Orodha ya vitabu nilivyosoma 2018

Orodha ya vitabu nilivyosoma 2018

Mkuu shukran sana,
Binafsi kwa mwaka huu nimesoma vitabu vifuatavyo
1. Rich Dad Poor dad
2. Cashflow quadrant
3. Pesa zako zinanuka
4. A Coffin from Hong Kong
5. Nyuma ya Panzia
6. Alfu lela ulela Kitabu cha 1
7. Njama by A. E. Musiba
8. Hofu by A.E. Musiba
9.kikosi cha kisasi by A. E.Musiba
10.Mbali na Nyumbani by Adam shafii
11. Haini by Adam Shafii
12. Mtambo wa mauti by Ben R Mtobwa
13. A man who sold his ferrari
14.
13 a monk who sold his Ferrari
 
Not yet sir.
Kuna uzi mmoja uliandikwa na jamaa anajiita LIBRARIAN nafikiri hivi vitabu viliwekwa soft copies za kumwaga.

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa ule uzi ulikuwa na title ya namna ya kudownload vitabu (sina hakika sana)
 
Mkuu mawazo yako ni potofu kabisa.
Katika list aliyotoa Nanyaro hapo juu kuna kitabu kimeandikwa na bilionea Peter Thiel.

Bilionea Bill gates huwa anatoa list ya vitabu alivyosoma kila mwaka. List ya 2018 hii hapa
5 books I loved in 2018 | Bill Gates

Bilionea Elon Musk amejifunza mambo mengi sana kwa kujisomea peke yake vitabu mbali mbali vya engineering
Bilionea Zuckerberg alianzisha program ya Kujisomea kitabu kimoja kila mwezi

So Masikini peke yake ndio anaweza akawa hajisomei.

Kweli ukitaka kumtawala mtu mweusi weka maarifa kwenye kitabu
Mkuu hao wote wameshakuona we ndio fursa ya wao kuendelea kiuchumi.

Tajiri anaandika ili amuuzie maskini, maskini ananunua kwa kutoa hata kidogo alichonacho akidhani atapata mafanikio kama tajiri kwa kusoma mavitabu tu.

Sasa kwa vile Billgate mzungu anatoa orodha ya vitabu anavyosoma na wewe kalumanzira ndo unaiga kichwa kichwa bila kufahamu haswa siri iliyoko nyuma ya mafanikio yake.

Hao wazungu ni wajanja sana wanacheza na uvivu wenu wa kufanya kazi na kujituma.
Wanatengeneza fursa kupitia kwenu.

Nawewe anza kusoma vitabu alafu baada ya miaka kadhaa tupe mrejesho kama umefikia hata asilimia sifuri kama sio hasi ya ukwasi wa hao wanaokuandikia vitabu

Fahamu, hao ni wajasiliamali wanaandika vitabu na kukuuzia wewe masikini ili usifanye kazi uendelee kununua vitu vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nisingemjibu

Mengi tu Tajiri wa Tanzania ametuandikia kitabu!
Vitabu anagawa bure?

Tangu uanze kuvisoma umesha msogelea sogelea kwa utajiri.

We kama unategemea kutoka kwa kusoma vitabu vya Mengi muulize yeye ni vitabu gani vilivyompatia utajiri.

Narudia,
Wenye muda wa kusoma mlolongo wa vitabu ni watu wavivu kufukiri na tegemezi kimawazo.

Na watu kama nyie huwa mnaiahia pabaya na misongo ya mawazo.

Acheni kudanganywa na wazungu.

Waulize vijana wangu pale kariakoo wanaokimbiza nani anasoma hayo mavitabu yenu au mwenye muda huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitabu anagawa bure?

Tangu uanze kuvisoma umesha msogelea sogelea kwa utajiri.

We kama unategemea kutoka kwa kusoma vitabu vya Mengi muulize yeye ni vitabu gani vilivyompatia utajiri.

Narudia,
Wenye muda wa kusoma mlolongo wa vitabu ni watu wavivu kufukiri na tegemezi kimawazo.

Na watu kama nyie huwa mnaiahia pabaya na misongo ya mawazo.

Acheni kudanganywa na wazungu.

Waulize vijana wangu pale kariakoo wanaokimbiza nani anasoma hayo mavitabu yenu au mwenye muda huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Mimi sidhani kama mafanikio ya maisha yanaweza kupatikana kwa kusoma jinsi wengine walivyofanya mpaka wakafanikiwa. Formula ya kufanikiwa iko moja tu: kufanya kazi kwa bidii na akili huku ukiwa na nidhamu ya matumizi. Hata hzi semina za kufundisha ujasirimali mimi sioni kama zinasaidia. Ila kusoma vitabu kwa nia ya kupanua mawazo na kuelimika ni muhimu sana sana na mtu anapata elimu kubwa kuliko hata ya darasani!
 
Vitabu anagawa bure?

Tangu uanze kuvisoma umesha msogelea sogelea kwa utajiri.

We kama unategemea kutoka kwa kusoma vitabu vya Mengi muulize yeye ni vitabu gani vilivyompatia utajiri.

Narudia,
Wenye muda wa kusoma mlolongo wa vitabu ni watu wavivu kufukiri na tegemezi kimawazo.

Na watu kama nyie huwa mnaiahia pabaya na misongo ya mawazo.

Acheni kudanganywa na wazungu.

Waulize vijana wangu pale kariakoo wanaokimbiza nani anasoma hayo mavitabu yenu au mwenye muda huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are right!!!!!
carter-lee-how-do-you-manage-to-stay-cool-all-29766422.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu was navyo jamani mtuwekee soft copy tafadhali
Sina softcopy mkuu. Nimebahitika tu kuwa sehemu ambayo ina library zenye vitabu vya kila aina na mtu unaazima ukimaliza unarudisha. Mimi ni mpenda kusoma vitabu na huwa na enjoy mno naposoma. Ukiweza kupata na hivi soma hutajuta:
1: Born Crime -by Trevor Noah: Huyu jamaa ni comedian, chotara wa South Africa na alizaliwa kwa baba Mswiss-mweupe na mama Msouth mweusi. Ni story ya kweli na amekiita kitabu chake ''Born Crime'' kwa sababu alipozaliwa ilikuwa ni wakati wa ubaguzi wa rangi na mzungu haruhusiwi kuzaa na mweusi. Basi alivyoelezea maisha na mikasa aliyokutana nayo utacheka mpaka...Si kitabu cha kukosa.
2. Under the Bearskins -by Mark Evance: Na hiki nacho ni stoty ya kweli inamhusu ofisa mmoja wa jeshi la Uingereza aliyepekwa vitani Afghanistan. Anaelezea mikasa mingi aliyokutana nayo na experience yake ya vita. Ni moto.
3. Red Platoon -by Clinton Romesha: Ni story ya kweli ya platoon ya jeshi la Marekani iliyokuwa Afghanistan. Kambi yao ilikuwa imejengwa sehemu mbaya sana kwani ilikuwa imezungukwa na vilima pande zote. Walilalamika sana kuwa ni hatari mpaka wakuu wao wakasikia kilio chao na kuamua kuhamisha kambi. Lakini kabla hawajahamisha wakazungukwa na wanamgambo wa Taliban na ikawa na kufa na kupona. Kuna waliofariki na wachache wakapona. Mmoja ya waliopona ndiyo akaja kutunga hiki kitabu..
 
Nimesoma
Mathayo
Luka
Marko
Efeso
Wagalatia
Mwanzo
Kutoka
Zaburi (sio chote)
Kumbukumbu la torati(sio chote)
Yeremiah(sio chote)
Isaya (sio chote)
Methali (sio chote)
 
Salaam wanabodi

Wakati mwaka ukielekea Ukingoni yatupasa kumshukuru Mwenyenzi Mungu kwa neema na rehema zake.Ni ukweli kuwa ametubariki kuliko yale tunayostahili

Nawapongeza wale ambao wanatumia muda wao kujisomea,kwenye vitabu kuna maarifa mengi,Natoa rai kwa wale ambao bado hawana utaratibu wa kujisomea kuanza mwaka 2019 kwa kujisomea ili kupata maarifa mapya.

Hii ndio list ya vitabu vyangu ambavyo nimesoma kwa mwaka 2018 pamoja na kusoma nimechambua baadhi,kimsingi uchambuzi ni raha ya ajabu

1.Team of Rivals. by Doris Kearns
2.Rise of IS IS. by David French & Jordan Sekulow
3.Fire & furry. by Michael Woiff
4.Devils Bargain by Joshua Green
5.Behind the presidential curtain.by Noble Marara
6.Leadership in turbulent times by Doris Kearns
7.Red Notice by Bill Browder
8.Third door by Alex Banayan
9.The King of Oil.By Marc Rich
10.Why mars vs Venus Collide by John Gray
11.Venture deals by Brad Feld
12.Bloodlands by Timothy Snyder
13.Black Earth by Timothy Synder
14.Hitler & Stalin by Allan Block
15.The road to Unfreedom by Timothy Synder
16.Fascism a Warning by Madeline Albright
17.Zero to One by Blake Master & Peter Thiel
18.Start with WHY by Simon Sinek
19.The power of Habit by Charles Duhigg
20.The hard thing about Hard Thing by Ben Horowitz
21.Love in the time of Cholera by Gabriela Marquez
22.Water for Elephants by Sara Cruen
23.How to make Impossible Possible

Ngoja nami nikumbuke orodha ya Picha za Ngono nilizowahi Kuziangalia hadi jana Usiku ili nitiririke na niserereke nazo hapa.
 
No 2 Na 13 unaweza kuweka hapa

Mkuu shukran sana,
Binafsi kwa mwaka huu nimesoma vitabu vifuatavyo
1. Rich Dad Poor dad
2. Cashflow quadrant
3. Pesa zako zinanuka
4. A Coffin from Hong Kong
5. Nyuma ya Panzia
6. Alfu lela ulela Kitabu cha 1
7. Njama by A. E. Musiba
8. Hofu by A.E. Musiba
9.kikosi cha kisasi by A. E.Musiba
10.Mbali na Nyumbani by Adam shafii
11. Haini by Adam Shafii
12. Mtambo wa mauti by Ben R Mtobwa
13. A man who sold his ferrari
14.
 
1.The Holly Bible kutoka Mwanzo mpaka Ufunuo(nilianza November mwaka jana nikamalizia June mwaka huu).
2.Rich dad Poor dad by Robert Kayosaki
3.Cash quadrant flow by Robert Kayosaki
4.Retire young Retire rich by Robert Kayosaki
5.Think and Grow Rich by Napoleon Hill


Mwakani nitasoma zaidi spiritual books nikianza na vitabu vya dr. Myles Munroe.
3,4,5 unaweza viweka hapa pia nami nifaidi.
 
Mkuu shukran sana,
Binafsi kwa mwaka huu nimesoma vitabu vifuatavyo
1. Rich Dad Poor dad
2. Cashflow quadrant
3. Pesa zako zinanuka
4. A Coffin from Hong Kong
5. Nyuma ya Panzia
6. Alfu lela ulela Kitabu cha 1
7. Njama by A. E. Musiba
8. Hofu by A.E. Musiba
9.kikosi cha kisasi by A. E.Musiba
10.Mbali na Nyumbani by Adam shafii
11. Haini by Adam Shafii
12. Mtambo wa mauti by Ben R Mtobwa
13. A man who sold his ferrari
14.
Mkuu hicho kitabu cha A COFFIN FROM HONG KONG kinahusu nini maana nimependa Tittle yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom