AHADI - ALIITOA AKIWA WAPI...
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
- Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
- Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
- Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
- Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
- Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
- Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
- Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
- Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
- Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
- Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
- Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
- Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
- Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
- Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
- Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
- Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
- Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
- Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
- Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
- Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
- Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
- Kujenga bandari Kasanga Rukwa
- Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
- Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
- Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
- Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
- Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
- Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
- Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
- Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
- Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
- Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
- Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
- Kulinda haki za walemavu - Makete
- Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
- Kujenga barabara Musoma Mto wa Mbu Arusha - Arusha
- Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
- Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma Kaliua,Tabora
- Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
- Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
- Kuwafidia wanakijiji ngombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
- Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
- Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha Arusha mjini
- Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
- Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
- Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti Ngorongoro
- Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
- Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
- Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
- Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
- Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
- Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
- Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
- Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
- Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
- Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
- Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
- Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
- Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
- Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
- kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) Ruvuma
- Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania Ruvuma
- Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
- Mtwara kuwa mji wa Viwanda Mtwara
- Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
- Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
- Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
---2005 Alikuja na Maisha bora kwa kila Mtanzania,hili halina ubishi lilikuwa ni changa la macho kwa Watanzania,Kama haitoshi akasema anawajua kwa majina wala rushwa,lakini hatuoni hata mmoja aliyemchukulia hatua===hii ni kutaka sifa na popularity.
---Juzi amekuja na mpya ya kumpatia kila mwanafunzi Computer ambayo iko connected kwa internet, it's high time now kwa watanzania kuhoji uwezo wa RAIS wetu,ni kwamba anafanya Wa Tanzania ni wapumbavu sana kiasi kwamba hawawezi ku reason kuwa hilo sual haliwezekani???
Hata kwa wanafunzi tu wa vyuo vikuu hilo suala halitekelezeki leo anatuambia ataanza na shule za msingi,umeme ni tatizo..hivi jk anajua kuwa its only 10% ya wa Tanzania wana access na umeme na 0.05% ya watanzania ndo wanaweza kutuima computer na wana access na internet,hata kwa nchi ambazo zimeendelea kuzidi sisi hilo suala halipo,,yeye anataka kuhadaa Wa Tanzania aili aendelee kubaki madarakani!!!!!me nadhani pia JK na uwezo mdogo sana wa ku reason ndo maana hata hafikirii kuwa suala kama hilo watu wenye akili timamu hawawezi kusadiki,inahitaji mtu mwenye akili za mwenda wazimu kuamini ahadi kama hizo.
----WITO WANGU
Nawaomba wana JF wooote..mu influence watu wenu wa karibu wasimchague JK na CCM yake,watatoa ahadi nyingi sana,watasema watajenga fly over,watasema watajenga majumba angani--->tuwapuuuze na ahadi zao hizo...tuwaulize kati ya zile walizoahidi 2005 ni ngapi wametekeleza mpaka tuwape ajira nyingine kwa miaka mitano!!!!!!
Watakuja na gia ya kuwa wamejenga DOdoma University,tuwapuuze pia kwa sababbu kwanza ulikuwa ni ukumbi wa bunge wa zamani (chimwaga),halafu huo ni wajibu wake...tuipuuzie kete ya kipuuzi kama hii.
SAY NO TO CCM-----SAY NO TO JK-----WANYIMENI KURA
-----------------------------
Miezi 22 kabla ya uchaguzi mkuu:Tujikumbushe ahadi za Kikwete 2010, ngapi zimetekelezwa hadi sasa?
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam
mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora
(HAJATEKELEZA)
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga
mjini (HAJATEKELEZA)
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria- Igunga
(HAJATEKELEZA)
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa
wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga
(HAJATEKELEZA)
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma
(HAJATEKELEZA)
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-
Dodoma mjini (HAJATEKELEZA)
7. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo,
Dodoma (HAJATEKELEZA)
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya
Misenyi-Kagera (HAJATEKELEZA)
9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi- Kagera
(HAJATEKELEZA)
10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba- Bukoba
Mjini (HAJATEKELEZA)
11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma -
Kigoma Mjini (HAJATEKELEZA)
12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda-
Kagera (HAJATEKELEZA)
13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na
Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya
umeme- Kagera (HAJATEKELEZA)
14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-
Kagera (HAINA MENO)
15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua
albino- Mbeya (MAUAJI YANAENDELEA)
16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-
Kagera (HAJATEKELEZA NA ZILIZOPO MBOVU
HAZIFAI)
17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya
wajasiriamali (HAJATEKELEZA)
18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-
Mwanza (HAJATEKELEZA)
19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa
Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye
vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza
(HAJATEKELEZA)
20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari
mwakani- Geita
21. Kulinda muungano kwa nguvu zote- Pemba
(KERO HAZIJATATULIWA)
22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko
Kilosa-Morogoro (HAJATEKELEZA)
23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-
Mbeya mjini (HAJATEKELEZA)
24. Kujenga bandari Kasanga Rukwa
(HAJATEKELEZA)
25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo
- Songea (HAJATEKELEZA NA WALIMU
WAMEPUUZWA WANAULIZA -SHEMEJI
UNATUACHAJE?)
26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -
Mbeya (HAJATEKELEZA)
27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama-
Tanga (HAJATEKELEZA)
28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba
wajawazito hasa vijijini- Iringa (HAJATEKELEZA)
29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami
kutoka Same mpaka Kisiwani Kihurio na
kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es
salaam- Same mkoani Kilimanjaro
(HAJATEKELEZA)
30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya
Same-Same Mjini (HAJATEKELEZA)
31. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora
(HAJATEKELEZA)
32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za
sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu-
Kisesa Magu (AMETEKELEZA)
33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya-
Mbeya Mjini (HAJATEKELEZA)
34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba
nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)- Hydom
Manyara (HAJATEKELEZA)
35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko
za kidini, kikabila na kisiasa-Musoma
(HAJATEKELEZA CCM NDIO CHANZO CHA
CHOKOCHOKO)
36. Kulinda haki za walemavu- Makete
(HAJATEKELEZA,WANATUMIKA KWENYE
KAMPENI TU)
37. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa
kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa
mjini (HAJATEKELEZA)
38. Kujenga barabara MusomaMto wa Mbu
Arusha-Arusha (HAJATEKELEZA)
39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga
Mjini (HAJATEKELEZA)
40. Kujenga barabara ya lami Manyoni- Kigoma
Kaliua,Tabora (HAJATEKELEZA)
41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi- Arusha
Mjini
42. Kuboresha barabara ya Handeni,
Kondoa,mpaka Singida-Dodoma
(HAJATEKELEZA)
43. Kuwafidia wanakijiji ngombe waliopotea
wakati wa ukame mwaka 2009- Longido
(HAJATEKELEZA)
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka
kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa
Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa
maji - Shinyanga (HAJATEKELEZA)
45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba
mwaka huu mkoani Arusha Arusha mjini
(HAJATEKELEZA NCHI IPO GIZANI)
46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo- Busekera,
Wilaya ya Musoma, . (HAJATEKELEZA)
47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya
Longido- Longido (HAJATEKELEZA)
48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni
mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti Ngorongoro
(HAJATEKELEZA)
49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya
kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na
kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani
Manyara (HAJATEKELEZA)
50. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini
(HAJATEKELEZA)
51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za
afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na
utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-
Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya
wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo
za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa
(HAJATEKELEZA NA HALI NI MBAYA SANA)
52. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika-
Iringa
53. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika
Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi
kubwa kuliko zote Tanzania- Iringa
(HAJATEKELEZA)
54. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili
kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda
(HAJATEKELEZA - CHOKOCHOKO ZA CCM
ZINAHATARISHA AMANI)
55. kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa
Mara (HAJATEKELEZA)
56. kuwapa wanawake nafasi zaidi- Kilolo ,Iringa
(ANGALAU)
57. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi
mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar
(HAJATEKELEZA)
58. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja
Zanzibar kuwa ya rufaa- Kabandamaiti mjini
Zanzibar (HAJATEKELEZA)
59. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika
msaada-Kibandamaiti (HAJATEKELEZA)
60. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-
Ruvuma (HAJATEKELEZA)
61. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa
kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma
(HAJATEKELEZA)
62. kufufua chama kikuu cha ushirika cha
wakulima wa Mbinga(MBICU) Ruvuma
(HAJATEKELEZA)
61. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama
kuimwagia misaada Tanzania Ruvuma
(MISAADA YA VYANDARUA NA VYOO KWA
MSAADA WA WATU WA MAREKANI)
62. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu
baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
(HAJATEKELEZA)
63. Mtwara kuwa mji wa Viwanda Mtwara
(HAJATEKELEZA)
64. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua
viluilui vya mbu-Kibaha (HAJATEKELEZA)
65. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa- Kibaha.
(HAJATEKELEZA)
66.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga
eneo maalumu la viwanda -Kibaha
(HAJATEKELEZA) N.K
CCM HAIAMINIKI TENA,WAKATI UMEFIKA CCM
INAPASWA ITOLEWE KWA NJIA YA KURA
MADARAKANI?..KWA NINI WASITEKELEZE AHADI
HIZI KABLA YA KUAHIDI ZINGINE?....CHAGUA
LOWASSA..CHAGUA UKAWA (CHADEMA