Ngeleja out
Ngoja nami nijipange Chalinze 2020 nataka nizuie ndoto za dogo kugeuza Bunge na Ikulu mali ya baba zao.
Jamani naomba munijulishe ubungo Vipi?
Mkuu hebu wake pia yale ukawa kwa umoja wake wameyapoteza1.Monduli
2.Simanjiro
3.Same Mashariki(Mama Kilango)
4.Siha
5.Bunda Mjini(kwa Wasira)
6.Arumeru Magharibi-hili Jimbo bado liko CCM
7.Buyungu(Waziri Chiza kapoteza)
8.Tanga Mjini
9.Babati Mjini
10.Babati vijijini
11.Tandahimba
12.Muleba kusini(sina uhakika sana)
13.Moshi vijijini
14.Tunduma
15.Mtwara mjini
16.Bukoba Mjini(confirmed)
17.Tarime vijijini(John Heche kashinda)
18.Tarime mjini
19.Mwanga(limebaki CCM)
20.Serengeti
21.Sengerema
22.Kaliua
23.Ndanda
25.Kigoma mjini
26.Rorya
27.Ukonga
28.Kilombero
29.Longido
30.Mbozi(Zambi kashindwa)
31.Mlimba
Orodha inaendelea,ongeza na mengine niliyoyasahau.
Hawa wanajifanya hamnazo kweli,hapoumesema kweli RitzBadala ya kuangalia majimbo ya Chadema, NCCR Mageuzi yaliyopotea unaangalia ya CCM.
Mkuu hebu wake pia yale ukawa kwa umoja wake wameyapoteza
Mpanda mjini lilikua la chadema Limerudi ccm Acha kutughiribu akiri
Kwani haya majimbo yaliyokua ya CCM yameenda wapi kama sio huko Chadema, NCCR Mageuzi na CUF??Badala ya kuangalia majimbo ya Chadema, NCCR Mageuzi yaliyopotea unaangalia ya CCM.
Sisi makamanda tumetosheka na ubunge tu tunajua raisi wetu anapoteza network hawezi kuongoza nchi
Halima wa Kawe vipi jamani?
Mzee Tupatupa
1.Monduli
2.Simanjiro
3.Same Mashariki(Mama Kilango)
4.Siha
5.Bunda Mjini(kwa Wasira)
6.Arumeru Magharibi-hili Jimbo bado liko CCM
7.Buyungu(Waziri Chiza kapoteza)
8.Tanga Mjini
9.Babati Mjini
10.Babati vijijini
11.Tandahimba
12.Muleba kusini(sina uhakika sana)
13.Moshi vijijini
14.Tunduma
15.Mtwara mjini
16.Bukoba Mjini(confirmed)
17.Tarime vijijini(John Heche kashinda)
18.Tarime mjini
19.Mwanga(limebaki CCM)
20.Serengeti
21.Sengerema
22.Kaliua
23.Ndanda
25.Kigoma mjini
26.Rorya
27.Ukonga
28.Kilombero
29.Longido
30.Mbozi(Zambi kashindwa)
31.Mlimba
Orodha inaendelea,ongeza na mengine niliyoyasahau.[/QUOTE
mleba kusini anna Tibaijuka ni mshini: source: ITV..
wilium ngeleja ameligomboa jimbo lake