1. KIKOSI CHA MIZINGA VS CLOUDS MEDIA ,ARTSITS SUPPORTED BY CLOUDS MEDIA GROUP.
2. NGUMI KATI YA KALAPINA NA DUDUBAYA.
3. KIKOSI CHA MIZINGA (WATOTO WA KINONDONI ) WAKIONGOZWA NA KALAPINA VS WATOTO WA ILALA WAKIONGOZWA NA CHID BENZ.
4. KALAPINA & CHID BENZ FIGHTS BEFORE ISSUE ILIYOTOKEA MWAKA JANA PALE CLUB MAISHA.
Mwaka 2004 Kalapina na Kikosi cha Mizinga walikuwa kwenye beef zito kati yao na Clouds Media, wasanii wanao pewa sapoti na Clouds pamoja na wasanii wote wanao imba Bongofleva. Kikosi ndio walio kuja na dhana ya kutofautisha kati ya Hiphop na Bongo Fleva.
Nguvu ya Kikosi cha Mizinga iliwatisha sana Clouds Media so wakaamua kutafuta watoto watukutu wa hapa wa mjini wawaweke juu ili wapambane na Kikosi Cha Mizinga.
Chid Benz na watoto wa Ilala walionekana ndio wanafaa katika hilo.. Siku moja Steve B au Muli B alikuwa anafanya interview na Chid Benz, akamuuliza swali la kizushi " Kuna watu wanasema wao hawafanyi bongo fleva ila wanafanya hiphop, unalizungumziaje suala hilo?" Chi Benz aliponda sana akasema, wasanii wa Bongo wote wanafanya Bomgofleva, hakuna cha Hiphop wala mama ake na Hip hop, wanaosema wanafanya Hip hop hao ni wazushi tu, hawana hiphop skills, hawawezi kufanya free styles and all that, kwanza Bongo hajaona mkali wa Hip hop kama yeye., sasa kama yeye mwenyewe pamoja na ukali wake wote anasema anafanya bongo fleva what about hao wanao jiita hip hop..
Kalapina and Kikosi cha Mizinga took an offence. Kalapina akatangaza vita na Chid Benz, alikuwa akisikika kwenye kumbi mbalimbali za starehe akisema siku atakayo kutana na Chid Benz atamfunza adabu.
Wiki moja baadaye Chid Benz akiwa kwenye klabu moja ya usiku alikutana na jamaa ambao ni memba wa Kikosi cha mizinga..... JE NI KITU GANI KILITOKEA?
FUATANA NAMI BAADAYE KIDOGO AU KESHO.