Padre Kitima aitumia TEC vibaya

Vipi uchungu wa kufiwa?
 
Nikiona mtu yupo upande wa kuitetea serikali hii basi automatically ni chizi au hana akili kabisa na hawezi shauri kitu chochote cha maana kwenye jamii inayo mzunguka, hata familia yake inawakati mgumu sana wa kuwa na mzazi wa aina hii.

Ilitakiwa nipite kimya kwenye uzi huu ila nimeshindwa kuvumilia, what a waste.
 
Upumbavu wake ni nini? Na ujinga wake ni upi?
Umesema Kanisa lingeweza kuzuia hii ghasia. Labda utuambie lingezuiaje hii ghasia? Je Serikali ingekubali ushauri iliyokuwa inapewa na taasisi na watu mbali mbali kabla ya uchafuzi unadhani tungekuwa tunakabiliana na hii ghasia? Tafakari ukiwa huru.
 
Hili zee Stuxnet linatuharibia siku. Zee la hovyo hili achana nalo, litakuharibia siku
 
Kwa hiyo unataka tufuate mkumbo?? Kwani uhuru wa maoni una maana gani? Wewe ukiiona Serikali ina makosa siyo lazima na mimi niione hivyo !!
 
Tujikite kwenye hoja unafiki wake ni kusema watu wameuawa kwa silaha za moto?
Unafiki wake ni kutokaripia vijana waliposema wanataka kuandamana siku ya uchaguzi. Na kutowashauri CHADEMA kwenye "kukinukisha" siku ya uchaguzi
 
Fikiria ingekuwa vipi bila nguvu ya Polisi kuzuia yale magenge yabuchomaji moto mali za umma na kuiba mali binafsi ??
Ilikuwa sahihi kuyazuia.
Sasa wale waliouliwa kwakufatwa majumbani?, watoto je waliouliwa tena majumbani mwao!,
Waliouliwa wakiwa tayari wamekamatwa na polisi???
NASISITIZA POLISI HANA MAMLAKA YA KUHUKUMU.
Tatizo la polisi kuua raia bila sababu za msingi imekubuhu nani ya muda mrefu inabidi kukomeshwa.
 
Huyu Kitima ni mchochezi na mhamasishaji wa vurugu kutokana na nyaraka na matamko aliyokuwa anayatoa. Kama angekuwa na busara angetoa ushauri mzuri tusingefika hapo tulipofika
 
Subiri ripoti ya Tume ya uchunguzi
 
Aliyechochea yale machafuko ni huyu Padre Kitima. Ni mjinga sana kwa kuwa kasababisha watu wamekufa halafu sasa ndo mlalamikaji wa kwanza.
Vipi Mtekaji na muuwaji wa nafsi za watu nafasi yake ya uchochezi na vurugu zilizotokea na zinazoendelea iko wapi?
 
Huyu Kitima ni mchochezi na mhamasishaji wa vurugu kutokana na nyaraka na matamko aliyokuwa anayatoa. Kama angekuwa na busara angetoa ushauri mzuri tusingefika hapo tulipofika
Uchochezi wake ni nini? Labda utuwekee hapa tuujadili.
Ni vema kushambulia hoja na SI mtoa hoja.
 
sheikh
/ʃeɪk,ʃiːk/
noun
1.
an Arab leader, in particular the chief or head of an Arab tribe, family, or village.
"the sheikh is among the most influential figures in the Middle East"
2.
a leader in a Muslim community or organization
Kuna moja umeruka..rudi fanya homework vizuri
 
Unafiki wake ni kutokaripia vijana waliposema wanataka kuandamana siku ya uchaguzi. Na kutowashauri CHADEMA kwenye "kukinukisha" siku ya uchaguzi
Ila kuhusu watu kutekwa na kuuliwq yanapaswa kupigiwa kelele na yeyote mwenye akili timamu una kubaliana nae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…