Ntibegelana
New Member
- Oct 10, 2020
- 4
- 4
Posta Nimekuta na Kisa kimoja, Utumishi House kuna wamama na Wababa wanapanga Bidhaa chini.
Hapa kuna Mgambo wanachukua ushuru wa tsh 1000 kwa kila Machinga mmoja anapanga biashara jioni kuanzia saa 11 jioni.
So inasikitisha watu kama hawa wanashindwa kufanya kazi yao wanakuwa wezi na wanyonyaji kwa Watanzania Wenzao.
Nashauri mamlaka ziwachukulie hatu watu kama hawa.
Hapa kuna Mgambo wanachukua ushuru wa tsh 1000 kwa kila Machinga mmoja anapanga biashara jioni kuanzia saa 11 jioni.
So inasikitisha watu kama hawa wanashindwa kufanya kazi yao wanakuwa wezi na wanyonyaji kwa Watanzania Wenzao.
Nashauri mamlaka ziwachukulie hatu watu kama hawa.