umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 667
Heshima yenu wakuu
Basi bwana nimekaa zangu hapa
Kausingizi kapo kwa mbali
Ghafla naingia humu alafu nakumbuka kipindi cha nyuma ambapo nilikuwa nikimuwaza kijana mmoja
Ambaye alishanitesa sana,ambaye nilikiri siwezi kuishi bila yeye,kijana wa Magufuli hahahah najicheka
Ukweli ni kuwa namkumbuka labda baada ya siku 4 au wiki ndo ananijia kichwan nimegundua hakuna kitu hakiwezekan what matter its all about time!
Nakutia moyo ambaye unakutana na hali kma hiyo unapoamua moyoni na ukasema now its over I need to mov on unapata nguvu mpya sema will take a time tu kumtoa huyo mtu moyoni.
Muda muda muda
[HASHTAG]#slp[/HASHTAG] well
Basi bwana nimekaa zangu hapa
Kausingizi kapo kwa mbali
Ghafla naingia humu alafu nakumbuka kipindi cha nyuma ambapo nilikuwa nikimuwaza kijana mmoja
Ambaye alishanitesa sana,ambaye nilikiri siwezi kuishi bila yeye,kijana wa Magufuli hahahah najicheka
Ukweli ni kuwa namkumbuka labda baada ya siku 4 au wiki ndo ananijia kichwan nimegundua hakuna kitu hakiwezekan what matter its all about time!
Nakutia moyo ambaye unakutana na hali kma hiyo unapoamua moyoni na ukasema now its over I need to mov on unapata nguvu mpya sema will take a time tu kumtoa huyo mtu moyoni.
Muda muda muda
[HASHTAG]#slp[/HASHTAG] well