Ngizwile mphuwethu,siyabonga kakulu kwa kutuambia ukweli huu. LolAlikuwa wapi kama anajua kuwa Osama alikufa toka 2001?
Sheikh Osama hajafa
Noriega aliyekamatwa na Bush Sr. alikuwa feki. Noriega original yuko Colombia
Sadam yu hai. Yule alienyongwa ni feki/double wake
Carlos the Jackal bado hajakamatwa. Wamemkamata Carlos feki
2Pac is still alive and kicking!
Elvis Presley hakufa
Obama was born outside US
Princess Dina hakufariki, yule aliepata ajali was fake!, inasemekana anaishi na mtoto wa Al Fayed ktk kisiwa kimoja cha makazi ya siri
Sept 11 ilitengenezwa
Nyerere aliuliwa na mama Maria
JK ni mnyarwanda tena toka ukoo wa Kagame
Sokoine aliuwawa na JKN
NASA hawakutua kwenye mwezi
Mandela ni freemason
Babu wa Loliondo ni mradi wa Lowassa na Rostam
Shekilango, Namfua, Kleruu, Sokoine, Kolimba, Gov. Rutihinda, Prof. Malima waliuawa kwa siri
Balali yuko hai amefanyiwa plastic surgery na anaishi Mbezi beach
Dr. Slaa ni CCM damu
JFK yuko hai na anaishi makazi ya siri South America
Hitler yuko hai anaishi Argentian ila ni mzee sana
Polycarp Pengo ni mafioso
...................... Usiwe na wasi wasi ! ametakasika nabii Issah (YESU) na Uzushi wenu, yakuwa MUNGU alivishwa nepi na akawa anakula mikate ! na akaenda choo !Wewe mwenyewe wajua kuwa Issa ni wa kuchonga. Sawa wewe endelea naye ila muda si mrefu utajua nani fundi na kibarua ni nani! Tunawajuaga wakati wa kulipana mishahara!
YESU juuu!
issa wenu hooi!
Easy, Easy, Easy, Easy, guys!! Punguzeni jazba naona mnaenda mbali sasa!!
Walibya ninao wajua mimi wanasema vingine siyo propaganda labda kwavile wao wamebaatika kutembea, lakini face lift ya sehemu kazaa za jiji kwangu miye ni maendeleo maana watu wameekeza mda, pesa na juhudi zao kufanikishaMatafute mtu aliyefika Libya, atakujuza.
Unaweza kuwekewa picha nzuri za baadhi ya sehemu za jiji la Dar zikapendeza machoni kuliko hata za Miami, FL.
Tafuta aliyepata kufika Libya atakujuza. Sina mengi
very right mkuAlikuwa wapi kama anajua kuwa Osama alikufa toka 2001?
Sheikh Osama hajafa
Noriega aliyekamatwa na Bush Sr. alikuwa feki. Noriega original yuko Colombia
Sadam yu hai. Yule alienyongwa ni feki/double wake
Carlos the Jackal bado hajakamatwa. Wamemkamata Carlos feki
2Pac is still alive and kicking!
Elvis Presley hakufa
Obama was born outside US
Princess Dina hakufariki, yule aliepata ajali was fake!, inasemekana anaishi na mtoto wa Al Fayed ktk kisiwa kimoja cha makazi ya siri
Sept 11 ilitengenezwa
Nyerere aliuliwa na mama Maria
JK ni mnyarwanda tena toka ukoo wa Kagame
Sokoine aliuwawa na JKN
NASA hawakutua kwenye mwezi
Mandela ni freemason
Babu wa Loliondo ni mradi wa Lowassa na Rostam
Shekilango, Namfua, Kleruu, Sokoine, Kolimba, Gov. Rutihinda, Prof. Malima waliuawa kwa siri
Balali yuko hai amefanyiwa plastic surgery na anaishi Mbezi beach
Dr. Slaa ni CCM damu
JFK yuko hai na anaishi makazi ya siri South America
Hitler yuko hai anaishi Argentian ila ni mzee sana
Polycarp Pengo ni mafioso
Walibya ninao wajua mimi wanasema vingine siyo propaganda labda kwavile wao wamebaatika kutembea, lakini face lift ya sehemu kazaa za jiji kwangu miye ni maendeleo maana watu wameekeza mda, pesa na juhudi zao kufanikisha
very right mku
kisha utasikia nyerere aonekana burundi
Yesu alikua mrangi
mbowe na sokoine ni baba mmoja mama mmoja
salim ahmed salim ni ndugu yake slim yule tajiri wa mexico
papa john paul alisilimu kabla ya kufa
Dr. Slaa ni mpare wa mwanga
Mengistu Haile Mariam ndio Idd azan zungu
khe khe kheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
waswahili kwa utomaso hatujambo
.......... dozi ndogo ndogo !!
Hapo sasa sijakuelewa mlibya aliyefika tanzania na mtanzania nani anaijua tanzania zaidi? Mimi ningesema MtanzaniaMtafute mtanzania yoyote aliyefika Libya atakujuza, na sio walibya wenyewe.
Kwa imani yako huwezi kujua ukali wa dua ya mwenye kudhulumiwa .Alishindwa Bush na atashindwa Obama.Vuvuzela Utakuja kunipa mkono.Maiti yake iliwe na samaki. Akachomwe moto mkali mara trilioni ya ule wa jehanum. Awe kuni zetu kwanye moto wa kiama.
Hukumu ya kabri imtese. Malaika Israel amkabe kabari hadi kiama. Na hao bikra hurlain 12 asiwapate.
Rot, and rot in hell b-astard Osama
Kwa imani yako huwezi kujua ukali wa dua ya mwenye kudhulumiwa .Alishindwa Bush na atashindwa Obama.Vuvuzela Utakuja kunipa mkono.
Osama wakati wa uhai wake alikuwa ni mpole ingawaje mkali kwa madhalimu.Lakini baada ya kifo chake yapata miaka mitatu nyuma, sasa maiti yake inaonekana kupigana vikali na huenda ikamuangusha Obama.
Mchezo wao safari hii imekuwa tabu ku-uuza kwa walimwengu.
.Wanatapata kutoa maelezo yenye utata jinsi alivyokufa Osama.
.Maiti yake hawajui waiweke sehemu gani wamechanganyikiwa na kudhani wakiitumbukiza baharini ndio itakuwa basi.
.Wanatengeneza watu na mitandao ya kukubali na kukataa kifo cha Osama.
Yote hayo yanonesha vita ya Osama ndio imeanza kuiangusha Amerika
Alikuwa wapi kama anajua kuwa Osama alikufa toka 2001?
Sheikh Osama hajafa
Noriega aliyekamatwa na Bush Sr. alikuwa feki. Noriega original yuko Colombia
Sadam yu hai. Yule alienyongwa ni feki/double wake
Carlos the Jackal bado hajakamatwa. Wamemkamata Carlos feki
2Pac is still alive and kicking!
Elvis Presley hakufa
Obama was born outside US
Princess Dina hakufariki, yule aliepata ajali was fake!, inasemekana anaishi na mtoto wa Al Fayed ktk kisiwa kimoja cha makazi ya siri
Sept 11 ilitengenezwa
Nyerere aliuliwa na mama Maria
JK ni mnyarwanda tena toka ukoo wa Kagame
Sokoine aliuwawa na JKN
NASA hawakutua kwenye mwezi
Mandela ni freemason
Babu wa Loliondo ni mradi wa Lowassa na Rostam
Shekilango, Namfua, Kleruu, Sokoine, Kolimba, Gov. Rutihinda, Prof. Malima waliuawa kwa siri
Balali yuko hai amefanyiwa plastic surgery na anaishi Mbezi beach
Dr. Slaa ni CCM damu
JFK yuko hai na anaishi makazi ya siri South America
Hitler yuko hai anaishi Argentian ila ni mzee sana
Polycarp Pengo ni mafioso
hakuna haja ya kupewa mwili wake-kama wao ndo walikuwa wanafanya nae michakato na walikuwa wanajua alipo na wameshaona USA wameshafika hapo na wenzao wameshauliwa na Osama hayupo unategemea waseme nini tena?Sasa Alkeda wamethibitishaje? Walipewa mwili wake wakauzika?