Padre 'ajilipua' kwa askofu Mwamakula kuhusu "Matembezi ya hiari"

kazi ya askofu si kusimama kwa niaba ya watu anasima kwa niaba ya Mungu.Kazi za kusimama kwa niaba ya watu ni za wanasiasa wakiwemo wabunge ,wanaharakati nk

Yesu aliona wazi katiba ilikuwa mbaya lakini msikilize hapa alichoongea akasema ya Mungu yabakie ya Mungu na kaisari yabakie huko kwa Kaisari

Ulaya makanisa yamekufa yalipojiingiza kwenye siasa hamna watu wanasali makanisani tena waklijitia ohh kanisa linatakiwa kushiriki siasa vikaanzishwa hadi vyama vya kidini mfano ujerumani chama tawala kwa sasa kinaitwa CHRISTIAN DEMOCRATIC UNION cha ANGELA MERKEL .WAtu wakahamasika kweli kuihoji serikali lakini mwamko huo ukaenda mbele zaidi watu wakaanza kuhoji mambo ya kanisani ikiwemo doctorins kwa kisingizio kile kile kuwa kama maaskofu wanahammisaji watu kuhoji serikali bunge na mahakama kwa nini kanisa lisihojiwe? Maaskofu wakaanza kuwekwa kitimoto!!! La kwanza lilihojiwa ni kuwa kulikuwa na kodi mbili kodi ya kwanza unakatwa kwenye mshahara inaenda serikalini na kod ya pili unakatwa kwenye mshahara inaenda kanisani .Wakaenda bungeni kupinga kuwa si kila mtu anasali hiyo kodi ikatwe tu kwa wanaosali .Ikapita watu walipoona wasiosali hawakatwi kodi wengi wakaacha kusali ili wasikatwe kodi ya kanisa!!! Sasa hivi mikanisa mingi ulaya haina waumini na yanauzwa kwa minada hata ukiingia goole iko kibao ,Michungaji na miaskofu kibao ikaachishwa kazi sababu mikanisa haina hela za kuwalipa!!!

Sasa hivi chama cha siasa cha CHristian Democratic UNION ndio kimenawiri kanisa limesinyaa!!!

Huyo ASkofu mwamakula ona watu wanavyofurika mikutano yake ya siasa !!! Ajaribu kuitisha mkutano wa injili uone hapati mtu!!! Mchungaji Mtikila pia alikuwa na hilo tatizo watu wanajaa mikutano yake ya siasa ukienda kanisani kwake Ilala boma anasali yeye mke wake na nduguze hawafiki wanne!!! HAYO NDIO YA askofu Mwamakula uliza kanisa lake hata liko wapi hakuna humu anayeweza hata kukuonyesha !!! unaishia kuona tu kavaa minguo ya kiaskofu aliyojishonea mwenyewe kwa fundi cherehani

Hii trend ya maaskofu kujitosa kwenye siasa sio nzuri kwa afya ya kanisa in the short run and in the Long run time
Kiongozi wa dini abaki kanisani
Mbona humzungumzii Gwajima & the like? Hii hoja uliyokuja nayo sasa nimeshughulika nayo sana tu. Binafsi siungi mkonop watumishi wa Mungu wakati huo huo wanakuwa wanasiasa wa moja kwa moja huku wakisimaam madhabahuni kama wachunga kondoo, najua wanafanya usanii tu. Na mfano ni Gwajima. Nimetofautiana na wewe unapotaka kuonyesha kwamba viongozi wa dini wanapaswa kubaki kimya na kuachia wanasiasa wafanye upuuzi, na ukatoa mfano wa huyo "mtaalamu mmoja". Hilo nalipinga! Kufanya checks & balance kwa viongozi wa dini ni sehemu ya injili kama utapenda kuelewa leo.
 
Mbona humzungumzii Gwajima & the like? Hii hoja uliyokuja nayo sasa nimeshughulika nayo sana tu. Binafsi siungi mkonop watumishi wa Mungu wakati huo huo wanakuwa wanasiasa wa moja kwa moja huku wakisimaam madhabahuni kama wachunga kondoo, najua wanafanya usanii tu. Na mfano ni Gwajima. Nimetofautiana na wewe unapotaka kuonyesha kwamba viongozi wa dini wanapaswa kubaki kimya na kuachia wanasiasa wafanye upuuzi, na ukatoa mfano wa huyo "mtaalamu mmoja". Hilo nalipinga! Kufanya checks & balance kwa viongozi wa dini ni sehemu ya injili kama utapenda kuelewa leo...
Dhambi ziko nyingi mno sio moja.ukisema tubuni na kuiamini injili umemaliza kila dhambi aliyonayo mtu badala ya kuhubiri dhambi moja moja!!!! Narudia kazi ya Askofu ni kuhubiri watu watubu na kuiamini injili awe Mwamakula, Gwajima,Kakobe Papa au yeyote

Watu wakitubu na kuiamini injili mambo yote yatakaa vizuri iwe kwenye siasa sijui katiba sijui nini kutanyooka bila watu kutubu na kuiamini injili mambo mengi hayatakuwa sawa!!
 
Mleta mada,

Umepata ridhaa ya huyo padri kuweka picha yake halisi kwenye jukwaa la watu waliojificha sura na majina yao?

Unavyoonesha kila ukilala, ukiamka, ukitembea, ukiongea, ukiwaza, ukisoma, ukiandika chochote unatamani kukutana na ujumbe unaosema vibaya serikali yenye mtizamo ulio kinume na wa kwako. Inavyoonesha wewe ni mhanga wa moja kwa moja au kuambukizwa kutokana na matendo ya viongozi wa serikali.

Unapenda sana kuwanukuu viongozi wa kidini (sio wa kiroho) wenye mtizamo kama wa kwako kisha unawakilisha kwenye jukwaa hili kwa taswira chonganishi ya kisiasa.

Kwa mada yako hii unaithibitishia jukwaa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila aliuwawa na watu kwa sababu za kisiasa na sio ajali aliyopata huko Msolwa, Chalinze wakati akitokea Morogoro kwa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Kwa mantiki hiyo unaushahidi wa kutosha kwamba aliuwawa na sio ajali kama ilivyothibitishwa na hospitali teule ya Tumbi, Pwani pamoja na taarifa ya kamanda wa mkowa wa Pwani Jafari Mohamed.

Ingependeza zaidi ushahidi huu uupeleke polisi ili watu waliohusika kudhulumu nafsi ya mchungaji Mtikila ichukuliwe kwa haki.

Kumbuka: kwenye ajali hiyo mchungaji mtikila aliambatana na watu wengine wanne ambao walijeruhiwa. Gari lipinduka na watu waliokuwemo ndani baadhi walichomoka hadi nje na wengine kukandamizwa. Eneo ambapo ajali ilitokea inasadikika kuna mtu alikuwa anaonekana chini ya mti nyakati za usiku akioka moto kwa ajili ya kupika au kupata joto.

Uzoefu unaonesha kwamba eneo hilo ajali nyingi hutokea hasa wakati wa jioni au alfajiri asubuhi; kuna lori aina ya fuso lililokuwa limepakia wanyama aina ya nguruwe iliwahi kupinduka hapo lakini cha ajabu nguruwe walimwagika chini kisha wakawa wanazunguka zunguka gari lilipo mpaka ulipopatikana msadaa. Ukipita eneo hilo utaona upande wa magharibi kuna miti imewekewa vitambaa au chupa tupu za maji kana kwamba aliyefanya hivyo ni kichaa lakini huwezi kumwona mtu yeyote hata kama ukikaa hapo kusubiri kumwona.

Mjadala usipotoshe ukweli kwamba kilichotokea ni ajali; tizama picha ya gari husika hapa chini kisha ujitenge na chuki binafsi

View attachment 1680996
Kwahiyo hizi picha zinajibu swali la wkamba Mtikila aliuawa? Mleta uzi amechota kilichoandikwa na Askofu Mwamakula kama kilivyo akakileta kwenye hili jukwaa ili members wajadili kama ilivyo kawaida, sasa unamuwakia kwanini? kosa lake ni nini?
 
Dhambi ziko nyingi mno sio moja.ukisema tubuni na kuiamini injili umemaliza kila dhambi aliyonayo mtu badala ya kuhubiri dhambi moja moja!!!! Narudia kazi ya Askofu ni kuhubiri watu watubu na kuiamini injili awe Mwamakula, Gwajima,Kakobe Papa au yeyote

Watu wakitubu na kuiamini injili mambo yote yatakaa vizuri iwe kwenye siasa sijui katiba sijui nini kutanyooka bila watu kutubu na kuiamini injili mambo mengi hayatakuwa sawa!!
Mwamakula kusimama na kuhamasisha watu wadai TUme Huru na Katiba mpya ni sehemu ya injili, kama unataka kuelewa kuanzia leo elewa. Ungekuwa umesoma theolojia vizuri usingepata shida kuelewa!
 
Mwamakula kusimama na kuhamasisha watu wadai TUme Huru na Katiba mpya ni sehemu ya injili, kama unataka kuelewa kuanzia leo elewa. Ungekuwa umesoma theolojia vizuri usingepata shida kuelewa!
Mwamakula sio askofu huyo ni mwanaharakati wa kidini kama walivyo wengine duniani. Wajikite katika TIBA ya ROHO hayo mahitaji mengine ya nafsi na mwili yatarekebika kutokana na watu kuwa na mioyo ya unyoofu, kutenda mema na haki ikiwa pamoja na serikali maana inaongozwa na watu wenye nafsi, mwili na roho. Viongozi wa kidini ambao kutwa kucha ni kuzua fikra chonganishi watatoa hesabu ya matendo yao mbele za mwenyenzi Mungu aliye hai. Kutetea haki za watu za kidunia hazihesabiki kutakasa roho inayokubalika na Mungu.
 
Kazi ya kiongozi wa kikristo ni moja tu kuwaambia watu tubuni na kuiamini injili
kinyume cha hapo hamna kiongozi wa kikristo hapo ni mbwa mwitu tu aliye ndani ya uongozi wa kanisa

Hakuna kiongozi wa kikristo anayetumwa na Mungu kuhubiri kuhusu katiba au tume za uchaguzi sababu katiba duniani kila nchi ina zake na zinatofautiana kati ya nchi na nchi na tume zinatofautiana kati ya nchi na nchi na nchi zingine hazina kabisa sababu hazifanyi chaguzi hutawaliwa kifalme nk lakini injili ni ile ile kwa mataifa yote dunia nzimandio maana Yesu akaagiza viongozi wake waende duniani pote wahubirie watu watubu na kuiamini injili ambayo ni ile ile jana leo na hata mile haibadiliki.Katiba zitabadilika injili haibadiliki.TUME ZA UCHAGUZI ZITABADILIKA INJILI HAIBADILIKI

Mtaalamu mmoja alisema ili nchi iendelee inatakiwa kila mmoja asimame kwenye nafasi yake afanye kile alichopewa mkulima alime sana kwa nguvu zake zote na akili zake zote az
Sio kweli. Mitume na manabii wali
 
Mstake kutuumizia vijana wetu kwa starehe za wengine.

Akina Maalim, Kabwe, Mbowe, Mdee, Mbatia,washachukua luzuku na wanakula nchi kwa mrija.

Badala ya kuwahamasisha vijana wapigane ili kujiondoa katika lindi la umaskini mnawahamasisha matembezi ili wazidi baki katika ufukara wao, na hao waongezewe ruzuku.

Mpinzani wa Kweli alikuwa Mtikila tu hao wengine ni Wachumia tumbo tu.
Vijana Chapeni kazi.
Yawezekana hujui maana ya kuchapa kazi ? Uchape kazi gani hakuna Ajira bodi ya mikopo ni kama ulivyosikia.
 
Sijaelewa kidogo.... usintamaze lina maana gani.

Ila nadhani anamtahadhalisha kuwa Mtikila, Mchungaji marehemu alikufa/aliuawa kwa vile alikuwa anaipinga serikali... mihimili ilimshughulikai (ndivyo nilivyoelewa) I stand to be corrected
Wakuu msitengeneze history mpya. Mtikila alikuwa anampinga kwa nguvu zote mgombea wa Ukawa na alipata ajali akiwa njiani anakuja Dar kufanya press conference.
 
Yawezekana hujui maana ya kuchapa kazi ? Uchape kazi gani hakuna Ajira bodi ya mikopo ni kama ulivyosikia.
Ajira gani unazosema hazipo ?
Tanzania ina fulsa lukuki.
Fulsa za Bahari.
Fursa za Ardhi yenye rutuba tele na maji ya kutosha.
Fursa za Anga.
Wahamasisheni vijana wenu wapende Masomo ya Ufundi ya Veta ambako kuna fani nyingi mno zinazotoa ajira mara baada ya kuhitimu.
Mfano, Useremala.
Sasa hivi Seremala wa Keko Fenicha wanauza fanicha nyingi sana Nchini Visiwa Moritius.
Kila baada ya miezi miwili inakuja Meli toka Nchini humo na wafanyabishara wa huko wananunua karibu fanicha zote.
Wacha wateja wa ndani.
Mbao zipo za Kumwaga Nchi hii, wezi wote wa zamani wa Keko sasa hivi wanafanya kazi na wameacha wizi.
Tanzania Mbao za Kumwaga.

Huo ni Ufundi mmoja tu.
Waelimisheni vijana waache kudharau fani za Veta na kukimbilia kusoma Digree za Nadharia za Utawala, Ugavi, nk. Ambazo hazifundishi kujitegemea na ajira zake hazipo sawa na wingi wao.

Sasa hivi dili ni Masomo ya Veta.

Mnawapotezea Muda wao, Maandamano maandamano, huku mnawatumia kama ngazi za kupata madaraka ya Kisiasa halafu mnawatupilia mbali.

Hivi CHADEMA ingeshinda uchaguzi ingeweza Kuwaajiri Wahitimu wote wa nchi hii ?
Au nusu yake ?

Wacheni kuwapotezea Muda vijana.
 
Ajira gani unazosema hazipo ?
Tanzania ina fulsa lukuki.
Fulsa za Bahari.
Fursa za Ardhi yenye rutuba tele na maji ya kutosha.
Fursa za Anga.
Wahamasisheni vijana wenu wapende Masomo ya Ufundi ya Veta ambako kuna fani nyingi mno zinazotoa ajira mara baada ya kuhitimu.
Mfano, Useremala.
Sasa hivi Seremala wa Keko Fenicha wanauza fanicha nyingi sana Nchini Visiwa Moritius.
Kila baada ya miezi miwili inakuja Meli toka Nchini humo na wafanyabishara wa huko wananunua karibu fanicha zote.
Wacha wateja wa ndani.
Mbao zipo za Kumwaga Nchi hii, wezi wote wa zamani wa Keko sasa hivi wanafanya kazi na wameacha wizi.
Tanzania Mbao za Kumwaga.

Huo ni Ufundi mmoja tu.
Waelimisheni vijana waache kudharau fani za Veta na kukimbilia kusoma Digree za Nadharia za Utawala, Ugavi, nk. Ambazo hazifundishi kujitegemea na ajira zake hazipo sawa na wingi wao.

Sasa hivi dili ni Masomo ya Veta.

Mnawapotezea Muda wao, Maandamano maandamano, huku mnawatumia kama ngazi za kupata madaraka ya Kisiasa halafu mnawatupilia mbali.

Hivi CHADEMA ingeshinda uchaguzi ingeweza Kuwaajiri Wahitimu wote wa nchi hii ?
Au nusu yake ?

Wacheni kuwapotezea Muda vijana.
Wewe unajihusisha na shughuli gani kati ya hizo ulizotaja? Nchi imepata uhuru miongo Kazaa iliyopita ukienda hapo RUFIJI TU barabara hazina lami ni tope hasa wakati wa mvua hayo mazao utapitisha wapiiii
 
Mwamakula kusimama na kuhamasisha watu wadai TUme Huru na Katiba mpya ni sehemu ya injili, kama unataka kuelewa kuanzia leo elewa. Ungekuwa umesoma theolojia vizuri usingepata shida kuelewa!
Theolojia ni elimu ya kuhusu Mungu sio wanadamu!!! Is the study about God Not about people people!!!! Hizo study about people waachie wataalamu wa biolojia,siasa na wanaharakati

Rudi kasome tena hiyo theolojia yako koko
 
Wewe unajihusisha na shughuli gani kati ya hizo ulizotaja? Nchi imepata uhuru miongo Kazaa iliyopita ukienda hapo RUFIJI TU barabara hazina lami ni tope hasa wakati wa mvua hayo mazao utapitisha wapiiii
Wakati wa mvua huwa ni wa kulima sio kusafirisha mazao wewe vipi? Akili huna

mazao unasafirisha kipindi ambacho ni kiangazi kipindi ambacho hakuna tope.
 
Wakati wa mvua huwa ni wa kulima sio kusafirisha mazao wewe vipi? Akili huna

mazao unasafirisha kipindi ambacho ni kiangazi kipindi ambacho hakuna tope.
Wawapi wewe???? KOROSHO zinavunwa mwezi wa kumi hadi December hakuna mvua kipindi hicho????
 
SEhemu zinakovunwa ardhi ni ya mchanga huwezi kutana na tope.Sehemu zenye tope mikorosho haistawi
Nenda MKURANGA kijiji kinaitwa magawa acha kubishana ujinga! Pita barabara ya nyamisati acha kubishana ujinga
 
Mchungaji marehemu alikufa/aliuawa kwa vile alikuwa anaipinga serikali... mihimili ilimshughulikai
Timing ya kifo inapingana na dhana ya kuuliwa na serikali. Aliuliwa na mmoja wa wasaka urais.

Hatujasahau kuwa hata mzee Kasoli alilazimika kukimbia makazi yake huko Arusha baada ya kutishiwa kifo na wasaidizi wa mgombea wenu 2015.
 
Back
Top Bottom