Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
JK amechagua Tabora pa kutoa ahadi kama hiyo kwa kuwa anajua wana-Tabora wanaburuzika na kudanganyika kwa urahisi tu -- ni utamaduni tangu enzi za Waarabu karne ya 18 na 19!!
Enyi wana-Tabora -- hebu mjitutumue kidogo mumwambie huyo mtani wenu Mkwere kwamba 'hatudanganyiki tena, haturudi katika historia!
Enyi wana-Tabora -- hebu mjitutumue kidogo mumwambie huyo mtani wenu Mkwere kwamba 'hatudanganyiki tena, haturudi katika historia!