paka ageuka binadamu live....kwa sasa yupo mabibo

paka ageuka binadamu live....kwa sasa yupo mabibo

Watu wanaoweza kurekodi visa kama hivi hupata fedha nyingi kwa kuuza rekodi hizo kwa vyombo vya habari...

Sasa ninyi mlikuwa busy kurusha mawe badala ya kutumia fursa kama hiyo kutengeza shekeli...
 
Nimekumbuka stori ya jini manyosha yule wa mitaa ya selander blidge.
 
mmhh hii sasa kali kumbe wanga wapo,toka tabora mpaka huko anafata nini,na alikuwa uchi au
 
aaaaaaaaaaaahm nasikia usingizi...,niwekee picha hili unitishe nipate kuendelea kuwa macho.....
 
Tanzania is very very poor because of Witchcraft. Tanzanians loooove witchcraft, it is pathetic to see even young people are enticed in witchcraft.

Why don't you people be innovative and build your life?
 
Jana nilikuwa pande hizo sijasikia hii habari mbona ?nilikuwa msibani mabibo mwisho ambapo si mbali na beach ya mabwawa saba
 
....ilikuwa hivi

paka alikuwa amezubaa njia panda eneo la mabibo beach boy, hili eneo hukaa, huzurura vijana wengi wasio na bahati ya ajira inayoeleweka

jamaa mmoja akamrushia jiwe kimasihara paka akawafwata kundi la watu kwa mkwara flani, watu wakaongeza kasi ya kumrushia mawe akajaribu kuingia nyumba jirani bila mafanikio. mara akaanza kulia kwa sauti kali kwa muda mrefu jambo lililoshangaza

within five minutes yule paka akiwa anajigaragarza akawa anatuna mara gafla akawa mtu live.

watu wakaanza kumpiga ila mie niliwazuia na kuwaomba wamzingire tuone itakuwaje

baadae akaanza kuongea akisema ametokea tabora na yupo pale na bibi yake.Akadai bibi yupo pale kiganjani mwa mkono wako na ndiye anayemjalia uwezo.

ikawa fujo ila polisi waliwahi kufika na sasa yupo kituo cha polisi kawawa shule ya msingi.

alikuwa dogo, kichogo kikubwa na mweusi.

Nyepesi nyepesi, Radio One Stereo!
 
...........baadae akaanza kuongea akisema ametokea tabora na yupo pale na bibi yake. Akadai bibi yupo pale kiganjani mwa mkono wakona ndiye anayemjalia uwezo...........
  • Mleta mada Marytina hapa sijakusoma kabisa
  • Waweza rudia tena hiyo sentesi.:tape:
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom