Padri akamatwa na gari ya wizi

Padri akamatwa na gari ya wizi

Kwa kuwa ni padri hakuna kesi,hivi ile kesi ya gwajima bado ipooo???
 
Kakamatwa akiwa ameliiba au ameuziwa tu?

Kama kaiba yeye basi awajibike,kama kauziwa basi aliyemuuzia awajibike.
mkuu si unajua ukikamatwa na mali ya wizi nawe unahesabika kuwa ni mwizi mpaka pale mwizi halisi apatikane.
 
Back
Top Bottom