pale unapoamini unajua lugha!

Omukuru

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
242
39
Mdada wa watu aliamini anaimba kingereza kumbe... ken lee
 
Last edited by a moderator:
hii najihisi nimewekewa mimi humu... jamani kama siwezi kiswhili sawasawa nijuzeni tuu,,,,, niliambiwa fumbo mfumbie mjinga/lakini mi mwenyewe binafsi inanichekesha hii link subhanallah/
 
all the best kwa huyu dada nice performance
Just prior to her audition for Music Idol (the Bulgarian version of the Idol series) Hasan informed the judges she intended to perform "the Mariah Carey song 'Ken Lee'." When she was corrected that the song was called "Without You", Hasan said, "No. It couldn't be..." before being interrupted by the judges. In the fan montages circulating in the internet, her performance was intercut with footage of an actual performance by Mariah Carey for ironic comparison. When she was asked what language the song was, she replied firmly that it was 'English', which she doesn't speak well.
more info http://en.wikipedia.org/wiki/Ken_Lee_(song)
 
This is the big one mi nilifikiria ametransform wimbo kwenda katika lugha yake yaani kama bongo ingekuwa ni kiswangilish?
 
Mi niko full ndani ya nyumba halafu we kigulu na njia kwa mashoga zako wakina Preta mi nipo tuuuu, utaniona sa ngapi bana lol

Aii jamni si huyu invisible huyu katubania chat hapa sijui nitakupate @
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom