NANGANA
JF-Expert Member
- Jul 7, 2012
- 777
- 416
Duh,kumbe maliasili mzee wa bunda..haaaUmechelewa kumtetea maamuzi tumekwisha fanya hatua tumechukua tiari . Nyara za taifa apumuzike kwa amani aisee.
Duh,kumbe maliasili mzee wa bunda..haaaUmechelewa kumtetea maamuzi tumekwisha fanya hatua tumechukua tiari . Nyara za taifa apumuzike kwa amani aisee.
Mkuu mbona unacheka? Nakumbuka kampeni za miaka ileeee wakati Ditopile akipambana na Martha Wejja! Ilala ina mambo yake.Kwi kwi kwi kwi
Hao wote hamna atayeshinda labda muwape viti maalum kamamda.MUNGU awatangulie.BIG UP sana kwa Esther Matiko,Esther Bulaya,Halima Mdee,Pauline Gekul,Jesca Kishoa,Suzan Kiwanga na Editha Babbeiya MUNGU awabariki katika harakati zenu za kwenda bungeni.
Kwikwikwi. Yapa kipigo hakikwepeki
Unatuchanganya, Bulaya si alipata viti maalum?Baada ya tambo za muda mrefu,hatimaye Mwanadada Ester Bulaya wa CHADEMA atapimana ubavu na Mzee Stephen Wasira wa CCM katika Jimbo la Bunda Mjini. Tayari Bulaya ameteuliwa na chama chake na kuchukua fomu za kugombea leo.
Kimsingi,Bunda Mjini itatikiswa na mpambano huo uliotazamiwa kwa muda mrefu. Ni Ester Bulaya dhidi ya Stephen Wasira.
We uko kwenye majimbo yote hayo?Na umewezaje kuishi kote huko?Au fikra zako tu za kitoto.Hao wote hamna atayeshinda labda muwape viti maalum kamamda.
Majimbo karibu yote wamechukua CHADEMA! NLD, NCCR na CUF wataambulia vijimbo kiduchu tu
Wana jamvi salama nimepita taarifa ya chama cha demokrasia na maendeleo chadema kuhusu uteuzi wa wagombea wa majimbo likiwemo jimbo la kishapu wanachama walio wengi hawaliziki na uteuzi fred tungu mpendazoe kwa ushauli ili jimbo liwe chadema mludisheni kahema huyu ndio kipenzi cha wanakishapu kamati naishauli sana ubadilishe uteuzi wa fred t mpendazoe nawasilisha
Bulaya mgombea wa mezani, wanachama walimkataa. Chadema ikipata mtu toka CCM inachanganyikiwa mpaka apuuza wanachama wake kama ilivyompuuza Dr. Slaa.
Si chama cha Wanafiki. Jana alipinga katiba ya wananchi leo kapewa jimbo. Jana aliitwa fisadi leo wanamramba miguu ENL. CDM nyny wanafiki na mafisadi wa kwanza duniani. Lowassa tumepishana mlangoni. Anaingia mimi, Slaa na makamanda wengine wa ukweli tunatoka katika jumba la wezi na wanafiki.
said nkumba SIKONGE Huyu sindio mpinga ukawa mkubwa anajiita tanzania kwanza
Samahani napenda kujua alipo Mkosamali maana kimya sana