Padre 'ajilipua' kwa askofu Mwamakula kuhusu "Matembezi ya hiari"

Kumbe Martin
Vitabu vya dini sio miliki ya mtu au dini fulani ni vya Mungu na vinauzwa madukani ndio maana waweza kuta mkristo ana kurani nyumbani na mwislamu ana biblia nyumbami na hata vyuo vya kipagani hutumia Biblia kufundishia English Literature!!! HUwezi kuzuia mtu asinunue!!!

Pili sio kazi ya kanisa kuiiga dunia inachofanya!!! Wao ndio wanatakiwa kuiga kanisa!! HUwezi sababu wao wanatumia kitabu cha dini hivyo ruksa kiongozi wa dini na yeye kufanya siasa!!! kisa kaona dunia inatumia kurani au Biblia kuapa!!! Ni upotofu !!! Ndio maana zamani maakofu na mapadre walikaa mbali na dunia .Misheni unazikuta ziko porini kwenye ukimya ambako hapati nafasi ya kusikiliza radio,TV, magazeti mitandao na ku interract na watu nk abaki na Mungu tu
Lakini toka hayo yameachwa ndio haya matatizo yameanza kuibuka ya kiongozi wa dini kuwa sehemu ya dunia aki interract na watu!!! NDio unaona tunapata wanasiasa,wazaa nje ya viapo vyao,wabaka watoto wadogo nk wanaiga dunia inachofanya!! Haitakiwi kuiga dunia!! Kuapa kwa Biblia au Kurani hakumpi uhalali kiongozi wa dini kujitosa kwenye siasa!!

Kuhusu Martin Luther mwanzilishi wa kanisa la kilutheri anachokumbukwa ni kuigania mambo ya kidini sio siasa!! Kanisa la kilutheri msingi wake ni wa kidini tu .JINA kanisa la kilutheri ni kama sisi siku hizi tunasema kanisa la Gwajima au kanisa la kakobe sasa hilo lilitwa kanisa la LUTHER la mtu anaitwa Luther NDIO WAFUASI WAKE wanaitwa LUTHERAN kama leo tunavyosema wafuasi wa KAkobe AU WAFUASI WA GWAJIMA NK
Kumbe mchugaji Martin Luther JR(I HAVE A DREAM ) alikua wa kabisa tu ...napoteza muda
 
Sijaelewa kidogo.... usintamaze lina maana gani.

Ila nadhani anamtahadhalisha kuwa Mtikila, Mchungaji marehemu alikufa/aliuawa kwa vile alikuwa anaipinga serikali... mihimili ilimshughulikai (ndivyo nilivyoelewa) I stand to be corrected
Kaa tu mkuu correction isn't needed!
 
Kazi ya kiongozi wa kikristo ni moja tu kuwaambia watu tubuni na kuiamini injili, kinyume cha hapo hamna kiongozi wa kikristo hapo ni mbwa mwitu tu aliye ndani ya uongozi wa kanisa

Hakuna kiongozi wa kikristo anayetumwa na Mungu kuhubiri kuhusu katiba au tume za uchaguzi sababu katiba duniani kila nchi ina zake na zinatofautiana kati ya nchi na nchi na tume zinatofautiana kati ya nchi na nchi na nchi zingine hazina kabisa sababu hazifanyi chaguzi hutawaliwa kifalme nk lakini injili ni ile ile kwa mataifa yote dunia nzima ndio maana Yesu akaagiza viongozi wake waende duniani pote wahubirie watu watubu na kuiamini injili ambayo ni ile ile jana leo na hata milel haibadiliki.Katiba zitabadilika injili haibadiliki.TUME ZA UCHAGUZI ZITABADILIKA INJILI HAIBADILIKI

Mtaalamu mmoja alisema ili nchi iendelee inatakiwa kila mmoja asimame kwenye nafasi yake afanye kile alichopewa mkulima alime sana kwa nguvu zake zote nk na akili zake zote na kiongozi wa dini asimame nafasi yake aliyopewa na Mungu
Siku ukiingia ndani 18 ya huu utawala lazima akili zitakurudi
 
Huyo mtaalamu aweza kuwa hata iblisi
Kazi ya kiongozi wa kikristo ni moja tu kuwaambia watu tubuni na kuiamini injili, kinyume cha hapo hamna kiongozi wa kikristo hapo ni mbwa mwitu tu aliye ndani ya uongozi wa kanisa

Hakuna kiongozi wa kikristo anayetumwa na Mungu kuhubiri kuhusu katiba au tume za uchaguzi sababu katiba duniani kila nchi ina zake na zinatofautiana kati ya nchi na nchi na tume zinatofautiana kati ya nchi na nchi na nchi zingine hazina kabisa sababu hazifanyi chaguzi hutawaliwa kifalme nk lakini injili ni ile ile kwa mataifa yote dunia nzima ndio maana Yesu akaagiza viongozi wake waende duniani pote wahubirie watu watubu na kuiamini injili ambayo ni ile ile jana leo na hata milel haibadiliki.Katiba zitabadilika injili haibadiliki.TUME ZA UCHAGUZI ZITABADILIKA INJILI HAIBADILIKI

Mtaalamu mmoja alisema ili nchi iendelee inatakiwa kila mmoja asimame kwenye nafasi yake afanye kile alichopewa mkulima alime sana kwa nguvu zake zote nk na akili zake zote na kiongozi wa dini asimame nafasi yake aliyopewa na Mungu
 
Nathan Peter (pichani) au Padre Haule ambaye ni Kasisi wa Kanisa Anglikana Tanzania ameamua kujilipua kwa kuandika yafuatayo katika kuchangia andiko langu katika ukurasa wangu:

"Kama unatumwa na wenye mihimili hiyo sawa usintamaze kwani nawe ni wao, lakini Kama unajituma, Anza kutafiti alipo mzee mtikila na anachokifanya kwa Sasa."

Maneno ya Padre huyo siyo ya kupuuza. Anagusia wenye mihimili na anaongea kuhusu Mtikila pasipo kumtaja Mtikila yupi! Inawezekana Padre anajua kilichompata Mtikila anayemtaja na sababu za kumpata hayo yaliyompata. Kuna uhusiano gani kati ya yaliyompata Mtikila na yanayoweza kumpata Askofu Mwamakula, hatujui. Labda Baba Padre anajua! Askofu anajua kuwa huyo Padre ni kada wa chama kimoja cha siasa nchini ingawa hajui uhusiano wake na hao wenye mihimili au Mtikila

Nilipokuwa mdogo, jirani kulikuwa na Kambi ya Jeshi kule Ipyana na Kibugujo (Kyela)! Tulifundishwa kutokuwapuuzia watu tukikutana nao maporini! Kuna mmoja alikuwa anajifanya kichaa na kuishi mwituni kumbe kule msituni alikuwa ameweka ofisi yake shimoni! Bila shaka ujumbe wa Padre kwa Askofu Mwamakula umefika!

Ni vizuri Padre na wengine wakatambua kuwa Askofu ataongoza hayo "Matembezi ya Hiyari" nchi nzima na wala hahitaji kufanya utafiti wa kazi anayoifanya huyo Mtikila aliyetajwa! Askofu alizaliwa siku moja na atakufa siku moja iwe kwa ugonjwa, risasi, sumu, ajali, uzee, au kuliwa na wanyama wakali, nk haijalishi!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1680849
Askofu atulize mbwisi
 
Kazi ya kiongozi wa kikristo ni moja tu kuwaambia watu tubuni na kuiamini injili, kinyume cha hapo hamna kiongozi wa kikristo hapo ni mbwa mwitu tu aliye ndani ya uongozi wa kanisa

Hakuna kiongozi wa kikristo anayetumwa na Mungu kuhubiri kuhusu katiba au tume za uchaguzi sababu katiba duniani kila nchi ina zake na zinatofautiana kati ya nchi na nchi na tume zinatofautiana kati ya nchi na nchi na nchi zingine hazina kabisa sababu hazifanyi chaguzi hutawaliwa kifalme nk lakini injili ni ile ile kwa mataifa yote dunia nzima ndio maana Yesu akaagiza viongozi wake waende duniani pote wahubirie watu watubu na kuiamini injili ambayo ni ile ile jana leo na hata milel haibadiliki.Katiba zitabadilika injili haibadiliki.TUME ZA UCHAGUZI ZITABADILIKA INJILI HAIBADILIKI

Mtaalamu mmoja alisema ili nchi iendelee inatakiwa kila mmoja asimame kwenye nafasi yake afanye kile alichopewa mkulima alime sana kwa nguvu zake zote nk na akili zake zote na kiongozi wa dini asimame nafasi yake aliyopewa na Mungu
Hiyo ni katiba au mawazo yako binafsi???
 
Nathan Peter (pichani) au Padre Haule ambaye ni Kasisi wa Kanisa Anglikana Tanzania ameamua kujilipua kwa kuandika yafuatayo katika kuchangia andiko langu katika ukurasa wangu:

"Kama unatumwa na wenye mihimili hiyo sawa usintamaze kwani nawe ni wao, lakini Kama unajituma, Anza kutafiti alipo mzee mtikila na anachokifanya kwa Sasa."

Maneno ya Padre huyo siyo ya kupuuza. Anagusia wenye mihimili na anaongea kuhusu Mtikila pasipo kumtaja Mtikila yupi! Inawezekana Padre anajua kilichompata Mtikila anayemtaja na sababu za kumpata hayo yaliyompata. Kuna uhusiano gani kati ya yaliyompata Mtikila na yanayoweza kumpata Askofu Mwamakula, hatujui. Labda Baba Padre anajua! Askofu anajua kuwa huyo Padre ni kada wa chama kimoja cha siasa nchini ingawa hajui uhusiano wake na hao wenye mihimili au Mtikila

Nilipokuwa mdogo, jirani kulikuwa na Kambi ya Jeshi kule Ipyana na Kibugujo (Kyela)! Tulifundishwa kutokuwapuuzia watu tukikutana nao maporini! Kuna mmoja alikuwa anajifanya kichaa na kuishi mwituni kumbe kule msituni alikuwa ameweka ofisi yake shimoni! Bila shaka ujumbe wa Padre kwa Askofu Mwamakula umefika!

Ni vizuri Padre na wengine wakatambua kuwa Askofu ataongoza hayo "Matembezi ya Hiyari" nchi nzima na wala hahitaji kufanya utafiti wa kazi anayoifanya huyo Mtikila aliyetajwa! Askofu alizaliwa siku moja na atakufa siku moja iwe kwa ugonjwa, risasi, sumu, ajali, uzee, au kuliwa na wanyama wakali, nk haijalishi!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1680849
Mchungaji na siasa wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom