issaaman
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 1,146
- 1,370
Hukuweka na viungo vya pilau?Haya mapishi ni shida, Kuna siku nilipika mchicha nikaweka maji kama vile napika maharage...mmmhhh acha tu.
Hukuweka na viungo vya pilau?Haya mapishi ni shida, Kuna siku nilipika mchicha nikaweka maji kama vile napika maharage...mmmhhh acha tu.
Hahaha!! Hatari Mkuu.Halafu mara jirani huyo hodii mpaka ndani!! Ndo umetenga kitu Cha namna hiyo! Unaweza ukasali kisulisuli Cha chapati kije kifanye mabadiliko..
Kujimwambafai chumbani UNODah... Upishi, udobi na usafi ni fani kama urubani, udaktari, uhandisi, uvuvi ...nk na siyo kazi za wanawake kama wengi tunavyodhani.....wamama wanatakiwa wawe mahiri kwenye kazi moja TU![]()
We jamaa ukiachwa home toka na watoto mkale bata au u nampigia mpishi anakupikia chakula cha five star restaurant mama akirudi anakoma mwenyewe
Huo utakuwa msala mwengine mkuu! Heri kwenda kula sehemu nyengine kuliko kuleta mpishi navyojijua hawezi kuja mpishi jinsia yangu!! Lazima aje wakike hapa napo tuombeane uzima😂😂We jamaa ukiachwa home toka na watoto mkale bata au u nampigia mpishi anakupikia chakula cha five star restaurant mama akirudi anakoma mwenyewe
Naunga mkono hoja...tehUmeshaanza Ushimen.![]()

😀😀😀Naunga mkono hoja...teh![]()












Hata baadhi ya wamama tunapika hivyo eti
Uliziona wapiUmenikumbusha zile chapati zako![]()


Uliziona wapi
Hapana! Andaa Wali kidogo, mchanganyiko wa viazi hivyo kidogo na yai husika. Sahani isifikie 3 Quarter....Mkuu huu mchanganyiko mtu akila akitoa kitu Cha puuu.. si itakuwa shambulio la kigaidi hili..?
Ha ha mpaka hapo ushanichanganya!! We fanya uwezavyo sisi ndo tutakuwa wateja..Hapana! Andaa Wali kidogo, mchanganyiko wa viazi hivyo kidogo na yai husika. Sahani isifikie 3 Quarter....
Nakuhakikishia lazima niTrademark hili pishi.
Hii chapati ya chini imekaa kama kichwa cha mbwa aliyejilaza kitandani.