mpaka sahz hujaanza kulala Heaven on Earth ama ndio umeamka.
Jamaa wamelipwa Dola laki 2 Jaydee na prof J milioni 6 Kila mmoja..... Benpoul Milioni 4 na Joh makini milioni 3.... Wasanii wa Tanzania wana kazi kubwa sana ya kuongeza thamani yao..
sidhani kama kuna umuhim dimond awepo kila show, na jana nimeshangaa sana hawa jamaa wanaulizwa juu ya style aliyovaa dimond kwenye harus ya peter sikuamin walipojibu hawamfahamu, adrian step akasisitiza dimond from tz wakasema hawamjui na bado akasisitiza mlipiga nae picha bado wakasema tulipiga picha na waalikwa weng ila huyo hatumjui wao wanamkumbuka adibayor na wengne wengne dah nilichoka.
mpaka sahz hujaanza kulala Heaven on Earth ama ndio umeamka.
Buku 35 nitoe mimi, halafu tathimini upewe wewe hehehe....
#NomaSana
...intended for the willing only.
hahaahaa ubahili hadi kwenye kusimulia...... LOL:smile-big:
na hapa nataka nianze mizunguko tena.......kulala ni usiku mchana hakuna kulala
hahahaMkuu nilienda one time kutoa ushamba....lakini vumbi la pale likanifanya niondoke zangu.