Orodha ya wabunge wa CCM waliomba kuteuliwa kugombea Unaibu Spika

Baraka Mina

JF-Expert Member
Sep 3, 2020
581
574
Kwema wanabodi? Heri ya mwisho wa wiki kwenu nyote.

Orodha ya wanachama 11 waliojitokeza kuchukua na kurejesha fomu kuomba kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Naibu Spika ni:
1. Joseph Tadayo ANANIA – Mwanga
2. Abdullah Ali MWINYI – MAHONDA
3. David Mwakiposa KIHENZILE – Mufundi Kusini
4. Dkt. Oscar Ishengoma KIKOYO – Muleba Kusini
5. Dkt. Hamis KIGWANGALA – Nzega Vijijini
6. Musa Azzan ZUNGU - Ilala
7. Samwel Hhayuma XADAY – Hanang’
8. Abubakar Damian ASENGA - Kilombero
9. Stanslaus NYONGO – Maswa Mashariki
10. Timotheo Paul MNZAVA – Korogwe Vijijini
11. Kilumbe Shaban NG’ENDA – Kigoma Mjini

Zoezi la utoaji wa fomu za kugombea nafasi ya Naibu Spika limefanyika kwa siku 3 ndani ya CCM; tarehe 4 - 6 Februari 2022 kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni katika ofisi 03 za Chama; Ofisi Ndogo Dar Es Salaam, Afisi Kuu Zanzibar na Ofisi ya Makao Makuu Dodoma.
 
Ana uhusiano gani na mzee Ali Mwinyi?
Msome humu
IMG-20220206-WA0023.jpg
 
Kwema wanabodi? Heri ya mwisho wa wiki kwenu nyote.

Orodha ya wanachama 11 waliojitokeza kuchukua na kurejesha fomu kuomba kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Naibu Spika ni:
1. Joseph Tadayo ANANIA – Mwanga
2. Abdullah Ali MWINYI – MAHONDA
3. David Mwakiposa KIHENZILE – Mufundi Kusini
4. Dkt. Oscar Ishengoma KIKOYO – Muleba Kusini
5. Dkt. Hamis KIGWANGALA – Nzega Vijijini
6. Musa Azzan ZUNGU - Ilala
7. Samwel Hhayuma XADAY – Hanang’
8. Abubakar Damian ASENGA - Kilombero
9. Stanslaus NYONGO – Maswa Mashariki
10. Timotheo Paul MNZAVA – Korogwe Vijijini
11. Kilumbe Shaban NG’ENDA – Kigoma Mjini

Zoezi la utoaji wa fomu za kugombea nafasi ya Naibu Spika limefanyika kwa siku 3 ndani ya CCM; tarehe 4 - 6 Februari 2022 kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni katika ofisi 03 za Chama; Ofisi Ndogo Dar Es Salaam, Afisi Kuu Zanzibar na Ofisi ya Makao Makuu Dodoma.
Na 2 ndiyo Naibu spika
 
Kwema wanabodi? Heri ya mwisho wa wiki kwenu nyote.

Orodha ya wanachama 11 waliojitokeza kuchukua na kurejesha fomu kuomba kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Naibu Spika ni:
1. Joseph Tadayo ANANIA – Mwanga
2. Abdullah Ali MWINYI – MAHONDA
3. David Mwakiposa KIHENZILE – Mufundi Kusini
4. Dkt. Oscar Ishengoma KIKOYO – Muleba Kusini
5. Dkt. Hamis KIGWANGALA – Nzega Vijijini
6. Musa Azzan ZUNGU - Ilala
7. Samwel Hhayuma XADAY – Hanang’
8. Abubakar Damian ASENGA - Kilombero
9. Stanslaus NYONGO – Maswa Mashariki
10. Timotheo Paul MNZAVA – Korogwe Vijijini
11. Kilumbe Shaban NG’ENDA – Kigoma Mjini

Zoezi la utoaji wa fomu za kugombea nafasi ya Naibu Spika limefanyika kwa siku 3 ndani ya CCM; tarehe 4 - 6 Februari 2022 kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni katika ofisi 03 za Chama; Ofisi Ndogo Dar Es Salaam, Afisi Kuu Zanzibar na Ofisi ya Makao Makuu Dodoma.


Inasikitisha kuwa na bunge limejaa wabunge feki na wezi wa kura. Ni ngumu kujua ni yupi angeshinda kihalali😂
 
Dada anaongoza bara, kaka anaongoza visiwani na kaka mdogo mhimili wa kuwapangia kaka na dada matumizi!

Tumshukuru mweñye uzao wake kwani hakuzaa watoto wa hovyo!

Huenda mbeleni tukampata mwingine wa kuongoza ule mhimili uliobaki ili agano litimie! Nchi ya kifalme hii!
 
Abdulla Ali Mwinyi anatosha kabisa!
Familia ya Ali Hassani Mwinyi Raisi mstaafu wa Zanzibar tayari wana Raisi wa Zanzibar ambaye ni mtoto wa mama Siti Mwinyi sio vizuri wapewe na bunge unaibu spika mbeleni italeta shida familia moja haitakiwi kuhodhi madaraka kila kona

Napinga wazi Mtoto mwingine wa Sitti Mwinyi na Mzee Mwinyi kushika unaibu spika
Zungu ruksa nchi hii ni ya watu wote wa imani tofauti na rangi tofauti
Nyerere aliweka wahindi,wazungu na waarabu serikali yake turudi kule waarabu,wazungu,wahindi,wapemba wana mchango mkubwa kiuchumi kwenye nchi

Tumpe nafasi Zungu awakilishe minority ngozi nyeupe kwenye bunge kiongozi wa juu unaibu spika

Si vizuri famila moja kukaba kona kila nafasi ya juu

CCM naomba mteueni Zungu hiyo nafasi
 
Familia ya Ali Hassani Mwinyi Raisi mstaafu wa Zanzibar tayari wana Raisi wa Zanzibar ambaye ni mtoto wa mama Siti Mwinyi sio vizuri wapewe na bunge unaibu spika mbeleni italeta shida familia moja haitakiwi kuhodhi madaraka kila kona

Napinga wazi Mtoto mwingine wa Sitti Mwinyi na Mzee Mwinyi kushika unaibu spika
Zungu ruksa nchi hii ni ya watu wote wa imani tofauti na rangi tofauti
Nyerere aliweka wahindi,wazungu na waarabu serikali yake turudi kule waarabu,wazungu,wahindi,wapemba wana mchango mkubwa kiuchumi kwenye nchi

Tumpe nafasi Zungu awakilishe minority ngozi nyeupe kwenye bunge kiongozi wa juu unaibu spika

Si vizuri famila moja kukaba kona kila nafasi ya juu

CCM naomba mteueni Zungu hiyo nafasi
Wakati Jiwe anamuweka mtoto wa dada (mpwa) kuwa PAYMASTER GENERAL ulikuwa unashabikia. Kulikoni leo ?!
 
ZUNGU na HAMIS KIGWA ni takataka kama taka zingine namaanisha waste material hawana cha maana zaidi ya kuhangaikia matumbo yao
 
Back
Top Bottom