Nimefuatilia mwanzo hadi hapa. Tatizo ni kwamba tunajaji wakali wa sasa bila kuangalia tupo kwenye Wake gani. Mfano dogo aliyekua saivi huwezi mwambia stori za kina dandu, au hao wakali wengine wa kitambo against kina joh, fid, etc afu akakuelewa. So tujarbu kuangalia na nyakati.