Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,125
Kwa mimi mtu niliyemwona anapiga chapuo ya uwekezaji wa bandari na hataki kabisa kusikia kwamba mkataba una shida ni mmoja tu. Naomba nimtaje then mtatusaidia kuwafahamu wengi kwa ajili ya kumbukumbu za wajukuu zetu na kwenu vijana kumbukumbu zenu na watoto wenu.
1. Dr. Tulia Ackson- huyu mkuu wa Muhimili imani aliyonayo kwenye mkataba nadhani hata yeye mwenyewe anajishangaa. Sina mwingine
1. Dr. Tulia Ackson- huyu mkuu wa Muhimili imani aliyonayo kwenye mkataba nadhani hata yeye mwenyewe anajishangaa. Sina mwingine