juakal
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 588
- 122
Alikuwa anashindana na engineer hivi anakaa Arusha.Alikuja wakati wa uchaguzi.Wakati mwingine kura za maoni sio determinant.Kuna watu wengi wasio chama kinachoendesha kura za maoni.Tukubaliane kuwa CHADEMA kuna information nyingi.Nimeamini walipomteuwa Ansbert na watu wengi walikuwa wanalisubiri hilo.Hapa kazi imekuwa rahisi mno.Tulisha kuwa na wasiwasi kuwa mzee wa kibuyu cha bibi atapita kwa urahisi.
Ansbert ni nani mkuu? Mimi nipo kwenye jimbo hili ila simjui kwakweli. Nilimjua Najimu