Orodha ya Wasanii ambao hata wafanye nini hawawezi kurudi tena kwenye game... wageukie fani zingine

Orodha ya Wasanii ambao hata wafanye nini hawawezi kurudi tena kwenye game... wageukie fani zingine

666 chata

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
1,710
Reaction score
4,025
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;

1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13. Dully Sykes
14. Chid Benz
15. Beka flavor
16. Mo Music
17. Nikki Mbishi
18. Stereo
19. ....... list ni kubwa embu endelea na wewe


Sasa walio mbioni kutokusikika tena, inabidi wafanye juhudi za kipekee na wabadili mbinu;
1. Rayvan
2. Ibraah
3. Chino
4. Lavalava
5. Nandy



Muhimu watu kusoma majira, kuamka na kufanya uamuzi sahihi.
 
Duh.. Mkuu Dully Sykes Mbona Bado Yupo Kwenye Game, Ni Juzi Tu Katoa Bonge La Ngoma Kamshirikisha Alikiba Unaitwa Zali..

Na Aslay Katoa Ngoma Inatamba Sahivi Na Kayumba..
Unafuatilia Mziki Kweli.?

Pia Nadhani Joh Makini, Fid Q, Ay, Temba Chege Hawahitaji Sana Muziki Kwa Sasa Sababu Hawana Cha Ku Prove Kuhusu Ukali Wao Kwa Mashabiki Pia Wana Maisha Mazuri Unlike TID, Q Chief, Chid Benz, Maisha Yanawafanya Waendelee Kujidhalilisha..

DULLY SYKES Ft. AliKiba - Zali..
👇🏾👇🏾👇🏾
 

Attachments

Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;

1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13. Dully Sykes
14. Chid Benz
15. Beka flavor
16. Mo Music
17. Nikki Mbishi
18. Stereo
19. ....... list ni kubwa embu endelea na wewe


Sasa walio mbioni kutokusikika tena, inabidi wafanye juhudi za kipekee na wabadili mbinu;
1. Rayvan
2. Ibraah
3. Chino
4. Lavalava
5. Nandy



Muhimu watu kusoma majira, kuamka na kufanya uamuzi sahihi.
Ni mawazo yako, na ni kwamba wewe ndo huwafwatilii hao uliowataja.
 
Q Chillah
TID
Fid Q
Dully Sykes
Mh Temba
Chegge
AY
Nikki Mbishi
Hawana tena cha ku prove.... hao wamekwisha utendea haki miziki zama zao
Ni kama USA utake Jay Z, Nas, Sooppy, Baby face nk “watoke” tena kimuziki
 
Duuh Ibraah wa kondegang hata hajawika tayari umemuweka kwenye danger zone

Anyway mziki ni kama mpira tu sio ajira ya kudumu
 
Duh.. Mkuu Dully Sykes Mbona Bado Yupo Kwenye Game, Ni Juzi Tu Katoa Bonge La Ngoma Kamshirikisha Alikiba Unaitwa Zali..

Na Aslay Katoa Ngoma Inatamba Sahivi Na Kayumba..
Unafuatilia Mziki Kweli.?

Pia Nadhani Joh Makini, Fid Q, Ay, Temba Chege Hawahitaji Sana Muziki Kwa Sasa Sababu Hawana Cha Ku Prove Kuhusu Ukali Wao Kwa Mashabiki Pia Wana Maisha Mazuri Unlike TID, Q Chief, Chid Benz, Maisha Yanawafanya Waendelee Kujidhalilisha..

DULLY SYKES Ft. AliKiba - Zali..
👇🏾👇🏾👇🏾
Huyu sio amekutana na fundi
 
Nikki mbishi hajawahi kua mainstream artist, he was underground king, and still he is,anatoa miradi mipya kila mara, hufatilii??
 
Mzee Fid mbona anaibukaga na kupotea (kukaa kimya Muda mrefu).
 
Back
Top Bottom