Padri akamatwa na gari ya wizi

Padri akamatwa na gari ya wizi

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
2,194
Reaction score
4,805
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema wamekamata wezi wanne wa magari akiwemo Padri wa kanisa katoliki Parokia ya Sumbawanga na anahojiwa.

Pia wamekamata vizuizi vyenye misumari vinavyowekwa barabarani ili kusababisha magari kupata ajali na kuyapora huko Mbweni na wametoa onyo kwa watu wanaofanya mchezo huo.

 
Hakuna parokia ya sumbawanga lile ni jimbo la Sumbawanga,afu nahisi km namfaham huyo kasisi mi nilijua wameshaimaliza hiyo kesi kumbe ndo bado inaendelea.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] padri wa mwendokasi
 
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema wamekamata wezi wanne wa magari akiwemo Padri wa kanisa katoliki Parokia ya Sumbawanga na anahojiwa.

Pia wamekamata vizuizi vyenye misumari vinavyowekwa barabarani ili kusababisha magari kupata ajali na kuyapora huko Mbweni na wametoa onyo kwa watu wanaofanya mchezo huo.


why usiandike kwamba watu wanne wezi wa magari wamekamatwa....padre unadhani ni malaika? ni mtu kama wewe na upadre ni kazi yake kama ilivyo labda mwalimu au polisi.
 
Itakuwa kauziwa gari ya wizi tu lakini siyo kwamba yeye ni mwizi !!!
Pia tuwe makini na magari ya bei rahisi; mfano: gari ya 15ml wewe unauziwa 8ml.
 
Tuombeeeee
Kama ilivyoandikwaaa,samehe saba mara sabiniiii
(ngoja mafarisayo na wagalatia waje)
 
Kama ameiba yeye basi haina shida apelekwage jela tu akawahubirie masela...

Ila kama ameuziwa tu hapana shaka atatoka tu
 
nishauri mnao fatia msikebei katoliki sio pahala pa kukebei kwa kebehi tulizo zoea, vinginevyo mnatafta visihipa vya k
 
Mapadri wengi wapigaji sana sana .....
Acha uboya. Hata wewe unaweza kuuziwa mali ya wizi bila kujua. Hivi hujawahi kuona mtu ananunua gari kutoka kwa mtu alienunua gari kwa mtu mwingine na jina bado ni la mtu alieingiza gari kutoka Japan? Ndio Bongo hio.
 
Back
Top Bottom