donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
acha bas kasie sure umedata kumbe mnapenda maunoSasa mbona bibi harusi katulia tuu haonekani hapo anaacha mume wake anakumbatiwa na watu kibao.... tena kumbato la kumng'ang'ania kwelikweli huku miguuni ikiinuliwa juu looh ndo mwanzo wa kuibiwa mume hukoo wee anakinadisha hivyo hata mie nimeshawishika na mauno khaaa.
Mkijikuta katikati ya tendo wote mnakatika mauno........ weeh inakiwaga ni utamu kolea. ..acha bas kasie sure umedata kumbe mnapenda mauno
utam koleaMkijikuta katikati ya tendo wote mnakatika mauno........ weeh inakiwaga ni utamu kolea. ..
Hahah, mi kila saa nareplay yaan naona aliamua kufunika kwenye harusi yake mwenyeweMshenzi ana uwezo kweli kweli!
Mauno si ya nchi hiiHahahahaaaaaaa
Sio Kwa miuno hiyo
Jamaa aliona tu sio kesi akaamua kujiunga naoJamaa mwepesi hatari. Au mchezaji mwenzao?