Orodha ya diss tracks za kibongo, Sehemu ya Kwanza

Orodha ya diss tracks za kibongo, Sehemu ya Kwanza

Siku detect kama hii line jamaa alikuwa anawadiss waturutumbi na Watengwa
hivi ile mistari inaimbwa "Hakuna river camp soldier, river camp shogaz.. tabia ya kuunda makundi ni kudhihirisha uoga" iko kwenye nyimbo ya nani mkuu
 
Mnamo mwanzoni mwa miaka ya 2000, tasnia ya muziki wa Hiphop jijini Arusha ilishuhudia ugomvi mkubwa kati ya kundi la Nako 2 Nako lenye maskani yake Kaloleni ( Ololoo ) dhidi ya kundi la muziki wa Hiphop la Watengwa lenye maskani yake katika eneo la Kijenge Juu kipindi hicho likiongozwa na Umbwa Lutuno. Nitaelezea kwa kinaga ubaga chanzo cha ugomvi huu hapo baadaye. Moja kati ya hooks zilizokuwa zinawatumbilisha watengwa ni " huuuuuuuuuuu! katika nyimbo zao/ freestyles zao na live shows zao..Kwenye wimbo Hawatuwezi by N2N kuna mistari Lord EYEZ anasema " Game ngumu, nabadilikia humuhumu, nasukuma hiphop gurudumu nakomaa humu humu, nazidi kutema sumu, game ngumu, commercial niggaz wana pumu, mistari inawahukumu, hawajui wanachosema, kwenye show wanahema, wamechoka mapema, flows zao za KIHUUUUUUUU"

Hii ilikuwa ni diss kwa Watengwa.
Mkuu umepotea na madini yako
 
Hahah!! Tutaiongezea hapa kwenye uzi Pierre vs Bashite....

Ila ungekuja umalizie ile story ya Chid na Kikosi mzee
Ntaimalizia mkuu ngoja upepo wa Pierre upite kwanza
 
Bongo hakujawahi kuwa na diss track zaidi ya zile za Sugu na Vinega kwenye Anti-virus!
Kama huamini weka playlist ya zile ngoma, hadi marehemu Ruge aliomba Poo!
 
Bongo hakujawahi kuwa na diss track zaidi ya zile za Sugu na Vinega kwenye Anti-virus!
Kama huamini weka playlist ya zile ngoma, hadi marehemu Ruge aliomba Poo!
Kuna nyingine unaambiwa walifanya Kokosi miaka ya huko nyuma enzi zakina Hashim dogo na Miraj Kikwete
 
mkuu LIKUD kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri sana uliyoifanya umechambua vitu vingi tena vya engine kuna members walikuwa hata hawajaanza kufatilia huu mziki ila kuna kitu hapa naona kuna mda unataka kuegemea sehemu kwa sababu ya mapenzi binafsi kwa sababu labda msanii humendi mfano hapa kwa fidQ inaonekana hampikiki chungu kimoja naona uachane na hii kitu wewe jikite katika kuchambua bilaa kuegemea upande wowote
Nirudie tena hongera sana umefanya kitu kikubwa sana nina imani hii itakuwa ni moja ya thread bora kabisa binafsi najitahidi kutafuta link za hizi nyimbo ila watu wawe wanazikiliza kwa ajili mjadala mpana zaidi
Sure, Likud anafanya kazi nzuri hapa, biasness pekee ndiyo imem'meza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom