Mawazo yako ila Membe mtoe kabisa,hatokaa ajitokeze tena,,yanayomkuta Manji kwake ni salamu tosha!!
Hussein Mwinyi?!! Kwa crdebility zipi?? Uzanzibar? Huyo hata Ubunge hasitahili,jina la Baba yake na le hulka ya kuwa watoto wa vigogo lazima wawe wabunge then mawaziri ndio vinambeba!! Kwangu Kingwendu ni bora kuliko huyo mtu!!
Hussein Mwinyi?!! Kwa crdebility zipi?? Uzanzibar? Huyo hata Ubunge hasitahili,jina la Baba yake na le hulka ya kuwa watoto wa vigogo lazima wawe wabunge then mawaziri ndio vinambeba!! Kwangu Kingwendu ni bora kuliko huyo mtu!!