Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

Ila mods Active Paw Humu ndani Uislamu umezidi kutukanwa kwa kila aina ya tusi halafu hatuoni jitihada zenu au ni lengo la Jf kufarakanisha watu?
Huyu kaleta mada hii ya dhihaka na sio leo tu since yesterday mngekua mnazifuta thread kma hizi zisingeletwa Boqin celix
 
Ninyi kobazi bila kudhibitiwa hii dunia tungesha silimishwa wote.

Acha Marekani🇺🇲 aendelee kutawala dunia tu.

Hebu vuta picha, Iran🇮🇷 ndio angekuwa super power wa dunia?

Watu wange silimishwa, by fire by force. 😂

Nchi yoyote ambayo ingegoma kusilimu, ingepigwa vikwazo vya kiuchumi.

Watu wangepigwa mabomu kabisa.

Sasa hivi hapa JF tungekuwa tunajadiliana kwa kiarabu.
 
Tunashauri mamlaka zitenge bajeti ya kujenga Misikiti kila Stesheni za SGR kwa ajili ya Swala kwa abiria. Kwa sasa usumbufu ni Mkubwa Sana kufanya ibada ukiwa safarini. Na Ramadhan inakuja
Ni kweli kabisa ijengwe misikiti na makanisa.
 
Sambamba na makanisa for RC, anglikana, othodox, kkkt. Wakimaliza hapo watukumbuke na sisi wapagani sehemu yetu ya kuabudia miungu yetu.
Kanisa la nini? Wakristo kusali ni mara moja kwa wiki hamna haja ya kanisa, ndo maana hata mitaandi kanisa la Roma utakuta liko moja wilaya nzima, maana ibada siyo kila siku ni siku moja tu.
 
Ila mods Active Paw Humu ndani Uislamu umezidi kutukanwa kwa kila aina ya tusi halafu hatuoni jitihada zenu au ni lengo la Jf kufarakanisha watu?
Huyu kaleta mada hii ya dhihaka na sio leo tu since yesterday mngekua mnazifuta thread kma hizi zisingeletwa Boqin celix
Acha kuhangaika mzee hao mods wenyewe ndo wanatumia account zingine kutukana uislam kwahiyo usijichoshe
 
Ninyi kobazi bila kudhibitiwa hii dunia tungesha silimishwa wote.

Acha Marekani🇺🇲 aendelee kutawala dunia tu.

Hebu vuta picha, Iran🇮🇷 ndio angekuwa super power wa dunia?

Watu wange silimishwa, by fire by force. 😂

Nchi yoyote ambayo ingegoma kusilimu, ingepigwa vikwazo vya kiuchumi.

Watu wangepigwa mabomu kabisa.

Sasa hivi hapa JF tungekuwa tunajadiliana kwa kiarabu.
Mbona uko nyuma sana, hata sasahivi fatilia ulaya ni dini gani inakua kwa kasi ndo haohao waislam usiowataka
 
Back
Top Bottom