VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Sheikh Osama hajafa
Noriega aliyekamatwa na Bush Sr. alikuwa feki. Noriega original yuko Colombia
Sadam yu hai. Yule alienyongwa ni feki/double wake
Carlos the Jackal bado hajakamatwa. Wamemkamata Carlos feki
2Pac is still alive and kicking!
Elvis Presley hakufa
Obama was born outside US
Princess Dina hakufariki, yule aliepata ajali was fake!, inasemekana anaishi na mtoto wa Al Fayed ktk kisiwa kimoja cha makazi ya siri
Sept 11 ilitengenezwa
Nyerere aliuliwa na mama Maria
JK ni mnyarwanda tena toka ukoo wa Kagame
Sokoine aliuwawa na JKN
NASA hawakutua kwenye mwezi
Mandela ni freemason
Babu wa Loliondo ni mradi wa Lowassa na Rostam
Shekilango, Namfua, Kleruu, Sokoine, Kolimba, Gov. Rutihinda, Prof. Malima waliuawa kwa siri
Balali yuko hai amefanyiwa plastic surgery na anaishi Mbezi beach
Dr. Slaa ni CCM damu
JFK yuko hai na anaishi makazi ya siri South America
Hitler yuko hai anaishi Argentian ila ni mzee sana
Polycarp Pengo ni mafioso
Mama Lwakatare is a freemason
Kakobe is a cult
Freeman ni CUF damu
Na mengineyo meeeengiiiiii
Noriega aliyekamatwa na Bush Sr. alikuwa feki. Noriega original yuko Colombia
Sadam yu hai. Yule alienyongwa ni feki/double wake
Carlos the Jackal bado hajakamatwa. Wamemkamata Carlos feki
2Pac is still alive and kicking!
Elvis Presley hakufa
Obama was born outside US
Princess Dina hakufariki, yule aliepata ajali was fake!, inasemekana anaishi na mtoto wa Al Fayed ktk kisiwa kimoja cha makazi ya siri
Sept 11 ilitengenezwa
Nyerere aliuliwa na mama Maria
JK ni mnyarwanda tena toka ukoo wa Kagame
Sokoine aliuwawa na JKN
NASA hawakutua kwenye mwezi
Mandela ni freemason
Babu wa Loliondo ni mradi wa Lowassa na Rostam
Shekilango, Namfua, Kleruu, Sokoine, Kolimba, Gov. Rutihinda, Prof. Malima waliuawa kwa siri
Balali yuko hai amefanyiwa plastic surgery na anaishi Mbezi beach
Dr. Slaa ni CCM damu
JFK yuko hai na anaishi makazi ya siri South America
Hitler yuko hai anaishi Argentian ila ni mzee sana
Polycarp Pengo ni mafioso
Mama Lwakatare is a freemason
Kakobe is a cult
Freeman ni CUF damu
Na mengineyo meeeengiiiiii