fxb
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 123
- 24
Wadau hebu nipeni uzoefu wenu kuhusu mtumishi aneyekatwa tax kwenye mshahara wake (P.A.Y.E) Ninavyo fahamu mwajiri hupeleka makato hayo TRA. Swali hivi mwajiri anatakiwa kuwa na TIN number za wafanyakazi ili ijulikane mwajiri huyu amechangia kiasi gani au makato yake ni kiasi kadhaa?
Nani anakuwa na jukumu la kuhakikisha kuwa P.A.Y.E inacorrespond na TIN number ya mfanyakazi ni Mwajiri au Mfanyakazi mwenyewe?
Nani anakuwa na jukumu la kuhakikisha kuwa P.A.Y.E inacorrespond na TIN number ya mfanyakazi ni Mwajiri au Mfanyakazi mwenyewe?