Dah... Upishi, udobi na usafi ni fani kama urubani, udaktari, uhandisi, uvuvi ...nk na siyo kazi za wanawake kama wengi tunavyodhani.....wamama wanatakiwa wawe mahiri kwenye kazi moja TUHata baadhi ya wamama tunapika hivyo eti
Ujaribugi siku moja kwa unga kidogo uone nini kitatokea. 😅😅Ndio huwaga nakula zangu mgahawani ili kuepusha uharibifu wa unga na mafuta ya hom.
😀😀 Tukipika muwe munakuja kuja jikoni walau muone nini tunafanya angalau mupate ABC.Haya mapishi ni shida, Kuna siku nilipika mchicha nikaweka maji kama vile napika maharage...mmmhhh acha tu.
Dah... Upishi, udobi na usafi ni fani kama urubani, udaktari, uhandisi, uvuvi ...nk na siyo kazi za wanawake kama wengi tunavyodhani.....wamama wanatakiwa wawe mahiri kwenye kazi moja TU
Hahahaaa. Na hapo unakuta chapati zenyewe hata tano hazifiki.Mambo yote anaweza akaweza ila kwenye kukadiria Moto!!,ukiweka Moto mdogo unaona unachelewa hapa ndo hutoka vitu visivyo vya sayari hii!!
Hongera Mkuu. We sio wale mkitaka kupika ubwabwa mpaka rice cooker kweli? 💃💃💃Pole! Huwa najiuliza nikipata mchumba au kuoa nitamruhusu apike kweli? Maana napika hatari! 🌚
Umeshaanza Ushimen. 😅😅Tusiojuwa kupika ngoja tuwe wapenzi wasomaji tu hapa...
Halafu mara jirani huyo hodii mpaka ndani!! Ndo umetenga kitu Cha namna hiyo! Unaweza ukasali kisulisuli Cha chapati kije kifanye mabadiliko..Hahahaaa. Na hapo unakuta chapati zenyewe hata tano hazifiki.
Hata kusukuma bado kwake ni changamoto. Unaona hiyo duara ya chapati ilivyo na konakona. 😀😀😀