Hapo Bunda mjini mmepatia. Natumia Wasira maji yanamhonga...........[/QUOT
Najimbo la CHATO KWAO MAGUFUL wata mkoma huyo LECTURER WANGU WA UKWEL DR LUKANIMA wakaulize mzumbe university hakika huu mwaka wa mageuz watu wanaacha mishahara yao na madeal kibao kukomboa taifa
Alikuwa anashindana na engineer hivi anakaa Arusha.Alikuja wakati wa uchaguzi.Wakati mwingine kura za maoni sio determinant.Kuna watu wengi wasio chama kinachoendesha kura za maoni.Tukubaliane kuwa CHADEMA kuna information nyingi.Nimeamini walipomteuwa Ansbert na watu wengi walikuwa wanalisubiri hilo.Hapa kazi imekuwa rahisi mno.Tulisha kuwa na wasiwasi kuwa mzee wa kibuyu cha bibi atapita kwa urahisi.ngurumo alikua anashindana na nani?
Mkuu mbona unacheka? Nakumbuka kampeni za miaka ileeee wakati Ditopile akipambana na Martha Wejja! Ilala ina mambo yake.
Aisee, hii kitu ya kuandika "CDM" kama CHADEMA inakera?
burushi hapiti hata kwa kura kile hawampendi wananchi labda mkwere asimamie show maana nasikia ni wakwe zake wale maana.Mkuu KILUFI alihonga kwenye mchakato wa CCM sema mpunga wake ulikuwa mdogo kulinganisha na Burushi wa CCM.
Sasa hapo ni bora wangempa bwana mdogo yule mshindi wa pili. Sijui bwana ngoja tuwaachie wenyewe.
Wadau mwenye taarifa ya Bukoba vijini na Misenyi vipi huko ??
mimi pia nimejiuliza! Sijui kwanini viongozi wa Afrika hawaridhiki anataka afie kny uongozi