Paka wa Schrödinger

Hasa hasa banknote!tnx

Well, uzi huu tulikuwa tunaangalia na kufahamishana vitu vidogo sana vinavyounda matter etc. vikoje-vikoje! Ya kuunda banknotes hiyo ni classical phyisics ambayo hapa tulikuwa tumeiweka pembeni. Labda kuna uzi mwingine unaozungumzia maswala hayo. Asante mkuu.
 
That's why I like science. Hii ndo inatofautisha akili kubwa na akili ndogo! Thank u mwalimu, that's why avatar yako ni alien the ever believed creatures in the universe.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
That's why I like science. Hii ndo inatofautisha akili kubwa na akili ndogo! Thank u mwalimu, that's why avatar yako ni alien the ever believed creatures in the universe.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

:) Jumong S , tuko pamoja. Chungulia pia mada ya nyota na mada ya muda kama bado hujazitupia jicho. Interesting stuffs kutoka kwa wachangiaji mbalimbali.
 
Heshima kwenu wakuu, huko mimi nilikimbia kabisa....





Amitabh

GAUTAMA hupaswi kukimbia kuna mengi mazuri ya kujifunza huku kuhusu paka wa schroder ni mada ambayo iko deep kama mafudhisho ya Buddha yalivyo! kwakuwa umejipa ID ya gautama nina hakika una habari za kutosha kuhusu MILEFO-future buddha! kuna kitu ambacho hakijagunduliwa duniani-mbadala wa coputer! paka wa schrodinger ana majibu yote kwakuwa ni dhana iliyo hai. AMITOFO!!! AMITOH'UNA!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nadhani hapa ndio mahali pake pa kujadili mambo mengi yatokanayayo na yahusuyo dhana hii.
Mkuu ulipotelea wapi? Nondo zako nazikumbuka sana miaka ya 2013-2014, nimetafuta sana thread zako mpya sijaona.

Km Upo Rudi mkuu, ulikuwa unanogesha sana hili jukwaa
 
Nashukuru Mungu nilitoka na ka B+ kangu ka quantum physics pale DUCE ila sitaki maswali maana nachokijua siwezi kukieleza kwa mtu nikaeleweka Einstein kitu gani bana, mbona yeye alishindwa kuelezea vizuri relativity japo saivi watu wanaanza kumsoma.
 
Chenga tupu..
Ngoja nijaribu kusoma tena
Ha ha ha! rudi kwenye mfano wake wa kwanza wa mpira oanisha na huyo paka 50% anaweza kufa 50% hawezi kufa... Anamaanisha kuwa ktk ulimwengu wa atom vitu vinaweza kutokea Kwa chance(sidhani kama ni neno rasmi sana) hapa duniani ukirusha kitu kitarudi maana ndo kanuni iliyopo lkn kwenye atom mfano ukirusha kitu kitakuwa Na asilimia 50 kwenda juu bila kurudi Na asilimia 50 kurudi..
 
Ha ha ha! rudi kwenye mfano wake wa kwanza wa mpira oanisha na huyo paka 50% anaweza kufa 50% hawezi kufa... Anamaanisha kuwa ktk ulimwengu wa atom vitu vinaweza kutokea Kwa chance(sidhani kama ni neno rasmi sana) hapa duniani ukirusha kitu kitarudi maana ndo kanuni iliyopo lkn kwenye atom mfano ukirusha kitu kitakuwa Na asilimia 50 kwenda juu bila kurudi Na asilimia 50 kurudi..
Kidooooogo wewe ninakupata mkuu
Kwahiyo huyo paka anamaanisha ni kitu gani?
 
Kidooooogo wewe ninakupata mkuu
Kwahiyo huyo paka anamaanisha ni kitu gani?
Huyo paka ni mfano tu ambayo ameelezea kama mantiki ya mada ili uelewe lkn mfano wa huo wapaka umekuwa mgumu kueleweka lkn ukitaka kuelewa kwa urahisi tumia huo mfano wa kwanza wa mpira ikiwa ndo kama paka 50% mzima na 50% kafa! ingekuwa kanuni za dunia zingekuwa kama za kwenye atom huyo mtoto atategemea matokeo mawili lkn yote yakiwa asilimia 50 kwa 50 kutokea.. pindi atakaporusha mpira kuna mpira kwenda juu au kurudi chini ni sawa na kusema paka huyo amekufa kwa asilimia 50 na yupo hai kwa asilimia 50! msome hapo kwenye atom jinsi inavyofanya kazi(kanuni zake) uelewe zaidi
 
Uzi bila picha haunogi
tapatalk_1525206753536.jpeg
 
Mkuu nikiwa entangled na Ndugu yangu ambae akaenda kwenye dunia nyingine akifa nitapata habari kiaina.? I.e. nitaweza kuentangle na mtu mwingine hapo baadae
? kwa kifupi Bond ya entanglement inawezekana kuvunjwa ?
 
Hii ni mada ngumu tokea nijiunge jamii forums. Niliisoma mwaka 2014 sikuielewa, nimeisoma tena leo ndio nimechanganyikiwa kabisa.
Halafu Active kwa nini mlifungia mada ya huyu jamaa inayohusu ukweli wa kustaajabisha kuhusu nyota za angani?
 
Back
Top Bottom