oyooooooooooooo
come on brodaaaa
we ukinipata niambie tu mi ndo mwenye piki piki ya mtu 8 haha haha
Nipo mercury, na ni na enjoy live band.
Karibuniiiiiii
Popote by Joh makini ameamsha jukwaa kwa mara nyingine!!
Njoo huku backstage nina bia zako!!ni burudan tu huku..........
sisi wengine tupo Pluto huku...baridi kali sana!!!
dar es salaamaaaaaaaaaa
joto hasiraa
niambie brother
daa kumbe awamjui kabisa na hawa kumuona kabisa? kuna mtu aliniambia heti waliulizwa kuhusu diamond wakadhani Adrian ana zungumzia madini ya Almasi? ni kweli? ina maana hawa kumualika?
Mbaya zaidi ni pale Diamond alipojitamba kupitia instagram yake kuwa ye ni msanii pekee wa tz kualikwa kwenye harusi ile.. Alidandia kadi ya Davido