Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Kama kuna watu wanaojidai ni "wasiojulikana" wakae mkao wa kula. Kama wanadhani dunia imesahau haya matukio basi wakae wakijua kuwa muda wowote kinaweza kunuka juu yao.
Dunia imeducument vizuri hayo matukio, ni bora waachane na michezo hiyo ya uonevu kwa sababu kadri watakavyoendelea kuyafanya ndivyo jinsi dunia inavyozidi kutunza kumbukumbu na siku moja jumba bovu litawaangukia!.
Wanasheria husema kuwa sheria huwa ni kipofu lakini huwa inaweza kuona gizani (Justice is blind but it can see in the dark).
Matendo yale ya kihuni walidhani wao watakuwa safe, hakuna mtu wa kuwagusa. Lakini ukweli ni kwamba watu wa kuwagusa wapo, nao ni jumuia za kimataifa kwa kushirikiana na wazalendo wa nchi hii!.
Siku azimio la uchunguzi dhidi ya matukio hayo likitoka, hawana pa kukimbilia, watasakwa popote pale walipo wafikishwe kwenye mkono wa sheria!.
Haki ya mtu, damu ya mtu havipotei, vitaendelea kulia na kutaka haki yake!.
Kaini Kaini, umefanya nini?, Damu ya ndugu yako inanililia!.
Dunia imeducument vizuri hayo matukio, ni bora waachane na michezo hiyo ya uonevu kwa sababu kadri watakavyoendelea kuyafanya ndivyo jinsi dunia inavyozidi kutunza kumbukumbu na siku moja jumba bovu litawaangukia!.
Wanasheria husema kuwa sheria huwa ni kipofu lakini huwa inaweza kuona gizani (Justice is blind but it can see in the dark).
Matendo yale ya kihuni walidhani wao watakuwa safe, hakuna mtu wa kuwagusa. Lakini ukweli ni kwamba watu wa kuwagusa wapo, nao ni jumuia za kimataifa kwa kushirikiana na wazalendo wa nchi hii!.
Siku azimio la uchunguzi dhidi ya matukio hayo likitoka, hawana pa kukimbilia, watasakwa popote pale walipo wafikishwe kwenye mkono wa sheria!.
Haki ya mtu, damu ya mtu havipotei, vitaendelea kulia na kutaka haki yake!.
Kaini Kaini, umefanya nini?, Damu ya ndugu yako inanililia!.