Padri akamatwa na gari ya wizi

Padri akamatwa na gari ya wizi

why usiandike kwamba watu wanne wezi wa magari wamekamatwa....padre unadhani ni malaika? ni mtu kama wewe na upadre ni kazi yake kama ilivyo labda mwalimu au polisi.
Usiwe mjinga padre ni alter christus huwezi mfananisha hata na rais
 
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema wamekamata wezi wanne wa magari akiwemo Padri wa kanisa katoliki Parokia ya Sumbawanga na anahojiwa.

Pia wamekamata vizuizi vyenye misumari vinavyowekwa barabarani ili kusababisha magari kupata ajali na kuyapora huko Mbweni na wametoa onyo kwa watu wanaofanya mchezo huo.



Uandishi wa ki boya sana huu.
 
Nna uhakika kuna mmoja ana familia kaificha huku na yeye anatoa huduma ya kiroho sehemu ya mbali kidogo,je taratibu zenu zinaruhusu?
Sasa usiseme Mapadre sema Padri kwani ww ktk familiya yenu mmoja akiwa kicheche utaturuhusu tuwaite nyie wote vicheche ?
 
Acha uboya. Hata wewe unaweza kuuziwa mali ya wizi bila kujua. Hivi hujawahi kuona mtu ananunua gari kutoka kwa mtu alienunua gari kwa mtu mwingine na jina bado ni la mtu alieingiza gari kutoka Japan? Ndio Bongo hio.
Mm naongea kwa udhibitisho siropok....wakati nafanya kaz ndanda mission tushawah kupiga container kipao za vitu mbali mbal na dil tunasuka na mapadr ww ...stuka nch hii [emoji12]
 
Mm naongea kwa udhibitisho siropok....wakati nafanya kaz ndanda mission tushawah kupiga container kipao za vitu mbali mbal na dil tunasuka na mapadr ww ...stuka nch hii [emoji12]
Hongera.
 
Wale mapdr waliotupiga escro vp wale .....wakina kilaini ..[emoji12]
Kipindi ambacho msamaha wa kodi kwa mashirika ya din mapadr walikuwa wanaagiwa na raia magar ili yasilipiwe ushuru kwa kimvul cha kanisa ......[emoji23] hapo jee
 
Mkuu mm niamini nakwambia ...mm ni ukiristo safi ila makanisa yana weekness nyingi kwel kwel ...kuliko unavyodhan mm nishafanya kaz huko miaka mingi kidogo najua in and out ......
Hasa haya mashirika ya hospital ambazo serikal inapeleka ruzuku ndio acha kabisa kabisa ...ukiwa accounts utajiuliza Hawa watu wa din au ???
Kipindi cha kikwete ilivuja moja ksms lakin ikazimwa ........
Serikal ifuatilie sana haya mashirika ya kikristo ni wapigaji sana sana ......
 
Back
Top Bottom