Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,037
- 46,879
hapo chini karibu na sehemu unayo mreply mtu kuna sehemu wameandija attach files bonyeza hapo itakupeleka moja kwa moja kwenye phoneKumbe inawezekana? Nafanyaje?
hapo chini karibu na sehemu unayo mreply mtu kuna sehemu wameandija attach files bonyeza hapo itakupeleka moja kwa moja kwenye phoneKumbe inawezekana? Nafanyaje?
Nina kadhaa
Hardcopy au softcopy, Kama ni Hardcopy wapi vinapatikana?Salaam wanabodi
Wakati mwaka ukielekea Ukingoni yatupasa kumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa neema na rehema zake.Ni ukweli kuwa ametubariki kuliko yale tunayostahili
Nawapongeza wale ambao wanatumia muda wao kujisomea,kwenye vitabu kuna maarifa mengi,Natoa rai kwa wale ambao bado hawana utaratibu wa kujisomea kuanza mwaka 2019 kwa kujisomea ili kupata maarifa mapya.
Hii ndio list ya vitabu vyangu ambavyo nimesoma kwa mwaka 2018 pamoja na kusoma nimechambua baadhi,kimsingi uchambuzi ni raha ya ajabu
1.Team of Rivals. by Doris Kearns
2.Rise of IS IS. by David French & Jordan Sekulow
3.Fire & furry. by Michael Woiff
4.Devils Bargain by Joshua Green
5.Behind the presidential curtain.by Noble Marara
6.Leadership in turbulent times by Doris Kearns
7.Red Notice by Bill Browder
8.Third door by Alex Banayan
9.The King of Oil.By Marc Rich
10.Why mars vs Venus Collide by John Gray
11.Venture deals by Brad Feld
12.Bloodlands by Timothy Snyder
13.Black Earth by Timothy Synder
14.Hitler & Stalin by Allan Block
15.The road to Unfreedom by Timothy Synder
16.Fascism a Warning by Madeline Albright
17.Zero to One by Blake Master & Peter Thiel
18.Start with WHY by Simon Sinek
19.The power of Habit by Charles Duhigg
20.The hard thing about Hard Thing by Ben Horowitz
21.Love in the time of Cholera by Gabriela Marquez
22.Water for Elephants by Sara Cruen
23.How to make Impossible Possible
Kama unapenda tu vitabu vya politics sawa,ila ukitaka kusafirisha ubongo wako mbali kidogo na ku enjoy mandhari safi ya kufikirika basi soma Jubal sacket!Jubal Sackett: The Sacketts by Louis L'Amour | PenguinRandomHouse.com ...
No ni Adventure based story.Mkuu hivi ni spritual books au??
Nilipoenda bookshop walisema Kitabu chake kimeisha ktk akiba yao, nami sikutaka kuhangaika kutokana na muda, bookshop yangu ni moja tuu pale Posta karibu na askari monumentKwenye orodha sioni vitabu vya kijana wetu Yeriko Nyerere!
Nilinunua pale riwaya ya Amri Bawji, Kubali tuyamalize, na biography ya Siti binti SaadNilipoenda bookshop walisema Kitabu chake kimeisha ktk akiba yao, nami sikutaka kuhangaika kutokana na muda, bookshop yangu ni moja tuu pale Posta karibu na askari monument
Mmh hongera sana but it seems you are not employed bcz you have plenty of time to read 23 books and analyse them or you have an extra ordinary talent..
Mkuu kama una soft copy upload hapa kitabu namba 2, 4, 6, 17,18 na 23Salaam wanabodi
Wakati mwaka ukielekea Ukingoni yatupasa kumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa neema na rehema zake.Ni ukweli kuwa ametubariki kuliko yale tunayostahili
Nawapongeza wale ambao wanatumia muda wao kujisomea,kwenye vitabu kuna maarifa mengi,Natoa rai kwa wale ambao bado hawana utaratibu wa kujisomea kuanza mwaka 2019 kwa kujisomea ili kupata maarifa mapya.
Hii ndio list ya vitabu vyangu ambavyo nimesoma kwa mwaka 2018 pamoja na kusoma nimechambua baadhi,kimsingi uchambuzi ni raha ya ajabu
1.Team of Rivals. by Doris Kearns
2.Rise of IS IS. by David French & Jordan Sekulow
3.Fire & furry. by Michael Woiff
4.Devils Bargain by Joshua Green
5.Behind the presidential curtain.by Noble Marara
6.Leadership in turbulent times by Doris Kearns
7.Red Notice by Bill Browder
8.Third door by Alex Banayan
9.The King of Oil.By Marc Rich
10.Why mars vs Venus Collide by John Gray
11.Venture deals by Brad Feld
12.Bloodlands by Timothy Snyder
13.Black Earth by Timothy Synder
14.Hitler & Stalin by Allan Block
15.The road to Unfreedom by Timothy Synder
16.Fascism a Warning by Madeline Albright
17.Zero to One by Blake Master & Peter Thiel
18.Start with WHY by Simon Sinek
19.The power of Habit by Charles Duhigg
20.The hard thing about Hard Thing by Ben Horowitz
21.Love in the time of Cholera by Gabriela Marquez
22.Water for Elephants by Sara Cruen
23.How to make Impossible Possible
Punguza ukali wa maneno bro, kwani amekukosea nini? Kusoma vitabu yataka moyo, usimlaumu mkuuRais Francois Mitterand hadi saa ya kufa kwake alikufa anaandika vitabu. Julius Nyerere aliandika vitabu akiwa na kazin nyingi kuliko mtanzania yeyote.
Usidhani kila mtanzania ni mbumbumbu kama wewe. Huko kwenye ajira yako kazi yako ni kutumwatumwa tu na bosi wako huna la maana utakalowezesha kampuni yako au taasisi yako kusonga mbele maana huna maarifa ambayo wenzako wanayapata kutoka kwenye vitabu.
Pole sana kwa umbumbu wako.
Cc:
Nanyaro Ephata, Azizi Mussa
Hebu guseni hapaSalaam wanabodi
Wakati mwaka ukielekea Ukingoni yatupasa kumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa neema na rehema zake.Ni ukweli kuwa ametubariki kuliko yale tunayostahili
Nawapongeza wale ambao wanatumia muda wao kujisomea,kwenye vitabu kuna maarifa mengi,Natoa rai kwa wale ambao bado hawana utaratibu wa kujisomea kuanza mwaka 2019 kwa kujisomea ili kupata maarifa mapya.
Hii ndio list ya vitabu vyangu ambavyo nimesoma kwa mwaka 2018 pamoja na kusoma nimechambua baadhi,kimsingi uchambuzi ni raha ya ajabu
1.Team of Rivals. by Doris Kearns
2.Rise of IS IS. by David French & Jordan Sekulow
3.Fire & furry. by Michael Woiff
4.Devils Bargain by Joshua Green
5.Behind the presidential curtain.by Noble Marara
6.Leadership in turbulent times by Doris Kearns
7.Red Notice by Bill Browder
8.Third door by Alex Banayan
9.The King of Oil.By Marc Rich
10.Why mars vs Venus Collide by John Gray
11.Venture deals by Brad Feld
12.Bloodlands by Timothy Snyder
13.Black Earth by Timothy Synder
14.Hitler & Stalin by Allan Block
15.The road to Unfreedom by Timothy Synder
16.Fascism a Warning by Madeline Albright
17.Zero to One by Blake Master & Peter Thiel
18.Start with WHY by Simon Sinek
19.The power of Habit by Charles Duhigg
20.The hard thing about Hard Thing by Ben Horowitz
21.Love in the time of Cholera by Gabriela Marquez
22.Water for Elephants by Sara Cruen
23.How to make Impossible Possible
Nanyaro una novel za James Hardley Chess?
Kitabu cha dini husomagi? Au we mpagani?Salaam wanabodi
Wakati mwaka ukielekea Ukingoni yatupasa kumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa neema na rehema zake.Ni ukweli kuwa ametubariki kuliko yale tunayostahili
Nawapongeza wale ambao wanatumia muda wao kujisomea,kwenye vitabu kuna maarifa mengi,Natoa rai kwa wale ambao bado hawana utaratibu wa kujisomea kuanza mwaka 2019 kwa kujisomea ili kupata maarifa mapya.
Hii ndio list ya vitabu vyangu ambavyo nimesoma kwa mwaka 2018 pamoja na kusoma nimechambua baadhi,kimsingi uchambuzi ni raha ya ajabu
1.Team of Rivals. by Doris Kearns
2.Rise of IS IS. by David French & Jordan Sekulow
3.Fire & furry. by Michael Woiff
4.Devils Bargain by Joshua Green
5.Behind the presidential curtain.by Noble Marara
6.Leadership in turbulent times by Doris Kearns
7.Red Notice by Bill Browder
8.Third door by Alex Banayan
9.The King of Oil.By Marc Rich
10.Why mars vs Venus Collide by John Gray
11.Venture deals by Brad Feld
12.Bloodlands by Timothy Snyder
13.Black Earth by Timothy Synder
14.Hitler & Stalin by Allan Block
15.The road to Unfreedom by Timothy Synder
16.Fascism a Warning by Madeline Albright
17.Zero to One by Blake Master & Peter Thiel
18.Start with WHY by Simon Sinek
19.The power of Habit by Charles Duhigg
20.The hard thing about Hard Thing by Ben Horowitz
21.Love in the time of Cholera by Gabriela Marquez
22.Water for Elephants by Sara Cruen
23.How to make Impossible Possible