P-Funk naye aishukia Clouds FM

P-Funk naye aishukia Clouds FM

theHAVARD_product

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
297
Reaction score
211
capture_07.png




Kwa Mujibu wa Dj.CHOKA P-funk naye Ametoa DUKUDUKU lake la Moyoni kuhusuu kifo cha ALBERT MANGWEA!

WANAJAMVI MNA MAONI GANI??
 
Pini kali za Ngwea kama Mikasi zimefanywa na P-Funk.Huyu ni moja ya watu wanaojua vizuri jinsi muziki ulivyovurugwa na kupelekea vijana wengi kuchanganyikiwa pamoja na vipaji vyao.

Hawa jamaa sasa hivi wanajifanya kupromoti Hip hop kinafiki while ndio walioiua.Sasa hivi wana hadi matangazo eti "hiphop for life"
 
sasa naamini kunatatizo hapo si bure y walalamikiwe wao tu naamini wengi wasanii wana siri nzito mioyoni mwao wanaogopa kuyasema sababu hawana umoja
 
Prof Ludigo nae kasema hataki kusikia nyimbo alizomtengenezea Mangwea(R.I.P) zikipigwa na Clouds hasa Mikasi

Kifo chao ndo kimefika hawa wanyonyaji
 
Clouds Fm kama ni waungwana wakutane na wadau mbalimbali wajadili kwa nini wao wamekuwa kwenye lawama nyingi.Naamini Kusaga atatumia busara maana mchango wake pia ni mkubwa sana si vizuri sifa yake ikaharibiwa na mambo yanayozungumkika kuwasaidia hawa vijana na muziki kwa ujumla hasa kwa nafasi yake kama Mdau mkubwa kabisa wa muziki.
 
waacheni walalamike wenyewe wasanii, kwanini mashabiki ndo mwayaongea hayo?? ina maana ninyi ndo mnajua sana ama???? matusi makubwa mnatukana kwny social networks mbalimbali, ina maana jide ndo aliyewaambia mtukane ama nini??? amkeni vjana, ninyi mnatukana wenzenu wana enjoy maisha, wakati huo muda unaotumia kutukana ungekuwa ushafanya mambo mengi tu
 
Clouds Fm kama ni waungwana wakutane na wadau mbalimbali wajadili kwa nini wao wamekuwa kwenye lawama nyingi.Naamini Kusaga atatumia busara maana mchango wake pia ni mkubwa sana si vizuri sifa yake ikaharibiwa na mambo yanayozungumkika kuwasaidia hawa vijana na muziki kwa ujumla hasa kwa nafasi yake kama Mdau mkubwa kabisa wa muziki.

Mchango upi unauongelea Kusaga hana mchango wowote zaidi ya kujinufaisha yeye na familia yake,,hakuna haja ya kukaa na Wanyonyaji mjadili mnajadili kitu gani huyu mtu akae pembeni.

Magorofani my hair!
 
waacheni walalamike wenyewe wasanii, kwanini mashabiki ndo mwayaongea hayo?? ina maana ninyi ndo mnajua sana ama???? matusi makubwa mnatukana kwny social networks mbalimbali, ina maana jide ndo aliyewaambia mtukane ama nini??? amkeni vjana, ninyi mnatukana wenzenu wana enjoy maisha, wakati huo muda unaotumia kutukana ungekuwa ushafanya mambo mengi tu

Unajuaje wanaolalamika sio wasanii?
 
  • Thanks
Reactions: Pai
[h=3]"SITAKI KUSIKIA NYIMBO ZA NGWEA ZIKIPIGWA CLOUDS FM.\..WAO NDO WALIOMFANYA AANZE KUVUTA BANGI ILI KUONDOA MAWAZO"...P FUNK[/h]


Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P ---- Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.
 
Mawingu wanabifu na wasanii wengiee!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Prof Ludigo nae kasema hataki kusikia nyimbo alizomtengenezea Mangwea(R.I.P) zikipigwa na Clouds hasa Mikasi

Kifo chao ndo kimefika hawa wanyonyaji

Kimenuka,
Nasubiri Kauli kutoka MJ Records.....,
 
Mawingu wanabifu na wasanii wengiee!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Naunga mkono pfunk majani kwa msimamo wake huo.
 
Back
Top Bottom