donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Hahah ni mgawanyo wa majukumu mkuuhahahaha unampata kwa mateso, kesho ukiwa nyumba kubwa unasaidiwa huku dadeq
Kwanini wanena hivyo?ukimwekea mwanaume wa dar hilo jiwe mnaenda kuzika kabisaaaaa
ukimwekea mwanaume wa dar hilo jiwe mnaenda kuzika kabisaaaaa
Wabongo mahari tu zinawashinda, wanaishia kutoroshana, sembuse hilo jijiwe !
Ukidondosha mfupa wa kitimoto jirani, utasikia kavunjika spinal code
Itakua limestone nn