Oscar Oscar ni Mchambuzi asiyejitambua

Anaboaa sipendi kusikiliza efm radio wala tv hyo ni redio ya utopolo kwenye chambuzi zao vipindi vya mpira
 
Namsikiliza hapa eti kwa sababu Taifa Stars inacheza kitu kinaitwa mini tournament basi haitambuliwi na CAf wala Fifa wakati iko kwenye week ya kalenda ya FIFA.

What a waste HIVI HAYA MAMTU YANAPATAJE HIZI KAZI ZA UCHAMBUZI?

Jesus Christ, God damn it
Wachambuz wa bongo hata kucontrol mpira mguuni hawawezi uchwara tu
 
Ukiacha mizaha yake kule Instagram, Oscar Oscar ni moja Kati ya wachambuzi waziri kabisa WA mchezo WA mpira
Labda kama una sababu zako zingine
Kama yule bwege in mchambuzi mzuri basiiii hii nchi INA shida kubwa sana hill jinga linabisha na msauti wake mkubwa kwamba mini tournament ya tff haitaingia kwenye ranks za FIFA wakati iko kwenye kalenda na wewee unamsifia?
 
Back
Top Bottom