Padre Kitima aitumia TEC vibaya

Padre Kitima aitumia TEC vibaya

Sijafika kwenye uhalali kwnz
Shida ya wao kutaka kuandamana ilukua ni nini
Rais Samia Suluhu amesema, haina haja ya kupeleka maandamano X-mass, muda wowote mkitaka kuja nyie njooni tu mtakuta tumejipanga. Haya ndio mambo tunapenda kusikia, leteni usenge wenu sasa.
 
View attachment 3510268
Kuhusu maandamano maalum, hakuna tamko la TEC au Kitima la kuwonya vijana kutofanya maandamano yaliyokatazwa ya Oktoba 29, 2025. Badala yake, baada ya vifo, Kitima alisema "vijana wanataka mabadiliko," na kuwataka wajibu.

Pia, kuhusu maandamano yanayopangwa Desemba 9, 2025, hakuna onyo lolote kutoka TEC. Hii inapingana na historia ya kanisa la kutoa maonyo ya amani, kama ilivyofanya 2018. Je, hii ni kutokuwa na uwezo au ni msimamo wa kutoingilia maandamano ya "haki"?


Jana, Desemba 1, 2025, Padre Kitima alitoa tamko la kutoa maoni lenye nguvu, akiitaka serikali itaje na kuwahukumu wale walioua watu wakati wa maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano na vyombo vya habari, Kitima alidai kuwa "mamia ya watu wamekufa" na alilaani "mauaji ya halaiki" na "kupotea kwa watu" kwa mkono wa serikali, akiongeza kuwa serikali haijatoa idadi rasmi au kulaani mauaji hayo. Hii ni sauti ya haki za binadamu, lakini inazua maswali makali:

Hakuna rekodi ya tamko lake la kutoa maoni kuhusu upande mwingine wa sarafu—kuchoma miundombinu ya serikali kama vituo vya polisi, mahakama, vituo na mabasi ya mwendokasi, na kuiba au kuharibu mali za watu binafsi wakati wa ghasia hizo.

Uchambuzi wa ripoti za Human Rights Watch na Al Jazeera unaonyesha kuwa maandamano hayo yalikuwa na "vifaa vya vurugu" na "vurugu dhidi ya mali za serikali," lakini Kitima, katika matamko yake, amekuwa akilenga tu upande wa serikali, bila kushuku au kutoa maoni kuhusu wale wanaosababisha uharibifu. Hii inaweza kuonekana kama dalili ya upande wake—hasa ukaribu wake na CHADEMA—ambapo mauaji ya polisi yanalaaniwa, lakini vurugu za waandamanaji zinadogoshwa au kupuuzwa.

Je, hii ni kutokuwa na usawa, au ni mkakati wa kutoa sauti kwa wasio na sauti bila kutoa haki kwa wote? Historia ya tamko lake la awali, kama la 2024 kuhusu kukamatwa kwa Lissu, inaonyesha mwelekeo huu, na hivyo kuimarisha wazo la kuwa TEC inatumika kupitisha hoja za Kitima za kisiasa badala ya umoja wa kanisa.

Hitimisho:
Padre Kitima ni mtu jasiri na mwenye elimu, na umaarufu wake unaweza kuwa ni baraka kwa kanisa. Lakini matumizi yake ya TEC kama jukwaa la maoni binafsi—kuanzia ukaribifu na CHADEMA hadi kukosekana kwa maonyo katika maandamano na upande usio na usawa katika vurugu za Oktoba 29—inaonyesha hitaji la muundo thabiti zaidi.

TEC si ofisi ya mtu mmoja; ni chombo cha umoja. Kama inavyosema tafakari yao ya Novemba, "haki inahitaji kujadili ukweli." Je, sasa ni wakati wa maaskofu kujadili ukweli wa ndani yao wenyewe? Tanzania inahitaji sauti ya kanisa, lakini si sauti moja tu.

Ikiwa TEC itaendelea hivyo, inaweza kupoteza uaminifu wake, na historia itamkumbuka Kitima kama mpinzani mkubwa... au kama mpinzani wa kanisa lake lenyewe.
Sisi BAKWATA tunakuunga mkono!
Wingi wa sentensi 'kifo ni kifo' ni 'vifo ni vifo'.
 
Kumbe Kitima kusema watu waliletwa hospitali wakiwa wana majeraha ya risasi na policcm kusema wasitibiwe tupa huko wakafie mortuary ndio kutumia TEC vibaya?

Kumbe TEC nao waliingia na mitutuya AK-47 na kuua watu mitaani?

Kumbe Kitima ndio alikua katika hili kundi la hawa wenye kofia akipiga watu risasi wasio na silaha?
20251104_030225.jpg
 
Kumbe Kitima kusema watu waliletwa hospitali wakiwa wana majeraha ya risasi na policcm kusema wasitibiwe tupa huko wakafie mortuary ndio kutumia TEC vibaya?

Kumbe TEC nao waliingia na mitutuya AK-47 na kuua watu mitaani?

Kumbe Kitima ndio alikua katika hili kundi la hawa wenye kofia akipiga watu risasi wasio na silaha?
View attachment 3510519
Ulitaka watulize vipi yale magenge ya mahayawani waliokuwa wanachoma vituo vya petroli na mwendokasi?
 
Polepole alikuwa Cuba ambapo alikuwa Balozi. Alijiuzulu kazi ya Ubalozi na kuanza kuishutumu Serikali akiwa Cuba. Polisi walitoa taarifa kuwa wanamhitaji afike kituo cha Polisi ili wakamhoji kuhusu tuhuma zinazomhusu.

Officially Polepole hajarudi Tanzania
Unapoanza kunya sebuleni ati kwa vile wewe mwenye nyumba, ujue hapo unasubiriwa timing tu.
 
Ulitaka watulize vipi yale magenge ya mahayawani waliokuwa wanachoma vituo vya petroli na mwendokasi?
Master Tindwa wa Clouds TV na Sheikh Sharif Majini nao walikua wanachoma vituo vya mafuta kumbe?
 
Katika nchi yetu ya Tanzania, ambapo siasa na dini mara nyingi huchanganyika kama maji na mafuta, jukumu la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limekuwa la kipekee. TEC, iliyoanzishwa mwaka 1956, ni chombo cha maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini, chenye madaraka ya kutoa miongozo ya kiroho na kijamii kwa waumini wake na jamii kwa ujumla. Lakini kwa miaka michache iliyopita, jukumu hili limekuwa likiwa na mvutano mkubwa, hasa chini ya uongozi wa Katibu Mkuu wake, Padre Dkt. Charles Kitima. Kitima, padri mwenye elimu ya juu na sauti yenye nguvu, amekuwa na umaarufu unaozidi hata Rais wa TEC na maaskofu wengine. Je, hii ni bahati nzuri ya kanisa au ni ishara ya kushindwa kwa muundo wa kimila?
Nani amekwambia kwamba Pd. Charles Kitima ni Katibu wa TEC?
 
Katika nchi yetu ya Tanzania, ambapo siasa na dini mara nyingi huchanganyika kama maji na mafuta, jukumu la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limekuwa la kipekee. TEC, iliyoanzishwa mwaka 1956, ni chombo cha maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini, chenye madaraka ya kutoa miongozo ya kiroho na kijamii kwa waumini wake na jamii kwa ujumla. Lakini kwa miaka michache iliyopita, jukumu hili limekuwa likiwa na mvutano mkubwa, hasa chini ya uongozi wa Katibu Mkuu wake, Padre Dkt. Charles Kitima. Kitima, padri mwenye elimu ya juu na sauti yenye nguvu, amekuwa na umaarufu unaozidi hata Rais wa TEC na maaskofu wengine. Je, hii ni bahati nzuri ya kanisa au ni ishara ya kushindwa kwa muundo wa kimila?
Unajua Dr.Slaa naye alikua katibu wa TEC??Katibu wa TEC ndo injine ya baraza la Maaskofu, hiyo nafasi hua hakai mtu mnyonge, anza na kina DR.Slaa ndo utaelewa.
Historia ya kanisa katoliki kupingana na udhalimu ipo tangu miaka 2000 nyuma. Umeskia tamko la maaskofu wa Zambia two weeks ago, unajua Congo hapo jirani kanisa katoliki linavyotoa miongozo na statements mamlaka zinang'aka lkn lipo miaka yote???
Padre Kitima alipokua anaongea kuhusu waliouawa alitenganisha wakristu na waislam??
Halafu nyinyi na serikali yenu ya kidhalimu mbona hamuongelei vifo, mko busy na miundo mbiny, mnataka kila mtu aongelee miundo mbinu???
How many people have you killed, familia ngapi mmeumiza???Hayo mbona hamsemi??
Hivi nyinyi watu mna UTU kweli??
Bila shaka mnalipwa kutetea maovu.Suala sio Samia, suala ni haki
 
Unajua Dr.Slaa naye alikua katibu wa TEC??Katibu wa TEC ndo injine ya baraza la Maaskofu, hiyo nafasi hua hakai mtu mnyonge, anza na kina DR.Slaa ndo utaelewa.
Historia ya kanisa katoliki kupingana na udhalimu ipo tangu miaka 2000 nyuma. Umeskia tamko la maaskofu wa Zambia two weeks ago, unajua Congo hapo jirani kanisa katoliki linavyotoa miongozo na statements mamlaka zinang'aka lkn lipo miaka yote???
Padre Kitima alipokua anaongea kuhusu waliouawa alitenganisha wakristu na waislam??
Halafu nyinyi na serikali yenu ya kidhalimu mbona hamuongelei vifo, mko busy na miundo mbiny, mnataka kila mtu aongelee miundo mbinu???
How many people have you killed, familia ngapi mmeumiza???Hayo mbona hamsemi??
Hivi nyinyi watu mna UTU kweli??
Bila shaka mnalipwa kutetea maovu.Suala sio Samia, suala ni haki
Je huko DRC ambako RC ndiyo dominant, wamefanikiwa nini katika kuleta amani na maendeleo?

Je wakati Jimbo la Kivu linanyakuliwa na M23, hiyo TEC ya DRC imechukua hatua gani?

Viongozi wa kiroho wajikite na kazi za kiroho tu
 
Je huko DRC ambako RC ndiyo dominant, wamefanikiwa nini katika kuleta amani na maendeleo?

Je wakati Jimbo la Kivu linanyakuliwa na M23, hiyo TEC ya DRC imechukua hatua gani?

Viongozi wa kiroho wajikite na kazi za kiroho tu
Kukaza kwao fuvu ndo kumesababisha nchi inameguka, si unaona M23 wamechukua jimbo, mauaji yanayoendelea.yote haya ni sababu ya kujizima data.Wanaambiwa haki, ufisadi, matumizi sahihi ya rasilimali wanakaza vichwa na kujiona wako sahihi.
Na nyinyi na serikali yenu hivyohivyo: mnaambiwa kila siku, mnashauriwa kila siku, mnapewa waraka kila siku, lakini mnakaza vichwa..mnasema nyinyi ni kama CHURA KIZIWI..hamsikii chochote.
Matokeo yake si ndo tumeanza 29 October, watu wamekufa,mali zimeharibiwa.
Mpaka sasa hakuna amani, umeina jana Rais alivyopanik...hana furaha, ana hasira....angalia mabarabarani..wanajeshi na mabunduki kila kona...HAYA YOTE TUNALIPA SABABU YA UBISHI WENU.
TEC na viongozi wengine wa dini wao kazi yao ni kutoa maonyo tu, ndo wajibu wao, mkikaza mafuvu damu itakuwa juu yenu, yao wameishamaliza..
 
Kukaza kwao fuvu ndo kumesababisha nchi inameguka, si unaona M23 wamechukua jimbo, mauaji yanayoendelea.yote haya ni sababu ya kujizima data.Wanaambiwa haki, ufisadi, matumizi sahihi ya rasilimali wanakaza vichwa na kujiona wako sahihi.
Na nyinyi na serikali yenu hivyohivyo: mnaambiwa kila siku, mnashauriwa kila siku, mnapewa waraka kila siku, lakini mnakaza vichwa..mnasema nyinyi ni kama CHURA KIZIWI..hamsikii chochote.
Matokeo yake si ndo tumeanza 29 October, watu wamekufa,mali zimeharibiwa.
Mpaka sasa hakuna amani, umeina jana Rais alivyopanik...hana furaha, ana hasira....angalia mabarabarani..wanajeshi na mabunduki kila kona...HAYA YOTE TUNALIPA SABABU YA UBISHI WENU.
TEC na viongozi wengine wa dini wao kazi yao ni kutoa maonyo tu, ndo wajibu wao, mkikaza mafuvu damu itakuwa juu yenu, yao wameishamaliza..
Sasa si umesema Kanisa Katoliki lina nguvu DRC, wanashindwaje sasa kumuweka kiongozi wa Katoliki ambaye atawatoa M23
 
View attachment 3510268
Kuhusu maandamano maalum, hakuna tamko la TEC au Kitima la kuwonya vijana kutofanya maandamano yaliyokatazwa ya Oktoba 29, 2025. Badala yake, baada ya vifo, Kitima alisema "vijana wanataka mabadiliko," na kuwataka wajibu.

Pia, kuhusu maandamano yanayopangwa Desemba 9, 2025, hakuna onyo lolote kutoka TEC. Hii inapingana na historia ya kanisa la kutoa maonyo ya amani, kama ilivyofanya 2018. Je, hii ni kutokuwa na uwezo au ni msimamo wa kutoingilia maandamano ya "haki"?


Jana, Desemba 1, 2025, Padre Kitima alitoa tamko la kutoa maoni lenye nguvu, akiitaka serikali itaje na kuwahukumu wale walioua watu wakati wa maandamano ya Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano na vyombo vya habari, Kitima alidai kuwa "mamia ya watu wamekufa" na alilaani "mauaji ya halaiki" na "kupotea kwa watu" kwa mkono wa serikali, akiongeza kuwa serikali haijatoa idadi rasmi au kulaani mauaji hayo. Hii ni sauti ya haki za binadamu, lakini inazua maswali makali:

Hakuna rekodi ya tamko lake la kutoa maoni kuhusu upande mwingine wa sarafu—kuchoma miundombinu ya serikali kama vituo vya polisi, mahakama, vituo na mabasi ya mwendokasi, na kuiba au kuharibu mali za watu binafsi wakati wa ghasia hizo.

Uchambuzi wa ripoti za Human Rights Watch na Al Jazeera unaonyesha kuwa maandamano hayo yalikuwa na "vifaa vya vurugu" na "vurugu dhidi ya mali za serikali," lakini Kitima, katika matamko yake, amekuwa akilenga tu upande wa serikali, bila kushuku au kutoa maoni kuhusu wale wanaosababisha uharibifu. Hii inaweza kuonekana kama dalili ya upande wake—hasa ukaribu wake na CHADEMA—ambapo mauaji ya polisi yanalaaniwa, lakini vurugu za waandamanaji zinadogoshwa au kupuuzwa.

Je, hii ni kutokuwa na usawa, au ni mkakati wa kutoa sauti kwa wasio na sauti bila kutoa haki kwa wote? Historia ya tamko lake la awali, kama la 2024 kuhusu kukamatwa kwa Lissu, inaonyesha mwelekeo huu, na hivyo kuimarisha wazo la kuwa TEC inatumika kupitisha hoja za Kitima za kisiasa badala ya umoja wa kanisa.

Hitimisho:
Padre Kitima ni mtu jasiri na mwenye elimu, na umaarufu wake unaweza kuwa ni baraka kwa kanisa. Lakini matumizi yake ya TEC kama jukwaa la maoni binafsi—kuanzia ukaribifu na CHADEMA hadi kukosekana kwa maonyo katika maandamano na upande usio na usawa katika vurugu za Oktoba 29—inaonyesha hitaji la muundo thabiti zaidi.

TEC si ofisi ya mtu mmoja; ni chombo cha umoja. Kama inavyosema tafakari yao ya Novemba, "haki inahitaji kujadili ukweli." Je, sasa ni wakati wa maaskofu kujadili ukweli wa ndani yao wenyewe? Tanzania inahitaji sauti ya kanisa, lakini si sauti moja tu.

Ikiwa TEC itaendelea hivyo, inaweza kupoteza uaminifu wake, na historia itamkumbuka Kitima kama mpinzani mkubwa... au kama mpinzani wa kanisa lake lenyewe.
Abduli amekwisha kukusilimisha
 
Fr Kitima atumie akili yake vizuri. Askari anakuja na risasi na hao anaowasema wamekufa wanakuja na mapanga na kurusha mawe kwanini askari asiwashe risasi? na Kitima anakiri ni tarehe 30/10, kwanini watoke nje na serikall imesema wote ndani?

Mbona yeye hukutoka? Halafu anasema wakiri wameuwa watu je na wenye mali nao waje wakiri mali zao kuharibiwa au? Yaani unakuwa kiongozi halafu unahamasisha wahuni wavamie wewe umekaa kwako kimya. Eti kukiri watu wameuwawa we unajuwa uchungu wa kufiwa na ndugu wewe Kitima?
Ina maana walioharibiwa mali hujaona walivyokiri?
 
Back
Top Bottom