Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

amejitapa kweli bungeni kuwa yeye ni kichwa tangu enzi hizo, amejifananisha na 'Yusufu/Yosefu' yule mtoto wa Yakobo aliyeuzwa na nduguze kisha akaja kuwa mkombozi wao, kamlizia kwa kutoa 'homework' kuwa tukasome 'surat yusuf' na kitabu cha mwanzo sura fulani hivi.
baada ya kumaliza kumsikiliza nikagundua kweli hawa maprofesa wetu wanatuona sisi wengine 'mbuzi' tu.
Mahiga ni mwanadiplomasia wa muda mrefu lakini kabudi yeye anajua historia sio diplomasia. Hii lugha aliyotumia itaigharimu serikali ya awamu ya tano. Tukumbuke lugha ya Rais Mugabe dhidi ya nchi za magharibi matokeo yake.
 
Kuna wapiga debe wanaojipendekeza na kuwaandikia wazungu umbea wakilenga kushinikiza Serikali kunyimwa misaada. Na wakisikia usitishwa misaada wanajiona wameshinda na kuanza kusherehekea. Kabudi anawaambia misaada kama hiyo yenye masharti wacha na iende!!
Kwamba wazungu wameamuwa kwa ku base kwenye baruwa za kimbea mbea?
 
Rais anayapenda mavi-ongozi yasiyoshirikisha ubongo kwenye kuongea kama li porofesa kala magamba!
 
Kuomba kwa mzungu hakukwepeki kwani hata sasa tunaomba ila hatupewi misaada kisa rais na chama chake kutokuheshimu box la kura. Nyerere alileta jeuri tukavaa viraka, awamu hii ina jipya lipi dhidi ya mzungu?
Ujinga wa kukurupuka kuchonga mdomo kabla ya kuunganisha bongo kichwani.
Ni kwasababu hawawajibishwi ni majanga tu.
 
Hv reserve ya dola ya miez mitano ndo inaleta kiburi hv.
 
Aliemuelewa huyu anitafsrie, maana sijamuelewa hasaa.
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
 
amejitapa kweli bungeni kuwa yeye ni kichwa tangu enzi hizo, amejifananisha na 'Yusufu/Yosefu' yule mtoto wa Yakobo aliyeuzwa na nduguze kisha akaja kuwa mkombozi wao, kamlizia kwa kutoa 'homework' kuwa tukasome 'surat yusuf' na kitabu cha mwanzo sura fulani hivi.
baada ya kumaliza kumsikiliza nikagundua kweli hawa maprofesa wetu wanatuona sisi wengine 'mbuzi' tu.
Na kama hukumuelewa alichoongea kweli ni mbuzi.
 
nimemwelewa kuwa hana akili, sio kila unachokiamini unakiongea mbele ya kamera ni ujinga na utoto, dunia haiko fair lazima ujue namna ya kuishi na 'wakubwa', ukijifanya jeuri utaishia waliko Zimbabwe na Venezuela
Hizo sera hazina nafasi katika awamu hii, tulimchagua wengi (the majority) na tunamuunga mkono, wakati wa uchaguzi ukiwadia chagueni kibaraka wenu wa wazungu mnayemtaka na tutaheshimu maamuzi yenu maadamu mtakuwa wengi.
 
Hizo sera hazina nafasi katika awamu hii, tulimchagua wengi (the majority) na tunamuunga mkono, wakati wa uchaguzi ukiwadia chagueni kibaraka wenu wa wazungu mnayemtaka na tutaheshimu maamuzi yenu maadamu mtakuwa wengi.
hata mugabe alikua ana claim kuchaguliwa na majority
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
Wewe unataka tuwe nini, Kimashariki/KiChina?

Kiafrika kikoje?

Mtu unapokuwa na elimu yako, ukashindwa kuitumia elimu hiyo ipasavyo, ukabaki kuwa na nyimbo za wewe kuchotwa akili na 'wamagharibi' kwa kila kitu, maana yake ni kuwa elimu uliyopata haikusaidii chochote.

Huwezi kuja hapa na kusema mabaya yote tunaletewa na 'wamagharibi.' Kama unaelewa maana ya 'Demokrasia huwezi kuja hapa na kusema hiyo ni ya 'magharibi', kwa hiyo ni mbaya! Ni kwamba hujui demokrasia ni nini.

Unapotaka dikteta ndie awe wa kuamua kila jambo linalowagusa wananchi, hiyo wewe ndio unaona ni uafrika wetu kwa hiyo tuusifu?
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
Kiongozi anayefaa kwa karne hii ni yule tu mwenye uwezo kuisaidia nchi yake kuimarika na kukua kiuchumi.

Kabudi ni balaa kwa Taifa. Sera zake zimefifisha uchumi na anataka kuua diplomasia ya kiuchumi. Maneno ya kujigamba na kujitapa kwa mambo ya kipuuzi hayawezi kukisaidia Taifa letu.
 
Hiyo nafasi inamfaa Mahinga tu kilicho mponza Mahinga ni kuwa siyo mtu wa media halafu siyo mtu wa kukurupuka bila kufanya tathimini....
Hakika naungana nawe. Mahiga was the best for that position. Kabudi angeweza kufaa kwenye Wizara ya Utamaduni.
 
Back
Top Bottom