Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 2,194
- 4,805
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar amesema wamekamata wezi wanne wa magari akiwemo Padri wa kanisa katoliki Parokia ya Sumbawanga na anahojiwa.
Pia wamekamata vizuizi vyenye misumari vinavyowekwa barabarani ili kusababisha magari kupata ajali na kuyapora huko Mbweni na wametoa onyo kwa watu wanaofanya mchezo huo.
Pia wamekamata vizuizi vyenye misumari vinavyowekwa barabarani ili kusababisha magari kupata ajali na kuyapora huko Mbweni na wametoa onyo kwa watu wanaofanya mchezo huo.