P Square live in Dar - Leaders Club

P Square live in Dar - Leaders Club

Acha upu..uzi we ke..nge... wa jangwani.
unajua dhambi wewe?


Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia
 
Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia

fanya yako utuache na sie tufanye yetu...........
 
Mtumikie shetani na siku ya mwisho utaishia ziwa la moto

Mshahara wa dhambi ni mauti

Hao p squire hawakupeleki popote zaid ya kukuchochea kutenda dhambi
 
Wewe nitukane biblia imesema watukanao hawatouona ufalme wa Mungu... tubu mapema
 
Diamond hakualikwa kwenye ile harusi. Aliingia kwa kutumia kadi ya Davido ambayo ilikuwa double.mavazi yake tu yalionesha ni jinsi gani hakustahili kuwepo eneo lile.

Shukrani kwa kichekesho ndugu yangu
 
Mtumikie shetani na siku ya mwisho utaishia ziwa la moto

Mshahara wa dhambi ni mauti

Hao p squire hawakupeleki popote zaid ya kukuchochea kutenda dhambi

kwa hiyo ni wivu wa pesa walizolipa kuingia au?

sasa wewe kama kanisa lenu halina wateja basi badili biashara, maana inonekanna nguvu za giza za kudanganya watu nazo hamzijui au mlitapeliwa.

umasikini utakuua acha wivu
 
Mnasikiliza miziki ya shetani inayowafanya watu wengi wamtumikie kwa kutenda dhambi... miziki inayochochea ngono, starehe na kutenda dhambi... kueni macho wengi hamta uona ufalme wa Mungu kwa ajili ya hii miziki ya kidunia

ulijuaje kama inachochea ngono na dhambi kama wewe pia huangalii/kusikiliza?.
 
leo ndio hawa jamaa kulwa na Doto wanatumbuiza mamia ya wana Dsm,kwa sisi tulio mikoani tunaikosa burudani hiyo.

Wale mnaohudhuria show hiyo tupeni UPDATES ya kinachoendela kutoka huko
kitendo cha wafanyakazi wanao husiwa kuwa wa CLOUDS FM kutangaza Kwamba , show ya P Square itavamiwa na AL SHabaab lazima kilaniwe na wapenda amani wote . CLOUDS FM imeishiwa mawazo na wamekuwa kama chama tawala. Uhuni wa kipumbavu umewajaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom