Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,139
- 14,557
Wakati tukimsubiri Marumo Gallants ambaye mpaka sasa amepotea njia ya kuja bongo na hajulikani kafika wapi, Ebu tumsome mchambuzi nguli kutoka viunga vya Kalia
Mchambuzi huyu amesema sababu ya Kufa Kiume FC kushindwa kung'aa ndani na mipaka ya nchi yetu ni kwa kuwa Azam na Yanga ni bora maradufu msimu huu.
Je unaungana na mzee wa Kaliua katika hii hoja yake!!?
Mchambuzi huyu amesema sababu ya Kufa Kiume FC kushindwa kung'aa ndani na mipaka ya nchi yetu ni kwa kuwa Azam na Yanga ni bora maradufu msimu huu.
Je unaungana na mzee wa Kaliua katika hii hoja yake!!?