kujustify ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.
Google.
Israel artist condemn settlement.
Jewishvoiceforpeace.org/campaigns
Kupinga Taifa la Israel ni sawa na kutafuta laana ya Kitaifa, unafikiri Wamarekani hawajui Diplomasia zaidi yetu? Ole wenu vibaraka mnaotoa matamko bila kutafuta ushauri wa manabii walioko chini ya jua...Tamko hilo lenu wenyewe mie na kizazi changu chote simo:A S angry:
Kupinga Taifa la Israel ni sawa na kutafuta laana ya Kitaifa, unafikiri Wamarekani hawajui Diplomasia zaidi yetu? Ole wenu vibaraka mnaotoa matamko bila kutafuta ushauri wa manabii walioko chini ya jua...Tamko hilo lenu wenyewe mie na kizazi changu chote simo:A S angry:
unaweza kuwapotosha watu wakadhani kwa kuwa upo tu ndani ya dunia hii na kwa kuwa Mungu aliupenda ulimwengu basi unaweza kufaidi upendo huo..
The book of Revelation,chapter 2,verse 9 state the following about these jews.
''i know thy works and tribulation and poverty....i know the blasphemy of them which say THEY ARE JEWS and they are NOT,but are THE SYNAGOGUE OF SATAN.
...so whoever is calling himself a jew and so a chosen one,we need to look at him veeery closely.
They are just from satan.
GOD can not choose children murders to be his people.
If they were chosen one they wouldnt need NUCLEAR WEAPONS TO KEEP THEM SAFE.
God would have taken care of them.
Achana na hayo, Yesu ndio bwana na mwokozi wa maisha yako. Hebu soma Yohana 14:6
Yesu akamwambia "Mimi ndimi njia, kweli na uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.......
Waambie na wenzako wasije wakapotea njia wakapita njia nyingine zaidi ya Yesu. Nakaribisha maswali kuhusu njia ya kweli na uzima. Achana na Wayahudi watakuharibia siku zako bure. Njoo nikuoneshe mambo makubwa