pale unapoamini unajua lugha!

Omukuru

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
242
39
Mdada wa watu aliamini anaimba kingereza kumbe... ken lee
 
Last edited by a moderator:
hii najihisi nimewekewa mimi humu... jamani kama siwezi kiswhili sawasawa nijuzeni tuu,,,,, niliambiwa fumbo mfumbie mjinga/lakini mi mwenyewe binafsi inanichekesha hii link subhanallah/
 
all the best kwa huyu dada nice performance
more info http://en.wikipedia.org/wiki/Ken_Lee_(song)
 
This is the big one mi nilifikiria ametransform wimbo kwenda katika lugha yake yaani kama bongo ingekuwa ni kiswangilish?
 
Mi niko full ndani ya nyumba halafu we kigulu na njia kwa mashoga zako wakina Preta mi nipo tuuuu, utaniona sa ngapi bana lol

Aii jamni si huyu invisible huyu katubania chat hapa sijui nitakupate @
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…